umeme

  1. K

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kukatika kwa umeme Wilayani Rorya

    Napenda kumtaarifu Mhe. Kalemani - Waziri wa Nishati juu ya kukatika kwa umeme mara kwa mara Wilayani Rorya. Ikifika muda wa saa moja usiku na kuendelea utashuhudia ghafla umeme unakatika hata kwa muda wa masaa mawili. Umeme unaweza kurudi na tena ghafla unakatika. Mhe. Waziri alituaminisha...
  2. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kungekuwa na makampuni mengine ya umeme Tanesco ingezidisha ufanisi

    Enzi za Tanesco kuwa monopoly msambazaji wa umeme zimepitwa na wakati. Huu ulikuwa mfumo wa Ujamaa, enzi za collectiveness. Hakukuwa na ushindani wa kibiashara. Makampuni mengine yakaribishwe na kupewa zabuni ya kusambaza umeme. Wananchi wapewe uhuru wa kuhama kwa supplier mwenye huduma...
  3. Influenza

    JamiiForums Tanzania Watanzania 15,000 waajiriwa SGR, ATCL, Umeme Rufiji

    MIRADI mikubwa mitatu ya kimkakati inayotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Tano imewezesha kutoa ajira kwa Watanzania 15,009 hadi kufikia Oktoba mwaka huu. Miradi hiyo ni ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza unaotekelezwa kwa awamu, Mradi wa Kufua Umeme wa Maji katika...
  4. Corticopontine

    JamiiForums Tanzania Lema na wenzako ilani ya CHADEMA mwaka 2015/2020 ukurasa wa 53, mkasome vizuri

    Vijana wa CHADEMA mna maana gani mnapoyakana maandishi yenu wenyewe au ndo uvivu wa kusoma? Ipitieni upya ilani yenu la sivyo mtakuwa kama akina Lema wanaopinga hata vivuli vyao Ilani yenu ilimaaanisha nn kufufua shirika la ndege la Tanzania au mlimaanisha ndege za kivita?
  5. maroon7

    JamiiForums Tanzania TANESCO mnakata umeme Mbezi mara 4 kila siku

    Nyie TANESCO haya mambo ndiyo maana mnatumbuliwa haiwezekani kwa mwezi mzima kila siku mnakata umeme mara nne na hata zaidi na tena hamna taarifa yoyote iliyotolewa kuashiria tatizo maeneo ya Mbezi makabe. Najua mnapita humu na hata Mawaziri husika wanapita humu. Kuweni waungwana kama kuna...
  6. Elius W Ndabila

    JamiiForums Tanzania Ufahamu mradi mkubwa wa umeme wa Rufiji

    UFAHAMU MRADI WA ’STRIEGLER'S GORGE Mradi wa umeme wa ‘’STRIEGLER'S GORGE’’ uliasisiwa na marehemu baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere miaka 1970. Mwalimu Nyerere alianzisha wazo la kujenga mradi huu mkubwa ili kuondoa tatizo la umeme nchini lakini pia ili kuongeza tija ya uzalishaji viwandani. Ni...
  7. mkiluvya

    JamiiForums Tanzania TAZARA kusafirisha mizigo na vifaa vya ujenzi mradi wa umeme rufiji

    Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA) limekamilisha ujenzi na ukarabati wa Stesheni ya Treni Fuga uliohusisha Stendi kubwa ya kupokea mizigo na vifaa vya ujenzi wa bwawa la kufua Umeme Mto Rufuji. Akizungumza katika ziara ya kutembelea ujenzi wa huo, Meneja wa Shirika hilo nchini...
  8. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Uzinduzi Mradi wa Umeme, mto Rufiji: Rais Magufuli aagiza sehemu ya Selous kuwa Hifadhi ya Taifa. Fedha zilizorudishwa kutoka Kenya kujenga barabara

    Leo Julai 26, 2019 Mhe. Rais Magufuli atakuwa mgeni rasmi kwenye uwekaji jiwe la msingi la mradi wa kuzalisha umeme katika mto Rufiji Rais Magufuli aliwasili Rufiji akitokea Dar es Salaam akitumia treni ya reli ya TAZARA kwa kupitia Fuga na Kisaki UPDATE: Waziri wa Nishati, Medard Kalemani...
  9. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mtaalam: Watanzania mnadanganywa Stiglers Gorge haiwezekani kwani Kina cha Maji Mto Rufiji kinapungua mno

    " Nasikitika sana Mamlaka husika za Tanzania kwa kuendelea Kung'ang'ania huu Ujenzi wa Mradi wa Stiglers Gorge wakati Sisi Wataalam tumeshatolea Ufafanuzi wa Kutosha kuwa kwa sasa hili jambo linaweza lisiwezekane kwakuwa Maji ya Mto Rufiji hadi vyanzo vyake kila Siku yanapungua Kina chake. Watu...
  10. 2introvert

    JamiiForums Tanzania Maswali ya kujiuliza juu ya Stiegler's Gorge Hydroelectric Power Station

    Maswali ya kujiuliza: Kunauhitaji gani wa hii project kwa sasa? Je, huu mradi ni kipaumbele cha Taifa? Je, ukitengenezwa huu mradi wa umeme na viwanda vikaamua kutumia nishati tofauti kama vile solar tutafanyaje kama taifa ? Je, uchunguzi umefanyika wakutosha na kugundua kwanini viwanda vingi...
  11. Papayo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Africa's 'last great wilderness' in jeopardy as autocratic president plans mega-dam that could bankrupt Tanzania

    It is arguably the Empire’s greatest legacy to conservation, the outrageous vision of a British poacher-turned-naturalist whose misanthropic cussedness would shape Africa’s largest wildlife sanctuary. Stretching across a swathe of woodland savannah four-fifths the size of the Republic of...
  12. mamayoyo1

    JamiiForums Tanzania Mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge wakamilisha ujenzi wa miundombinu wezeshi

    Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na ya Kiwango na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2019/20,Upande wa Mradi wa Kufua Umeme wa Maji Rufiji – MW 2,115: Hatua iliyofikiwa ni: kupatikana kwa mkandarasi wa mradi wa kufua umeme utokanao na nguvu ya maji katika Mto Rufiji...
  13. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Tukinunua umeme wa TANESCO units ziende automatically kwenye mita ya kisasa. Tuachane na habari za kuingiza TOKEN. Is this feasible and implementable?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Tukinunua umeme wa TANESCO units ziende automatically kwenye mita ya kisasa. Tuachane na habari za kuingiza TOKEN. Is this fissible and implementable? Hivi, wataalam wa ICT wa TANESCO...
  14. MKWEPA KODI

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya Wajerumani kupinga mradi wa umeme katika bwawa la Stiegler's Gorge

    Kumbe wajerumani wanafahamu kuna madini mengi na ya thamani kubwa ukiacha uranium ya aina mbalimbali eneo hilo la bwawa la stieglers gorge, wanajua tukianza mradi huo tutayagundua yote na kuanza kuyachimba ndiyo maana wanaweka vikwazo ili ikiingia madarakani serikali dhaifu wairubuni na...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Tukikamilisha miradi ya Stiegler's Gorge na SGR pekee. Ona habari hii na fanya hesabu kuhusu sisi kuendelea kukopesheka na utathimini tunaelekea wapi

    Jumatano iliyopita, Kampuni ya Arab Contractors ya Misri na Shirika la Umeme nchini (Tanesco), walisaini mkataba wa ujenzi wa mradi mkubwa wa umeme kwenye Mto Rufiji, maarufu kama Stiegler’s Gorge. Utilianaji huo wa saini ulifanyika Ikulu, Dar es Salaam. Rais John Magufuli na Waziri Mkuu wa...
  16. T

    JamiiForums Tanzania Mkataba wa ujenzi wa Bwawa kuzalisha umeme a 'Stieglers Gorge' kusainiwa kesho tarehe 12/12/2018

    Kesho historia inaandikwa. Serikali ya Tanzania itatiliana saini Mkataba na Kampuni ya ujenzi kutoka nchini Misri ambayo ilishinda Kandarasi ya ujenzi Wa Bwawa la kuzalisha Umeme la 'Stieglers Gorge'. Bwawa la 'Stieglers' litakuwa na uwezo wa kuzalisha Megawatts 2100 za umeme, kiwango ambacho...
  17. figganigga

    JamiiForums Tanzania Mradi wa umeme wa Stiegler's Gorge Hydroelectric Power Station kuondoka na Waziri January Makamba

    Heshima kwenu wakuu, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira na Muungano Mheshimiwa January Makamba, huenda akatumbuliwa kutokana na kuwa kikwazo katika Ujenzi wa Stiegler's Gorge Hydroelectric Power Station. Inasemekana January Makamba kaunda tume ya Wataalam wa kuchunguza athari...
  18. S

    JamiiForums Tanzania Zaidi ya miti milioni 2 kukatwa kupisha mradi wa umeme wa Stiegler's gorge

    Serikali ya Tanzania inajiandaa kukata miti eneo la ukubwa wa asilimia tatu ya hifadhi ya taifa Selous. Mapema asubuhi ya Jumatano, serikali ilipokea maombi ya zabuni ya kukata miti hiyo kutoka kwa makampuni ya ndani na nje ya nchi yaliyoonyesha nia ya kutekeleza mradi huo wa kukata miti...
  19. Return Of Undertaker

    JamiiForums Tanzania Nape: Mradi wa umeme wa Stiegler's Gorge haupo kwenye ilani, sie tulinadi mradi wa gesi. Huu tumedandia tu

    Waziri wa zamani na Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye (CCM) ameishangaa Serikali kuweka nguvu nyingi kwenye mradi wa umeme wa Stigler’s George ambao haupo kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2015 na kuachana na umeme wa gesi ambao waliunadi wakati wa kampeni.
  20. figganigga

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli azindua umeme wa gesi asilia Kinyerezi II, asema ataendelea kushirikiana na wananchi kulinda amani

    Rais Mhe. Dkt. John Magufuli leo atazinduzi mradi wa uzalishaji wa umeme kwa kutumia gesi asilia (Kinyerezi II) Jijini Dar es Salaam. Mradi huu utaingiza megawatts 240 katika gridi ya Taifa. Matangazo ya moja kwa moja yatarushwa na TBC 1 & Azam Two kuanzia saa 3:30 asubuhi hii...
Back
Top Bottom