Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,819
- 9,171
Habari wadau wa JF,
Serikali yetu inayojali wanyonge imeongeza Tozo hadi kufikia 2% ukinunua umeme kwa kutumia mitandao ya simu na bank. Tatizo sio kuongeza ila wamefanya kimya kimya bila kutoa taarifa kuhusu ongezeko hilo lisilo na kichwa wala miguu.
Serikali nyingine kipindi hiki cha korona wanajaribu kuwaondolea ugumu wa maisha wananchi wao,tumeshuhudia baadhi ya nchi wakigawa chakula na wengine kuwataka landlords wawasamehe kodi etc ila serikali yetu sikivu kipindi hiki cha uchumi wa wananchi kupiga mweleka wameona pia wawaongezee mzigo mwingine.
Inawezekana mimi nilikuwa sijui ila kwasasa unakatwa 2% ya fedha unayonunulia umeme i.e Ukinunua umeme wa Buku make sure una balance ya 1020 Tsh kwenye account yako, chini ya hapo imekula kwako.
Serikali yetu inayojali wanyonge imeongeza Tozo hadi kufikia 2% ukinunua umeme kwa kutumia mitandao ya simu na bank. Tatizo sio kuongeza ila wamefanya kimya kimya bila kutoa taarifa kuhusu ongezeko hilo lisilo na kichwa wala miguu.
Serikali nyingine kipindi hiki cha korona wanajaribu kuwaondolea ugumu wa maisha wananchi wao,tumeshuhudia baadhi ya nchi wakigawa chakula na wengine kuwataka landlords wawasamehe kodi etc ila serikali yetu sikivu kipindi hiki cha uchumi wa wananchi kupiga mweleka wameona pia wawaongezee mzigo mwingine.
Inawezekana mimi nilikuwa sijui ila kwasasa unakatwa 2% ya fedha unayonunulia umeme i.e Ukinunua umeme wa Buku make sure una balance ya 1020 Tsh kwenye account yako, chini ya hapo imekula kwako.