YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,904
Tanesco iligeuzwa chombo cha kisiasa ambacho mafisadi waliitumia Tanesco kuifanya serikali ya CCM ichukiwe na wananchi ili upinzani ushinde
2015 karibu na uchaguzi mkuu nilikuwa Arusha mjini umeme ulikuwa unazimwa siku nzima unawashwa saa saba usiku na kuzimwa saa tisa usiku. watu vyakula viliwaozea kila ukipita kila kona CCM ilikuwa ikiporomoshewa matusi ya nguoni kumbe mifisadi ikishirikiana na mifisadi mifanyakazi us Tanesco iliamua kutumia Tanesco kama chombo chao cha kuipiga chini CCM
Na hili lilifanyika sana mikoa ya kaskazini na majiji ya Mbeya, Dar, Arusha na Mwanza na sehemu mbalimbali za miji kama Iringa nk Hali iliyosababisha maeneo hayo kuchukuliwa na upinzani kirahisi tu kwa kutumia kero ya Tanesco tu
Baada ya Raisi Magufuli na kutumbua mafisadi Tanesco na kuibana mifisadi ya umeme sasa hivi hali shwari tuna enjoy umeme wananchi kero imeisha. nyumba hata za vijijini za majani zina umeme wa Rea na haukatiki hovyo
Mtu akibeza mafanikio ya Magufuli muulize tu vipi umeme ukilinganisha na kabla 2015 Magufuli kuingia madarakani hali unaionaje? Raisi Magufuli asante kutuondolea kero ya umeme kuanzia ugumu wa kuupata, kukatika vipindi virefu, nk
Ilikuwa 2015 kurudi Numa kabla Rais Magufuli hajashika urais wafanyakazi wa Tanesco wakionekana mtaani na magari yao watu walikuwa watu mtaani walikuwa wakiwazomea na kuwaombea dua mbaya na wengine kuwarushia mawe kuwa wamekuja mtaani kukata umeme!!!
Watanzania waliehuka umeme kuwaka ilikuwa sherehe kubwa ya kushangilia kuliko ushindi wa simba na yanga umeme uliokatika unaporudi!!! Yaani ukirudi watu wanashangilia kama wehu ngoma za madebe zinapigwa mitaani kwenye mabaa watu wanaruka ruka juu kama ngoma ya masai kufurahia umeme adimu uliorudi!!
Toka mheshimiwa Magufuli ashike madaraka sherehe Hizo zimekufa. Umeme raha mstarehe. Asante Raisi Magufuli kwa kutatua kero hii kubwa iliyokuwa inagusa watu wote wa juu hadi wa chini kabisa nchi nzima.Anayebisha mafanikio ya Raisi Magufuli aangalie kipengele cha umeme pekee nchi nzima na alinganishe na kabla hajaingia madarakani 2015
2015 karibu na uchaguzi mkuu nilikuwa Arusha mjini umeme ulikuwa unazimwa siku nzima unawashwa saa saba usiku na kuzimwa saa tisa usiku. watu vyakula viliwaozea kila ukipita kila kona CCM ilikuwa ikiporomoshewa matusi ya nguoni kumbe mifisadi ikishirikiana na mifisadi mifanyakazi us Tanesco iliamua kutumia Tanesco kama chombo chao cha kuipiga chini CCM
Na hili lilifanyika sana mikoa ya kaskazini na majiji ya Mbeya, Dar, Arusha na Mwanza na sehemu mbalimbali za miji kama Iringa nk Hali iliyosababisha maeneo hayo kuchukuliwa na upinzani kirahisi tu kwa kutumia kero ya Tanesco tu
Baada ya Raisi Magufuli na kutumbua mafisadi Tanesco na kuibana mifisadi ya umeme sasa hivi hali shwari tuna enjoy umeme wananchi kero imeisha. nyumba hata za vijijini za majani zina umeme wa Rea na haukatiki hovyo
Mtu akibeza mafanikio ya Magufuli muulize tu vipi umeme ukilinganisha na kabla 2015 Magufuli kuingia madarakani hali unaionaje? Raisi Magufuli asante kutuondolea kero ya umeme kuanzia ugumu wa kuupata, kukatika vipindi virefu, nk
Ilikuwa 2015 kurudi Numa kabla Rais Magufuli hajashika urais wafanyakazi wa Tanesco wakionekana mtaani na magari yao watu walikuwa watu mtaani walikuwa wakiwazomea na kuwaombea dua mbaya na wengine kuwarushia mawe kuwa wamekuja mtaani kukata umeme!!!
Watanzania waliehuka umeme kuwaka ilikuwa sherehe kubwa ya kushangilia kuliko ushindi wa simba na yanga umeme uliokatika unaporudi!!! Yaani ukirudi watu wanashangilia kama wehu ngoma za madebe zinapigwa mitaani kwenye mabaa watu wanaruka ruka juu kama ngoma ya masai kufurahia umeme adimu uliorudi!!
Toka mheshimiwa Magufuli ashike madaraka sherehe Hizo zimekufa. Umeme raha mstarehe. Asante Raisi Magufuli kwa kutatua kero hii kubwa iliyokuwa inagusa watu wote wa juu hadi wa chini kabisa nchi nzima.Anayebisha mafanikio ya Raisi Magufuli aangalie kipengele cha umeme pekee nchi nzima na alinganishe na kabla hajaingia madarakani 2015