ulinzi

  1. Return Of Undertaker

    Kwenye utawala bora, Ulinzi na Usalama Serikali haijaonyesha fedha zilizokusanya kwa waliosamehewa kwa makosa ya Uhujimu uchumi...

    Kwenye utawala bora, Ulinzi na Usalama Serikali haijaonyesha fedha zilizokusanya kwa waliosamehewa kwa makosa ya Uhujimu uchumi... Inawezekana pesa zile zimekuwa za mtu binadsi sio mali ya umma. Kwenye mapato ya serikali hazipo
  2. Mongoiwe

    Mkurugenzi wa Kampuni ya Ulinzi Knight Support na Wahasibu wake wakamatwa

    Mkurugenzi wa Kampuni ya Ulinzi Knight Support (wa kwanza kulia), Bresing Kachambwa na Wahasibu wa kampuni hiyo wakiwa kwenye gari la Polisi baada ya kukamatwa wakituhumiwa kushindawa kuwasilisha NSSF michango ya makato ya wafanyakazi wake kiasi cha Sh bilioni 8.417.
  3. Roving Journalist

    HakiElimu: Uzinduzi wa ripoti za makuzi, ulinzi na elimu bora ya awali inayowaandaa vyema watoto kujiunga na elimu ya msingi

    Ripoti hizo mbili zinazozinduliwa ni: Intergration of Child Protection into Early Childhood Development (Namna Bora ya Kujumuisha Dhana ya Ulinzi wa Mtoto Katika Elimu ya Awali) Assessment of Learning and Teaching Environment for Pre-primary Education in Tanzania, 2019 (Mazingira ya Kujifunza...
  4. chiembe

    Kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa Mwanza ichunguzwe kwa kushindwa kutoa ulinzi na kwa kumsusa ndugu Waitara, Naibu Waziri

    Habari kubwa mitandaoni ni Naibu Waziri ndugu Waitara kukoswakoswa na kipondo cha haja kutoka kwa wananchi. Naibu Waziri alionekana akizongwazongwa na akiwa na hofu kubwa, hakuwa na ulinzi wa mgambo wala Polisi wakati akisakamwa na wananchi hao Hakuwepo Mkuu wa Mkoa,Mkuu wa WIlaya, RPC wala...
  5. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi za Ulinzi, Rijk Zwaan Q-Sem Ltd

    Position: Walinzi (3) RIJK ZWAAN Location: Arusha & Moshi Job Summary Kulinda mali za kampuni, mazingira yanayozunguka kampuni na nyumba za wafanyakazi wenye stahiki ya kupewa walinzi majumbani. Kuelewa na kushiriki katika kudhibiti matukio mbalimbali yanayohusiana na majanga ya asili kama...
  6. MK254

    Madereva wengine nane wa Tanzania wazuiwa kuingia Kenya baada ya kugunduliwa kuwa na Corona

    Jana ilikua madereva 23 wa Tanzania, leo ni nane. Halafu ukiwaza wote hawa kabla kufika mpakani na Kenya huko walikotoka wanatema mbegu balaa, natumai kila wanaorudishwa kwao hawaingii mtaani, wanajifungia au kufungiwa sehemu. Sijui lini ndugu zetu wa Kusini watelewa kwamba hiki kitu kipo na...
  7. J

    Kwanini makadirio ya bajeti ya wizara ya ulinzi imewasilishwa na mh Jenister Mhagama badala ya Waziri husika Dkt. Mwinyi?

    Tumezoea kuona makadirio ya wizara yakiwasilishwa na mawaziri wa wizara husika lakini leo imekuwa tofauti makadirio ya wizara ya ulinzi yamewasilishwa na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu mh Mhagama. Naelewa kuwa mh Mhagama ndiye mnadhimu wa bunge lakini hili la uwasilishaji makadirio...
  8. J

    Mkuu wa Majeshi, Jenerali Mabeyo atimba Bungeni kufuatilia uwasilishaji wa bajeti yaWizara ya Ulinzi

    Spika Ndugai mchana huu ametambulisha uwepo wa viongozi wakuu wa JWTZ na JKT waliopo bungeni wakiongozwa na General Mabeyo. Wengine ni Mnadhimu mkuu wa Jeshi na mkuu wa JKT Haya ni mambo ya jeshi, naomba niishie hapo. Maendeleo hayana vyama!
  9. Troll JF

    Mbowe: Nimewasikiliza Rais Magufuli na Spika Job Ndugai. Nimesikitika, tunatafakari! Nitazungumza tena na Taifa wakati wowote

    “[Nimewasikiliza Wah Rais JPM na Spika Job Ndugai. Nimesikitika! Tunatafakari! Nitazungumza tena na Taifa wakati wowote! Ni maisha yetu. Viongozi wetu waelewe: Hatuhitaji kibali chao kufa. Kuishi ni haki yetu. Tukumbuke: Tujilinde. Tuliowategemea wako likizo na Corona sio siasa.” Amesema...
  10. covid 19

    Mhe. Rais Watanzania tunaitaji kusikia zaidi ya hotuba yako kwa vyombo vya ulinzi na usalama

    Mhe. rais km mpambanaji namba 1 kwenye taifa letu la tanzania lenye kila aina ya maliasili tulizobarikiwa na mungu. tunahitaji kusikia kitu kutoka kwako tunahitaji kufahamu hapa tulipo tuna fanyaje na huko mbele tunaendaje. Katika kipindi hiki kigumu mno kwa dunia na sisi tukiwemo janga hili...
  11. Titicomb

    Je, hakuna kosa la kiufundi kidiplomasia lilifanyika kwenye 'briefing'?

    Ombi: Naomba nitangulize ombi la kusamehewa kama nitakuwa nimewakwaza watu katika mchango huu wa mawazo. Nitatoa maoni kwa mtindo wa kuuliza swali ili tupate mawazo ya watu wengi, huenda tuna nguli wengi wa kidiplomasia humu JF. Mawazo Yangu: Lile angalizo alilotoa kiongozi mkuu kuhusu kuwa...
  12. Miki123

    Kumbe Marekani inaikamua Korea Kusini pesa ya ulinzi kiuonevu

    Kama unadhani Marekani huwa hafurahishwi na makombora ya korea kaskazini basi jua unajidanganya. Makombora ya korea kaskazini yamekuwa ni mtaji mkubwa wa marekani kuishurutisha korea kusini kulipa kiwango kikubwa cha pesa kwa ajili ya ulinzi. Hivi karibuni Ikulu ya marekani imeitaka korea...
  13. J

    Fahamu ni kwa namna gani unaweza kuongea na Watoto kuhusu mlipuko wa CoronaVirus

    Ni rahisi kuhisi kuzidiwa na kila kitu unachosikia kuhusu #COVID_19. Inaeleweka pia ikiwa watoto wako wanahisi wasiwasi. Watoto wanaweza kupata shida kuelewa kile wanachokiona mtandaoni au kwenye Runinga - au kusikia kutoka kwa watu wengine - kwa hivyo wanaweza kuwa katika hatari ya kuhisi...
  14. Nigrastratatract nerve

    CHADEMA hamkujua kwamba Ulinzi wa Magereza ni kama Ulinzi wa Ikulu? Wangetoroka wafungwa kwenye maandamano yenu nani angewajibika?

    Nashindwa kuelewa nini maana ya siasa kwamba inafikia hatua watu wazima na akili zao wanashindwa kujua mipaka ya majukumu yao. Kwanini msitambue wala kujua mambo hatari kwenye usalama wa nchi? Vyovyote mfanyavyo, msivuke msitari mwekundu, si tu mtaumizwa bali pia mtauliwa kabisa na kutoweshwa...
  15. J

    Tabora: Alfred Masamalo, Diwani wa kata ya Usunga Wilayani Sikonge, auawa kwa Mapanga

    Diwani wa CCM mkoani Tabora ameuawa kwa kukatwakatwa mapanga na watu wasiojulikana. Watuhumiwa sita wanashikiliwa na jeshi la polisi hadi sasa na OCD amesema idadi hiyo inategemewa kuongezeka Mkuu wa mkoa wa Tabora mh Mwari ameagiza msako mkali uanze mara moja ili kuwanasa wauaji. Nao...
  16. ABC ZA 2025

    GE2020 Gwamaka: RPC Sweetbert Njewike mpuuzeni, Alex Jonas ni Katibu wa Jimbo la Manyoni Mashariki tangu Oktoba 2019

    Salaam, RPC Njewike anapaswa kufahamu kwamba Alex Jonas ni Katibu wa Jimbo la Manyoni Mashariki na kwamba nafasi hii haikatazi yeye kufanya kazi ya Bodaboda. RPC Njawike anapswa kujua kuwa katiba ya CHADEMA inaeleza wazi kuwa mwanachama wa chama chetu anapaswa kuwa na kazi halali ya kufanya...
  17. M

    Mfumo wa ulinzi wa S 400 kumbe ni robo ya bajeti ya Tanzania ya mwaka

    Leo nimesoma sehemu jinsi Urusi na India zilivyokubaliana kuuziana Mfumo wa Ulinzi S 400 kwa gharama ya US Dollar Billion 5. Nikilinganisha na hela yetu ni kama Trillion 11+. Hapa nikilinganisha na Bajeti yetu ya mwaka ni USD 14.3 (Trillion 33). Haya masilaha nilikuwa nayachukulia poa kumbe...
  18. Roving Journalist

    Ikulu, Dar | Rais Magufuli awaapisha Viongozi mbalimbali: Dkt. Abbas kuendelea kuwa Msemaji wa Serikali huku akiwa Katibu wa Wizara ya Habari

    Rais Magufuli anawaapisha leo hii Kamishna Jenerali wa Magereza, Kamishna Jenerali wa Zimamoto, Makatibu wakuu na Makatibu tawala wa mikoa saa 3:30 asubuhi. A. MAKATIBU WAKUU 1. MARY GASPER MAKONDO - kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Kabla ya uteuzi huo Bi...
  19. Analogia Malenga

    Kibano kampuni za ulinzi Desemba

    Polisi nchini imesema ifikapo Desemba 31 kampuni binafsi za ulinzi zinatakiwa ziwe zimejisajili na kuwasajili walinzi wake kwenye mfumo wa uboreshaji wa sekta ya ulinzi binafsi kwa njia ya kielektroniki (PSG-P). Kampuni ambazo zitashindwa kutatekeleza agizo hilo hazitaruhusiwa kufanya kazi...
  20. FRANC THE GREAT

    Israel: Ujenzi wa mfumo mpya wa ulinzi wa chini ya ardhi

    Israel imeanza hii leo kuchimba eneo la mpaka wake na Lebanon kwa ajili ya kufunga mfumo wa kujilinda utakaopita chini ya ardhi hii ikiwa ni mujibu wa jeshi la nchi hiyo. Luteni kanali Jonathan Conrius amesema kwenye mfumo huo kutafungwa vifaa vya kutambua shughuli zozote za uchokozi. Amesema...
Back
Top Bottom