Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,151
Ni vyema tusisubiri maafa, tutoe angalizo mapema.
Maziko ni kesho
Ndugu zetu marafiki zetu wa Kawe Polisi, tunatoka msibani kunasikitisha ukiacha majonzi yanayoendelea.
Naamini mmeshapajua hapo msibani karibu na geti dogo la Lugalo. Bajaji kumi kidogo zimeshusha wahuni wanavuta bangi msibani hakufai. Ndugu zetu wa Kawe naamini mmefikishiwa taarifa na plan za msiba kesho.
1. Mpaka sasa wanahangaika wazike pale makaburi ya luventry
2. Wakitoka hapo wamepanga kusachi na kuingia maduka yote yaliyo karibu na makaburi na wamepanga kurudi Kawe kwa mguu wakifanya fujo na wizi
3. Wamepanga kufanya uhalifu mkubwa upande wa pili baada ya maziko
5. Tunaomba akazikwe makaburi ya E Fm
6. Tunaomba maduka na wafanyabiashara wote wa karibu na makaburi wapewe ulinzi mkubwa wamepanga kufanya fujo kubwa sana siku ya kesho
7. Nilichokiona pale kuna magrupu yametoka Mbagala/Vituka/Tegeta/na wanavuta bangi mpaka sasa
Kama hamuamini, wapo jirani na nyie. Ulizeni msibani kwa Rama, ni bangi kila kona
Tunaomba Jeshi la Polisi tushirikiane kwa pamoja kuondoa hizi fujo na kuwakanya kabisa hao wezi wenzie wasithubutu kugusa vijana wa pale M. Mapya
Tunaamini kabisa kwa ushirikiano tunaosaidiwa na kituo chetu pendwa Kawe basi pia tutasaidiana kuweka ulinzi msibani watu wasidhiruike, wanaotembea karibu ama wenye biashara maeneo anapozikwa.
Maziko ni kesho
Ndugu zetu marafiki zetu wa Kawe Polisi, tunatoka msibani kunasikitisha ukiacha majonzi yanayoendelea.
Naamini mmeshapajua hapo msibani karibu na geti dogo la Lugalo. Bajaji kumi kidogo zimeshusha wahuni wanavuta bangi msibani hakufai. Ndugu zetu wa Kawe naamini mmefikishiwa taarifa na plan za msiba kesho.
1. Mpaka sasa wanahangaika wazike pale makaburi ya luventry
2. Wakitoka hapo wamepanga kusachi na kuingia maduka yote yaliyo karibu na makaburi na wamepanga kurudi Kawe kwa mguu wakifanya fujo na wizi
3. Wamepanga kufanya uhalifu mkubwa upande wa pili baada ya maziko
5. Tunaomba akazikwe makaburi ya E Fm
6. Tunaomba maduka na wafanyabiashara wote wa karibu na makaburi wapewe ulinzi mkubwa wamepanga kufanya fujo kubwa sana siku ya kesho
7. Nilichokiona pale kuna magrupu yametoka Mbagala/Vituka/Tegeta/na wanavuta bangi mpaka sasa
Kama hamuamini, wapo jirani na nyie. Ulizeni msibani kwa Rama, ni bangi kila kona
Tunaomba Jeshi la Polisi tushirikiane kwa pamoja kuondoa hizi fujo na kuwakanya kabisa hao wezi wenzie wasithubutu kugusa vijana wa pale M. Mapya
Tunaamini kabisa kwa ushirikiano tunaosaidiwa na kituo chetu pendwa Kawe basi pia tutasaidiana kuweka ulinzi msibani watu wasidhiruike, wanaotembea karibu ama wenye biashara maeneo anapozikwa.