ulinzi

  1. Miki123

    Kumbe Marekani inaikamua Korea Kusini pesa ya ulinzi kiuonevu

    Kama unadhani Marekani huwa hafurahishwi na makombora ya korea kaskazini basi jua unajidanganya. Makombora ya korea kaskazini yamekuwa ni mtaji mkubwa wa marekani kuishurutisha korea kusini kulipa kiwango kikubwa cha pesa kwa ajili ya ulinzi. Hivi karibuni Ikulu ya marekani imeitaka korea...
  2. J

    Fahamu ni kwa namna gani unaweza kuongea na Watoto kuhusu mlipuko wa CoronaVirus

    Ni rahisi kuhisi kuzidiwa na kila kitu unachosikia kuhusu #COVID_19. Inaeleweka pia ikiwa watoto wako wanahisi wasiwasi. Watoto wanaweza kupata shida kuelewa kile wanachokiona mtandaoni au kwenye Runinga - au kusikia kutoka kwa watu wengine - kwa hivyo wanaweza kuwa katika hatari ya kuhisi...
  3. Nigrastratatract nerve

    CHADEMA hamkujua kwamba Ulinzi wa Magereza ni kama Ulinzi wa Ikulu? Wangetoroka wafungwa kwenye maandamano yenu nani angewajibika?

    Nashindwa kuelewa nini maana ya siasa kwamba inafikia hatua watu wazima na akili zao wanashindwa kujua mipaka ya majukumu yao. Kwanini msitambue wala kujua mambo hatari kwenye usalama wa nchi? Vyovyote mfanyavyo, msivuke msitari mwekundu, si tu mtaumizwa bali pia mtauliwa kabisa na kutoweshwa...
  4. J

    Tabora: Alfred Masamalo, Diwani wa kata ya Usunga Wilayani Sikonge, auawa kwa Mapanga

    Diwani wa CCM mkoani Tabora ameuawa kwa kukatwakatwa mapanga na watu wasiojulikana. Watuhumiwa sita wanashikiliwa na jeshi la polisi hadi sasa na OCD amesema idadi hiyo inategemewa kuongezeka Mkuu wa mkoa wa Tabora mh Mwari ameagiza msako mkali uanze mara moja ili kuwanasa wauaji. Nao...
  5. ABC ZA 2025

    GE2020 Gwamaka: RPC Sweetbert Njewike mpuuzeni, Alex Jonas ni Katibu wa Jimbo la Manyoni Mashariki tangu Oktoba 2019

    Salaam, RPC Njewike anapaswa kufahamu kwamba Alex Jonas ni Katibu wa Jimbo la Manyoni Mashariki na kwamba nafasi hii haikatazi yeye kufanya kazi ya Bodaboda. RPC Njawike anapswa kujua kuwa katiba ya CHADEMA inaeleza wazi kuwa mwanachama wa chama chetu anapaswa kuwa na kazi halali ya kufanya...
  6. M

    Mfumo wa ulinzi wa S 400 kumbe ni robo ya bajeti ya Tanzania ya mwaka

    Leo nimesoma sehemu jinsi Urusi na India zilivyokubaliana kuuziana Mfumo wa Ulinzi S 400 kwa gharama ya US Dollar Billion 5. Nikilinganisha na hela yetu ni kama Trillion 11+. Hapa nikilinganisha na Bajeti yetu ya mwaka ni USD 14.3 (Trillion 33). Haya masilaha nilikuwa nayachukulia poa kumbe...
  7. Roving Journalist

    Ikulu, Dar | Rais Magufuli awaapisha Viongozi mbalimbali: Dkt. Abbas kuendelea kuwa Msemaji wa Serikali huku akiwa Katibu wa Wizara ya Habari

    Rais Magufuli anawaapisha leo hii Kamishna Jenerali wa Magereza, Kamishna Jenerali wa Zimamoto, Makatibu wakuu na Makatibu tawala wa mikoa saa 3:30 asubuhi. A. MAKATIBU WAKUU 1. MARY GASPER MAKONDO - kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Kabla ya uteuzi huo Bi...
  8. Analogia Malenga

    Kibano kampuni za ulinzi Desemba

    Polisi nchini imesema ifikapo Desemba 31 kampuni binafsi za ulinzi zinatakiwa ziwe zimejisajili na kuwasajili walinzi wake kwenye mfumo wa uboreshaji wa sekta ya ulinzi binafsi kwa njia ya kielektroniki (PSG-P). Kampuni ambazo zitashindwa kutatekeleza agizo hilo hazitaruhusiwa kufanya kazi...
  9. FRANC THE GREAT

    Israel: Ujenzi wa mfumo mpya wa ulinzi wa chini ya ardhi

    Israel imeanza hii leo kuchimba eneo la mpaka wake na Lebanon kwa ajili ya kufunga mfumo wa kujilinda utakaopita chini ya ardhi hii ikiwa ni mujibu wa jeshi la nchi hiyo. Luteni kanali Jonathan Conrius amesema kwenye mfumo huo kutafungwa vifaa vya kutambua shughuli zozote za uchokozi. Amesema...
  10. FRANC THE GREAT

    Mifumo ya Ulinzi wa Anga | Missile Defense Systems

    Mifumo ya Ulinzi wa Anga (Missile Defense Systems) Patriot "MIM-104" SAM System (USA) === S-300 Missile System (Russia) === THAAD "Terminal High Altitude Area Defense" (USA) === S-400 Missile System (Russia) === Iron Dome (Israel) === Arrow 3 (Israel) === To Be Continued!
  11. Bonde la Baraka

    Vijana kutoka Zanzibar wanapendelewa ajira ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama wawapo JKT

    Habari wakuu! Linapokuja suala la nafasi za kazi kwenye Vyombo vyetu vya ulinzi na Usalama na kuhitaji vijana walioko makambini(jkt) vijana wa Zanzibar huwa wanabebwa kana kwamba yatima, hapa sisemi kuwa hawa vijana kutoka Zanzibar waachwe la bali ni vyema watazamwe kama vijana wengine kutoka...
  12. S

    Zitto ataka ripoti ya Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama inayohusu shambulio la Lissu iwekwe wazi

    Pia ( 2) kama Mbunge Tundu Lissu shambulio lake la risasi haliwahusishi TISS basi Ripoti ya Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama iwekwe Wazi kwa Umma. Pia Watanzania waonyeshwe juhudi zozote za Polisi kuchunguza tukio lile la kikatili kufanyiwa Mbunge nchini. Mimi ninalaumu TISS Chanzo:Twitter...
  13. MK254

    Iraq: Iran yashambulia kwa makombora kambi mbili za Jeshi za Marekani, Ain al-Asad na Erbil

    Iran imerusha makombora zaidi ya 10 ikilenga Majengo ya Marekani yaliyopo Kaskazini mwa Iraq ikiwemo Kambi ya Jeshi ya Ain al-Asad ambapo kuna Majeshi ya Marekani ikiwa ni siku chache baada ya Marekani kumuua Qassem Soleimani Chaneli ya Taifa ya Iran imesema, Jeshi la Kimapinduzi la Nchi hiyo...
  14. Erythrocyte

    Uchunguzi: Jinsi watu wanavyoporwa mali zao baada ya mechi kumalizika Uwanja wa Taifa, huku Vyombo vya Ulinzi na Usalama vikitumbua macho

    " Nitasema Kweli daima fitna kwangu mwiko " Zikiwa zimesalia dk 30 mpira kumalizika vijana wezi , vibaka na majambazi kutoka Keko Magurumbasi , Keko Mwanga , Keko torori , keko machungwa na baadhi kutoka Chang'ombe husogea karibu na uwanja wa Taifa , wengi hujikusanya kwenye njia panda ya...
  15. Nyendo

    Marekani yamuwekea vikwazo Waziri wa Ulinzi wa Cuba

    Marekani imemuwekea vikwazo Waziri wa Ulinzi wa Cuba, ikimtuhumu kwa ukiukaji wa haki za binaadamu na kumuunga mkono Rais wa msoshalisti nchini Venezuela Nicolas Maduro. Marekani imemuweka kwenye orodha ya vikwazo Leopoldo Cintra Frias, Waziri wa Majeshi ya Mapinduzi ya Cuba, na watoto wake...
  16. Nyendo

    Kwanini mwanamuziki huyu wa Kenya anataka ulinzi?

    Msanii wa Kenya King Kaka anataka ulinzi baada ya watu wasiojulikana kutoupokea vema wimbo wake mpya unaokemea maovu ikiwemo rushwa. King Kaka amabye jina lake halisi ni Kennedy Ombina, mwishoni mwa juma alitoa video ya wimbo aliouta 'Wajinga Nyinyi', akikosoa maovu miongoni mwa jamii ya...
  17. elivina shambuni

    Rais Magufuli kufanya ziara ya siku mbili mjini Kahama

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli leo Novemba 26, 2019 anatarajiwa kuwa na ziara ya kikazi ya siku mbili katika halmashauri ya mji wa Kahama mkoani Shinyanga. Akizungumzia ujio wa Rais Magufuli mkuu wa wilaya ya Kahama Anamringi Macha amesema Rais...
  18. BASIASI

    Kila siku Wahamiaji haramu, Mh. Waziri husika tunahitaji ulinzi mkali wa hii mipaka ya nchi yetu na watu wabadilishwe mara kwa mara

    Tumechoka, ifike wakati tuseme imetosha. Tulishasahau lakini naona haka. Kamchezo kamerudi tena. Ni suala la kujiuliza. Waethiopia mnakamata Morogoro wamepitia boda gani Morogoro? Mnakamata lori zima Singida wamepitia boda gani Singida? Ifike sasa wahusika wafanye maamuzi magumu, kama...
  19. FRANCIS DA DON

    Msumbiji ipewe masaa 72 kuwacheua magaidi walioua Watanzania 6 Mto Ruvuma, la sivyo iwekwe chini ya ulinzi

    Kama wameshindwa kuweka watu wao under control basi napendekeza tuwasaidie kufanya hivyo. Wapewe masaa 72 tu, wafanye wafanyavyo, wakamuane waminyane, watajua wenyewe, tunataka wawacheue hao magaidi na wawasalimishe kwetu, ndani ya hayo masaa 72. Kinyume cha hapo, Jeywee wawafuate na kuwasaka...
  20. U

    Car Tracking services

    Sumtech Company Limited Tuna bidhaa zenye uwezo wa kulinda,kutoa taarifa kuhusu gari lako,kwa kupitia simu yako mteja anaweza kuona, -Speed -Sehemu ya gari yako ilipo -kuzima au kuwasha gari -Routes za gari -Gari lilipo -Mwendo wa mafuta,kujua mafuta yaliyowekwa au kiasi gani cha mafuta...
Back
Top Bottom