Leo naomba tuimulike mbeya.
Mkoa wa Chalamila na watu wake.
Inakuwaje matukio makubwa yenye misingi ya haki yanatukia mbeya?
Mtakumbuka
Kuna skendo ya muwekezaji wa mifugo hivi majuzi kajinyonga kutokana na mifugo yake zaidi 50 kukamatwa!
Ukitafakari kwa haraka haraka unaweza ona ni tukio la mauaji la kawaida!
lakini kwa wabobezi hili tukio lina misingi ya watu kutowajibika katika nafasi zao kutenda haki,
Kuna uwezekano wa misingi ya rushwa iliyoota mizizi kwa baadhi ya watendaji wa chini!
Haiwezekani mtu aamue kujinyonga kama kuna watu wamewajibika kutenda haki kwa wakati!
Tukio jingine ni lile la dreva wa roli kupokea kipigo kutoka kwa askari wa usalama barabarani!
Pamoja na report ya polisi kuonyesha marehemu alikufa kwa ugonjwa wa kubanwa mbavu, lakini tujiulize!
Mtuhumiwa wa shambulio hilo ni nani? Na aliyetoa repoti ya shambulio ni nani?
Hivi inawezekanaje mtuhumiwa ndiye atoe taarifa za kitabibu?
Kwa msingi wa kesi hii nayo naiweka kwenye kundi la kutowajibika ipasavyo!
Yamkini askari wadogo wameshindwa kusimamiwa vyema kiasi cha matunda haya makubwa mwaka 2021, tukumbuke pia ya 2019/20 yalitukia mbeya!
Haya makubwa yaliyoonekana yatuamshe kuona mengine yaliyofichika mbeya!
Kazi ya polisi ina misingi ya weledi na utii, Ukiona polisi na mgambo wadogo wanaumiza watu ujue kuna mawili, Either hawasimamiwi vyema au wametumwa kufanya hivyo!
Hivyo basi, naomba mamlaka husika, Takukuru, na mamlaka za uteuzi muimulike mbeya kuokoa wanainchi wanyonge!
Kuna haja ya kuwaangalia upya wasimamizi wa ulinzi na usalama mkoa wa Mbeya wanavyofanya kazi!
Mkoa wa Chalamila na watu wake.
Inakuwaje matukio makubwa yenye misingi ya haki yanatukia mbeya?
Mtakumbuka
Kuna skendo ya muwekezaji wa mifugo hivi majuzi kajinyonga kutokana na mifugo yake zaidi 50 kukamatwa!
Ukitafakari kwa haraka haraka unaweza ona ni tukio la mauaji la kawaida!
lakini kwa wabobezi hili tukio lina misingi ya watu kutowajibika katika nafasi zao kutenda haki,
Kuna uwezekano wa misingi ya rushwa iliyoota mizizi kwa baadhi ya watendaji wa chini!
Haiwezekani mtu aamue kujinyonga kama kuna watu wamewajibika kutenda haki kwa wakati!
Tukio jingine ni lile la dreva wa roli kupokea kipigo kutoka kwa askari wa usalama barabarani!
Pamoja na report ya polisi kuonyesha marehemu alikufa kwa ugonjwa wa kubanwa mbavu, lakini tujiulize!
Mtuhumiwa wa shambulio hilo ni nani? Na aliyetoa repoti ya shambulio ni nani?
Hivi inawezekanaje mtuhumiwa ndiye atoe taarifa za kitabibu?
Kwa msingi wa kesi hii nayo naiweka kwenye kundi la kutowajibika ipasavyo!
Yamkini askari wadogo wameshindwa kusimamiwa vyema kiasi cha matunda haya makubwa mwaka 2021, tukumbuke pia ya 2019/20 yalitukia mbeya!
Haya makubwa yaliyoonekana yatuamshe kuona mengine yaliyofichika mbeya!
Kazi ya polisi ina misingi ya weledi na utii, Ukiona polisi na mgambo wadogo wanaumiza watu ujue kuna mawili, Either hawasimamiwi vyema au wametumwa kufanya hivyo!
Hivyo basi, naomba mamlaka husika, Takukuru, na mamlaka za uteuzi muimulike mbeya kuokoa wanainchi wanyonge!
Kuna haja ya kuwaangalia upya wasimamizi wa ulinzi na usalama mkoa wa Mbeya wanavyofanya kazi!