tatizo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Little brain

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nina tatizo la kutopata usingizi

    Wadau naombeni ushauri, Nina tatizo lakutopata usingizi yaani usingizi unaanza kunijia saa 9 nakuendelea Tatizo hilo limenifanya nirudi kwenye matumizi ya sigara ndio napata usingizi. Ushauri wenu tafadhari
  2. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Gari yangu inalia mlioo wa kukakamaa napokata kona mpaka mwisho, tatizo ni nini?

    Ni gari aina ya toyota sprinter, unapozungusha steering wheel (msteringi 😂) kwa sana inaanza kupiga kelele ka ka ka ka, kuna vishindo unavisikia kwa mbali vinavyoambatana na hio sauti. Na kama vp tusaidiane bajeti ya kutegemea, nsije pigwa na mafundi. MREJESHO Sehemu ya kwanza alikopeleka...
  3. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Baba amshambulia mwanaye kwa sime. Naye afariki kwa tatizo la upumuaji

    Mtoto mwenye umri wa miaka 9, mkazi wa Kitongoji cha Batini, wilayani Gairo, mkoani Morogoro, amenusurika kifo baada ya kukatwa na kitu chenye ncha kali maeneo ya shingoni na baba yake mzazi aliyefahamika kwa jinala Yakobo Taolo (38), huku chanzo kikidaiwa kuwa ni imani za kishirikina. Kamanda...
  4. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini 'tatizo' hili linaloongezeka haliwi 'addressed' kwa 'public' kama mengineyo, ili liweze kupatiwa 'Ufumbuzi' wa haraka nchini?

    Sasa nina Siku ya Tatu ( 3 ) ninaoga kwa Kutumia 'Sabuni' za kila aina ila 'harufu' Kali ya 'Mbunye' moja niliyokutana nayo hapa Juzi kati bado 'inanigomea' tu kunitoka ( kama si kuniaga ) kabisa Mwilini mwangu. Na hapa simaanishi tatizo hili wanalo Wanawake wote, ila siyo 'Siri' na mtanisamehe...
  5. Daudi1

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tatizo ni Upendo kupungua

    Habari ndugu zanguni, nawasalimuni wote kila mmoja kwa imani yake Niende moja kwa moja kwwnye hoja ya leo, kumekuwa na malalamiko mengi juu ya mahusiano mpaka inafikia mahali inaonekana mahusiano hayana maana tena, wengine wamefanya mahusiano kuwa biashara, wengine imekuwa uwanja wa vita...
  6. mgt software

    JamiiForums Tanzania CHADEMA tulieni huu sio wakati wa kuleta kokoro, Uongozi dhaifu wa Mwenyekiti kuishiwa mbinu na kuanza kutengeneza makundi tatizo lilianzia hapo

    Wana JF Kilichofanya vyama vya upinzani kupigwa chini, ni matokeo mabaya ya uongozi wa Mbowe na kundi lake tiifu. Ndani ya chama chao ilianza fukuzana fukuzana. Ikaja susia susia watu walioona mbali wakaanza kujiondoa kwa kuunga juhudi upande wa pili. Hayo pia yaliyokea CUF ya Lipumba. Uovu kwa...
  7. sky soldier

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Video: Watanzania mbona waoga hivi, tatizo ni nini?

    Very funny but questionable Mtu pekee alieweza kutawanya kikundi hiki cha wanaume wa kitanzania ni polisi mmoja tu, tena ni dereva ambae hakuwa hata na chochote. Jibu la ni moja tu ....UOGA 😂😂 Polisi kashuka bila chochote na hii ni ishara tu kwamba alikuwa ana nia njema kabisa
  8. Prof Koboko

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kwani Maandamano yana tatizo gani watu kudai haki na ni halali askari kuyazuia?

    Wasalaam wajumbe! Mimi ninashangaa sana wanaodai kuwa ooh sijui maandamano yatavuruga amani ya nchi, kwani maandamano si yapo kikatiba na yameruhusiwa kabisa pale mtu anapohisi kua haki yake imepokwa? Kama waandamanaji wanadai kua maandamano ni ya amani na wao hawatashika silaha au kitu...
  9. Magazetini

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu

    Watumiaji wa mtandao wa twitter, Telegram, wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo. PIA SOMA = > Leo Mitandao ya kijamii Tanzania Bara imekuwa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter na Telegram zimeguswa
  10. Nico1

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada jinsi ya kutatua hili tatizo kwenye pc wakati wa kuinstall window

    Heshima kwenu nyote wana jukwaa, naomba kufahamu hili tatizo kwenye picha hapo chini kama linavyoonekana kwenye picha linasababishwa na nini na jinsi ya kulitatua. Naomba kuwasilisha kwa yeyote ambaye anaufahamu wa hili tatizo
  11. Mkogoti

    JamiiForums Tanzania SMS yenye jina Tundu Lissu yaruhusiwa, ilikuwa ni tatizo la kiufundi

    Baaada ya Wateja wa baadhi ya Makampuni ya Simu kulalamika kuwa wakituma SMS yenye neno "Tundu Lissu" inafeli sasa tatizo hilo limeisha baada ya kushughulikiwa. Inadaiwa lilikuwa ni tatizo la kimtandao.
  12. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Tanzania ina uhaba wa skills. Je, kuna tatizo katika Mfumo wa Elimu?

    Habari za wakati huu, Katika suala la ujenzi wa uchumi na maendeleo moja kati ya vitu muhimu sana katika labour force ni skills.Mfumo wa elimu unalenga kuwapatia watu skills and knowledge. Skills ni uwezo wa kufanya jambo kikamilifu na Knowledge ni uwezo wa kuelewa jambo kikamilifu. So...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Sheikh Ponda huwa ana tatizo gani? Kwanini anaogopwa sana?

    Wakuu habari, Huyu jamaa nimekuwa nikimsimkiliza akiongea kwenye mikutano au makongamano, naona ni mtu ambaye anajichanganya na watu wa dini zote, na anaongea reasonably. Lakini huwa anagopwa na kuchukuliwa kama extremist fulani hivi, lakini ukimsikiliza hana u extrimist wowote, kuna baadhi ya...
  14. Gmox

    JamiiForums Tanzania Napata maumivu nisipofanya mapenzi kwa muda mrefu

    Salaam wana Jf Naomba msaada jamani! Nina umri wa 26, shida niliyo nayo napata maumivu makali sana nisipo fanya mapenz kwa muda mrefu. Maumivu yanakuwa katika mirija inayotoa mbegu kutoka kwenye korodani ,kisha yanapanda na kunakua na viuvimbe flani wakati huo, hii ilinianza kabla ya kuoa na...
  15. DISPLEI

    JamiiForums Tanzania Nini Suluhu ya tatizo la foleni barabarani mvua zikinyesha

    Tatizo la foleni barabarani limekuwa likijirudiarudia kila mvua kubwa zikinyesha. Ukiangalia, chanzo kikubwa ni baadhi ya njia za kuingia na kutoka maeneo mengi hasa mjini kutopitika kutokana na kujaa maji hivyo kufanya magari kutegemea njia chache. Ikishakuwa hivyo kila mtu anakuwa na uharaka...
  16. N

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kupata AVN number

    Habari za leo wakuu, kuna shida moja katika upatikanaji wa AVN kwa wahitimu katika ngazi ya stashahada, hasa katika baadhi ya kozi zinazotolewa na baadhi ya taasisi za elimu. Mimi ni mhitimu wa kozi ya UALIMU ELIMU YA UFUNDI SECONDARY ngazi ya stashahada, niliomba AVN nikapewa lakini kila...
  17. The Humble Dreamer

    JamiiForums Tanzania Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) iwafutie usajili wanafunzi wanaorekodi na kusambaza video chafu mitandaoni

    Wakuu Salaam: Siku za karibuni kumekuwa na usambaaji wa video chafu kwenye mitandao ya kijamii na jambo hili linaendelea kukua miongoni mwa wanafunzi wa Elimu ya juu. Na waliohusika katika video wapo pamoja na kwamba kumekuwa na matamko toka uongozi wa vyuo lakini bado hakuna fundisho. Hawa...
  18. Prof Koboko

    JamiiForums Tanzania GE2020 IGP Simon Sirro, mchukulie hatua kali OCD wilaya ya Hai

    Ni wazi kabisa kwamba huyu OCD amelichafua na kulidhalilisha kwa kiasi kikubwa sana Jeshi la polisi nchini. Haiwezekani kiongozi ambaye ni well trained kwenye maduka ya kijeshi anaongea ujinga kiasi hicho. Polisi ni kazi ya shurba siku zote, ukitaka kuifanya upendavyo wewe utamaliza watu. Ni...
  19. MchunguZI

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tatizo lenu CHADEMA ni kuwa na mgombea Urais bila Wabunge

    Lissu ana mapungufu yake tena mengi tu! Vivyo hivyo kwa Magufuli. Kampeni ni kutoa ahadi za matumaini. Kwa upande wa Magufuli ana nafasi nzuri kwa kuwa ni rahisi kuthibitisha utendaji wake kwa yale aliyokwishafanya. Kwa Lissu kazi ni kubwa zaidi maana uzuri wa ahadi hautoshi. Wanasiasa wote...
  20. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Rais Magufuli apiga simu mubashara kwenye Kongamano la CWT na kukanusha kufutwa kwa Ualimu Ngazi ya Cheti

    Leo tarehe 5 Oktoba, katika Kongamano la Kuadhimisha Siku ya Walimu Duniani lililoandaliwa na CWT, Dodoma, Rais John Pombe Magufuli alipiga simu 'live' na kuongea na washiriki wa kongamano na pia kukanusha kufutwa kwa ualimu wa ngazi ya cheti. Rais Magufuli amewataka walimu kupuuza taarifa hiyo...
Back
Top Bottom