Ni kituko kwamba Rais Biden hataki kuulizwa maswali. Je, hawezi kujibu kama Marais waliopita?

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,032
Mzee Biden amekuwa maarufu kwa hii tabia yake mpya ya kuchomoka nduki akimaliza hotuba, Hataki kuulizwa maswali kabisa.

Akimaliza kusoma hotuba yake kwenye telepromter, huwa anaondoka bila kupokea maswali, huenda hii ni kwa sababu majibu ya maswali hayahitaji teleprompter bali kichwa.

Kama Raisi anashindwa kujibu maswali ni wazi kabisa hata kile anachokifanya kinamweka wazi kwamba ni puppet tu.

Ni juzi tu hapo kumekuwa na kashfa ya wafanyakazi wa White House kuwaomba waandishi wa habari maswali wanayotaka kuuliza lakini walikataliwa, Je Biden hawezi kufikiria kujibu maswali? Ni hadi aandikiwe majibu kwenye telepromter ndio njia pekee ya kujibu maswali?
 
Mbona kishafanya news conference na kujibu maswali for more than one hour? Unapata wapi habari zako? Maswali mengine huwezi kujibu hapo hapo inabidi utafute majibu kwa Wataalamu husika.

Hata WH Press Secretary mara nyingi tu kawajibu waandishi wa habari kwamba hana jibu atalitafuta na next news conference atalijibu na hata waandishi wa habari wako happy so far.
 
Mbona kishafanya news conference na kujibu maswali for more than one hour? Unapata wapi habari zako? Maswali mengine huwezi kujibu hapo hapo inabidi utafute majibu kwa Wataalamu husika. Hata WH Press Secretary mara nyingi tu kawajibu waandishi wa habari kwamba hana jibu atalitafuta na next news conference atalijibu na hata waandishi wa habari wako happy so far.
Hebu weka hio news conference aliyojibu maswali kwa zidi ya saa moja akiwa raisi, Na kama kuna muujuza kwamba lifanya hivi basi ni wazi ni ear pice ama telepromter ndio ilikuwa inajibu maswali

Bora angekuwa anasikiliza kwanza maswali kama hawezi anawaambia, Sasa huyu mzee akimaliza tu speech ni anapiga nduki fasta sana, Waandishi wanamwita njoo ujibu maswali yeye anakimbilia mlangoni,, Kwa ufupi ni kwamba bila kuandikiwa majibu kwenye teleprompter hawezi kujibu maswali huyu mzee, Yaani hana akili ya kuweza kujibu maswali.

Wenzake waliopita waliweza kubaki baada ya speech na kujibu maswali vizuri tu, sasa huyu iweje anakimbia?
 
Sifanyi huo upuuzi ana zaidi ya wiki mbili sasa kama Waandishi wa habari wangekuwa hawaridhiki wasingemchana LIVE? News conference aliyojibu kwa muda mrefu niliangalia yote.

Rais si kazi yake kujibu maswali kila siku iendayo kwa Mungu ndiyo sababu kuwa WH Press Secretary ambaye analipwa pesa ndefu tu. Rais akiona kuna umuhimu wa kuongea na wana habari atafanya hivyo na atajibu maswali yote anayoweza kuyajibu papo kwa hapo na mengine atawaachia wataalamu wa sekta husika.

Hebu weka hio news conference aliyojibu maswali kwa zidi ya saa moja akiwa raisi, Na kama kuna muujuza kwamba lifanya hivi basi ni wazi ni ear pice ama telepromter ndio ilikuwa inajibu maswali...
 
Sifanyi huo upuuzi ana zaidi ya wiki mbili sasa kama Waandishi wa habari wangekuwa hawaridhiki wasingemchana LIVE? News conference aliyojibu kwa muda mrefu niliangalia yote...
No research, no data, no need kubwabwaja pumna 😂😂😜

Weka video hapa tuione, you got no evidence for what you speak for.

Kojoa ulale
 
You don’t know what you are talking about. Why do need to do a research? I told you that I watched the whole news conference from start to finish. JIONGEZE badala ya KUKURUPUKA na UZUSHI. ZWAZWA wewe!

No research, no data, no need kubwabwaja pumna 😂😂😜

Weka video hapa tuione, you got no evidence for what you speak for.

Kojoa ulale
 
Sifanyi huo upuuzi ana zaidi ya wiki mbili sasa kama Waandishi wa habari wangekuwa hawaridhiki wasingemchana LIVE? News conference aliyojibu kwa muda mrefu niliangalia yote.

Rais si kazi yake kujibu maswali kila siku iendayo kwa Mungu ndiyo sababu kuwa WH Press Secretary ambaye analipwa pesa ndefu tu. Rais akiona kuna umuhimu wa kuongea na wana habari atafanya hivyo na atajibu maswali yote anayoweza kuyajibu papo kwa hapo na mengine atawaachia wataalamu wa sekta husika.
Mbona uko na moto
 
You don’t know what you are talking about. Why do need to do a research? I told you that I watched the whole news conference from start to finish. JIONGEZE badala ya KUKURUPUKA na UZUSHI. ZWAZWA wewe!
Ongea hata kiswahili tukuelewe, hicho kingredha chako cha "why do need to do a research" ulishawahi siki wapi (in bwege's voice 😁😁).

why do you need to do a research?? like for real?, how dumb can you be not to know the significance of doing research kabla hujaanza kuchangia maada hili jukwaa linaloheshimika, unaongea kitu ambacho huna evidence nacho, weka hio video hapa akiwa raisi alivyojibu maswali kwa zaidi ya saa, leta facts sio kupanic na kuanza kutukana 😜😜
 
Biden si ndio alisema wamarekani milioni 120 wamekufa kwa COVID 19?
Anasahau hasa linapokuja suala la takwimu
 
Back
Top Bottom