Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Huyu jamaa ni kama dish limeyumba. Amekuwa akitumika vibaya kama bwege kiasi inatupa shida kuwa je a a tatizo kiakili? Yanga ilikuaje tukawa na kiongozi Bogus kama huyu? Yeye anaona suala linalomhusu Yanga ni la Morrison tu?