YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,911
- 51,902
Kila binadamu hufa kwa tatizo la upumuaji pumzi ikikata ndipo hufariki hakuna akaendelea kupumua
Siku hizi kuna ujinga unasambaa mtu akifa tu utasikia lilikuwa tatizo la kupumua!!
Tafsiri ya kifo chochote ni pumzi kukatika ndio maana kuangalia mtu kama kafa huangaliwa upumuaji.
Sasa haya maneno ya kusema mtu kafa kwa tatizo la kupumua yanatoka wapi?
Siku hizi kuna ujinga unasambaa mtu akifa tu utasikia lilikuwa tatizo la kupumua!!
Tafsiri ya kifo chochote ni pumzi kukatika ndio maana kuangalia mtu kama kafa huangaliwa upumuaji.
Sasa haya maneno ya kusema mtu kafa kwa tatizo la kupumua yanatoka wapi?