sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,026
Kiufupi mimi ni mtu wa watu sana na nina marafiki wengi sana
Hawa mrafiki sio marafiki basi tu, Ni marafiki haswa, Yani kwa siku lazima tuchekiane kwenye simu, wanakuja home mara kwa mara, nikipata matatizo husaidia, n.k
Sasa ishu inakuja kwa besti yangu hapa yaani naonaga kama vile hapendagi navyopeana kampani na watu wengine na mbaya zaidi namjua vizuri kwamba nje ya mimi hana marafiki wengine wa nguvu, namjua tu rafiki yake moja tu ambae hata sio urafiki mzito.
Mke wake huwa ananiambia hata simu yake nje ya mawasiliano ya kazini na ndugu zake, mara nyingi ni mimi tu ndie naewasiliana nae kirafiki na huwa anachangamka sana ikiwa ni mimi, Kiukweli ni besti wa nguvu kuzidi marafiki zangu wote ila ndio vile tena upweke unamsumbua.
Nadili vipi na hii hali
Hawa mrafiki sio marafiki basi tu, Ni marafiki haswa, Yani kwa siku lazima tuchekiane kwenye simu, wanakuja home mara kwa mara, nikipata matatizo husaidia, n.k
Sasa ishu inakuja kwa besti yangu hapa yaani naonaga kama vile hapendagi navyopeana kampani na watu wengine na mbaya zaidi namjua vizuri kwamba nje ya mimi hana marafiki wengine wa nguvu, namjua tu rafiki yake moja tu ambae hata sio urafiki mzito.
Mke wake huwa ananiambia hata simu yake nje ya mawasiliano ya kazini na ndugu zake, mara nyingi ni mimi tu ndie naewasiliana nae kirafiki na huwa anachangamka sana ikiwa ni mimi, Kiukweli ni besti wa nguvu kuzidi marafiki zangu wote ila ndio vile tena upweke unamsumbua.
Nadili vipi na hii hali