Tatizo la simu kuweka Mistari kwenye kioo

commm

JF-Expert Member
Sep 6, 2019
1,674
1,905
Wakuu, habari za Asubuhi

Simu yangu ina tatizo la kuweka Mistari kwenye kwenye kioo chake na baada ya muda hiyo mistari hupotea.

Sasa wakuu hapo shida itakua ni kitu gani maana hiyo mistari naona kama inaondoa muonekano mzuri wa simu.
 
Kwani kioo cha ndani na nje huwa na Bei tofauti?
Ndio. Kunakua na glass ya juu ambayo ni bei rahisi alaf kuna kioo cha ndani kinachoonesha kinakua ni bei kubwa. Inategemea ni simu gani. Kuna baadhi ya simu huwezi badilisha cha ndani tu unabadilisha complete zote
 
Ndio. Kunakua na glass ya juu ambayo ni bei rahisi alaf kuna kioo cha ndani kinachoonesha kinakua ni bei kubwa. Inategemea ni simu gani. Kuna baadhi ya simu huwezi badilisha cha ndani tu unabadilisha complete zote
Simu ni Huawei Y9 Prime
 
Ndio. Kunakua na glass ya juu ambayo ni bei rahisi alaf kuna kioo cha ndani kinachoonesha kinakua ni bei kubwa. Inategemea ni simu gani. Kuna baadhi ya simu huwezi badilisha cha ndani tu unabadilisha complete zote
Unamchanganya.

Hua kunakua na display na screen touch.

Display ndiyo hiyo ina mistari. Simu inaweza anguka na bado ukawa unaitumia huku ina mistari means display imepata shida ila screen touch bado nzima.

Display hua na bei ya juu kuliko touch.
 
Unamchanganya.

Hua kunakua na display na screen touch.

Display ndiyo hiyo ina mistari. Simu inaweza anguka na bado ukawa unaitumia huku ina mistari means display imepata shida ila screen touch bado nzima.

Display hua na bei ya juu kuliko touch.
Bhasi itakuwa ndio hiyo Display mkuu

Kwa hiyo bei yake ni shilingi ngapi?
 
Kuna kipindi haitapotea itabaki hivyo hivyo. So fanya back up ya docs na media in case ikizingua isikupige bumbuazi.

Ila ulizia hata bei ya display ili siku ikifa kabisa ujue unajiandaaje
Duuh sawa mkuu kwa kunielewesha

Sema kuna jamaa aliniambia eti simu ukishabadilisha kioo. Lazima itakua na usumbufu ni bora niache hiki hiki

Je ni kweli?
 
Duuh sawa mkuu kwa kunielewesha

Sema kuna jamaa aliniambia eti simu ukishabadilisha kioo. Lazima itakua na usumbufu ni bora niache hiki hiki

Je ni kweli?
Ni uongo na ni ukweli.

Kama fundi anajua anachofanya ni uongo kama fundi ni miyeyusho ni ukweli.

Simu za siku hizi kutenganisha kioo na touch kunahitaji ujuzi na mashine kama akikosea ndiyo utakuta kuna vidoti vya wino vimevujia.

Wengi hua wanamshauri mteja anunua full display, yaani display na touch ili kuepuka hiyo wino kuvujia.
 
Inakuwaga ni setting ya DEVELOPER au ni screen fake ambazo ukiongeza mwanga adi mwisho inakuwa na vertical or horizontal lines.
 
Unamchanganya.

Hua kunakua na display na screen touch.

Display ndiyo hiyo ina mistari. Simu inaweza anguka na bado ukawa unaitumia huku ina mistari means display imepata shida ila screen touch bado nzima.

Display hua na bei ya juu kuliko touch.
Simu zenye laminated screen sikuhz glass ya juu ni glass tu haina touch. Touch digitizer inakua bado imejishikisha kwenye lcd/oled panel yenyewe. Kma umeenda kubailisha glass ya juu kwenye simu mpya hapa karibuni utakua umeona kwamba kile kioo anachobadilisha hakina circuit wa cable yoyote, ni kioo tu. Ndio maana sikuhizi unaweza kwenda kubadilisha glass ya juu hata kwenye simu kama A51 na bado utalipia 40,000 tu
 
Back
Top Bottom