johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,832
- 141,749
Jana serikali ilitangaza hatua za kudhibiti Corona katika vyombo vya usafiri na kuwataka wenye mabasi wote kupakia "level seat"
Leo Waziri wa Afya wa Kenya ametangaza mabasi ya daladala (matatu) kupakia abiria 60% ya uwezo wake akisema yale ya abiria 25 yapakie 15, yale ya abiria 20 yapakie 12 na yale ya abiria 14 yapakie 8
Athari za kiuchumi zimeshaanza kuonekana Afrika ya Mashariki
Maendeleo hayana vyama!
Leo Waziri wa Afya wa Kenya ametangaza mabasi ya daladala (matatu) kupakia abiria 60% ya uwezo wake akisema yale ya abiria 25 yapakie 15, yale ya abiria 20 yapakie 12 na yale ya abiria 14 yapakie 8
Athari za kiuchumi zimeshaanza kuonekana Afrika ya Mashariki
Maendeleo hayana vyama!