Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,348
- 6,471
Maelekezo ni mengi na mazuri kabisa, na yamekuwepo hata kabla ya Corona mpya kusumbua watu. Namna inayoonyeshwa kwenye video ni nzuri sana, ila je ni watanzania wangapi wanaweza kumudu mfumo huo wa maji?
Au ni wangapi wamefikiwa na mfumo huo wa maji? Je, watanzania wangapi wanamudu aina ya sabuni inayoshauriwa?
Maelekezo yaendane na kada au makundi ya watanzania. Sasa wa kijijini au wa Mburahati atafuataje utaratibu huo wa kunawa wakati huduma ya namna hiyo haipo?
Au ni wangapi wamefikiwa na mfumo huo wa maji? Je, watanzania wangapi wanamudu aina ya sabuni inayoshauriwa?
Maelekezo yaendane na kada au makundi ya watanzania. Sasa wa kijijini au wa Mburahati atafuataje utaratibu huo wa kunawa wakati huduma ya namna hiyo haipo?