technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Wakiongea kupitia BBC maasikofu na wachungaji wamesema wanasikitishwa na hali inayoendelea Tanzania juu ya matukio ya watu kushambuliwa na hata kuvunjwa mikono. wanasema wanataka iundwe tume huru ya kijaji kwa kuwatumia majaji wastaafu.
Wanasema majaji wastaafu wanaweza kutokuwa na upendeleo wakitoa report yao pia wameonya iwapo haitafanyika na kutoa haki sawa kwa wote taifa litagawanyika
Wameongeza kuwa pamoja na kwamba sio watu wa siasa ila wanao wajibu wa kukemea maovu maana wanao umizwa ni moja ya waumini wao ivyo ni wajibu wao kuikumbusha serikali kama kuna mambo hayaendi vizuri wayarekebishe haraka wasisubiri mpaka amani itoweke.
Chanzo: BBC.
======
Kamati ya Kitaifa ya pamoja ya Maaskofu na Mashekhe ya Maadili, Amani na Haki za Binadamu kwa Jamii ya Madhehebu ya Dini nchini Tanzania wataka kuundwa tume huru ya kijaji, kuchunguza mvutano unaoendelea kati ya Serikali na Chama cha upinzani, kufuatia Sakata la wabunge wa CHADEMA kupigwa na kuumizwa huko Gereza la Segerea.
Wamesema jopo hili la majaji ndio linakwenda kumaliza minong'ono na chuki inayoendelea katika jamii.
Wanasema majaji wastaafu wanaweza kutokuwa na upendeleo wakitoa report yao pia wameonya iwapo haitafanyika na kutoa haki sawa kwa wote taifa litagawanyika
Wameongeza kuwa pamoja na kwamba sio watu wa siasa ila wanao wajibu wa kukemea maovu maana wanao umizwa ni moja ya waumini wao ivyo ni wajibu wao kuikumbusha serikali kama kuna mambo hayaendi vizuri wayarekebishe haraka wasisubiri mpaka amani itoweke.
Chanzo: BBC.
======
Kamati ya Kitaifa ya pamoja ya Maaskofu na Mashekhe ya Maadili, Amani na Haki za Binadamu kwa Jamii ya Madhehebu ya Dini nchini Tanzania wataka kuundwa tume huru ya kijaji, kuchunguza mvutano unaoendelea kati ya Serikali na Chama cha upinzani, kufuatia Sakata la wabunge wa CHADEMA kupigwa na kuumizwa huko Gereza la Segerea.
Wamesema jopo hili la majaji ndio linakwenda kumaliza minong'ono na chuki inayoendelea katika jamii.