Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
Kuna vijana wanajadili kuhusu ukomo wa uwenyekiti wa Mh. Mbowe ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) halafu wanahusisha na ukomo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wanadai kwamba kitendo cha baadhi ya vijana wa Chadema kutaka Mbowe aendelee basi kinawapunguzia nguvu ya...
CCM na Magufuli hatimaye wameshinda!
Kama kuna kosa kubwa wapinzani walifanya ni kususia Uchaguzi wa Viongozi ngazi ya Serikali za mitaa unaofanyika hii leo wakidhani wanaikomoa CCM na Serikali pasina kufahamu kwa kufanya hivyo wanawasaidia Watanzania kutokuwa na morali tena wa kushiriki siasa...
Kwenye viunga vya wasomi na wanasiasa, wachambuzi na wanaharakati hili jambo linaendelea kujadiliwa sana.
Katika dhamira ya kuleta mabadiliko Rais Magufuli anaonekana kuwa na dhamira lakini amekosa wapi na lipi ashike.
Amekosa mipango ambayo ingeihakikishia Tanzania mabadiliko aliyokusudia...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi Kabudi amesema ndege ya Tanzania Bombardier Q400 iliyokuwa iwasili nchini hivi karibuni imekamatwa nchini Canada na kesi ipo Mahakamani
NDEGE NYINGINE YA TANZANIA YAKAMATWA CANADA
- Waziri wa Mambo ya Nje na...
Kuna siku niliweka mshangao wangu hapa bei ya mafuta ya Uganda ni ndogo kuliko Diesel ama petrol inayouzwa Tanzania. Nikawaza haya Malori yanayosomba mafuta wanasema wanapeleka Uganda wanabeba mafuta ama ulezi.
Leo naomba nieleze bei za gesi hapa nchini
Kumekuwa na mtafaruku sana hapa kati...
Waziri wa mambo ya nje ameonesha kusikitishwa na zaidi ya hapo kukasirishwa na kitendo kinachofanywa na Canada kila ndege ya Tanzania inapotaka kutoka hapo.
Kwa maneno yake...."siyo Canada peke yao ndiyo wanaotengeneza ndege".
Natamani tufukue hili kaburi tujaribu kuona kulikoni Canada?
Kwanza naomba niombe radhi kwa balozi wa Canada nchini Tanzania kama kweli ulimuita na kumzungumzia yale uliyozungumza leo.
Pili siamini kama hujui kuwa kuna tofauti kubwa kati ya Marekani na Canada kwani Canada yupo jumuiya ya madola wakati Marekani haipo.
Sasa basi, tuje kwenye hoja ya...
Sehemu ya Pori la Akiba la Selous lenye ukubwa wa Kilometa za mraba 30,893 limegeuzwa kuwa Hifadhi ya Taifa ya Nyerere kama alivyoagiza Rais Magufuli
Hifadhi hiyo inaanza rasmi Novemba 19 baada ya Rais Magufuli kuweka saini kwenye Tangazo la kuanzisha Hifadhi hiyo na na Bunge kupitisha azimio...
Jana wakati Prof.Makulilo anawahudhurisha wahitimu kuna dada amekabidhiwa PhD ya matumizi ya Vipodozi kama sikosei ,"The case of Bongo Movies"
Nilisikiliza topics za PhD zilizotolewa jana na UDOM kwa kweli naona hata mimi soon na enroll PhD pale UDOM.
Job Description
We are looking for experienced, competitive and trustworthy sales executives for the CarHunt Japan branch office in the Tanzania market to build up business activities.
The line of business is selling used cars, trucks, and Machinery to customers in Tanzania.
Job position...
hivi hili suala la annual increment kwa Tanzania ni la kikatiba au limekaa vipi? Mbona serikali imepiga kimya na kila mtu kapotezea as if halikuwahi kuwepo hapo kabla?
Nielimisheni
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Maendeleo ya Biashara (UNCTAD), limezindua ripoti ya mwaka 2019 kuhusu nchi maskini zaidi duniani.
Shirika hilo limebainisha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizo katika hali chanya kwa kufanya vizuri, kuweza kuondoka katika orodha ya nchi...
Kwenu wakuu,
Watumishi wa umma wa Tanzania wamepitia vipindi vigumu sana hasa tangu JPM aingie madarakani. Hakuonesha kuwathamini wala kuwajali kabisa, aliwabeza na kuwatukana.
1. Hajapandisha vyeo wala madaraja na mishahara pia ambayo ni haki yao kisheria.
2. Amepitisha sheria ya kikokotoo...
RTI International is one of the world’s leading research institutes. We work with governments, businesses, foundations, universities, and other clients and partners to improve the human condition by turning knowledge into practice. Our staff of more than 5,000 tackles hundreds of projects to...
BBC wameipongeza JamiiForums kwa kuwa kimbilio la wananchi kupata habari za ukweli na uhakika
Sasa Maxence Melo anahojiwa mubashara kuhusu tuzo anayoipokea nchini Marekani.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
CPJ is honored to present its 2019 International Press Freedom Award to Maxence Melo Mubyazi, a champion of online freedom of expression in Tanzania. He is the co-founder and managing director of Jamii Forums, a popular East and Central African website and discussion forum that is a source of...
Kwa miaka ya karibuni tumeshuhudia timu ya taifa ya wanawake kuwa tishio barani Afrika. Ikishinda makombe mfululizo katika mashindano ya CECAFA, COSAFA n.k. Kwa nini haipo hivyo kwa upande wa pili, tatizo lipo wadau?..
Akizungumza mubashara kabisa leo asubuhi ndani ya kituo cha redio cha Magic FM ambacho pia kinamilikiwa na Chama Cha Mapinduzi Katibu Mwenezi na Itikadi wa CCM Ndugu Humphrey Polepole amesema kwamba kuanzia sasa muda wowote ataenda kuyataja magazeti mawili makubwa aliyoyaita mwenyewe kuwa ni ya...
Sikuwahi kufikilia nchi mojawapo ya ukanda wa kaskazini ku-export bidhaa nchini Tanzania, hususani bidhaa ya simu.
Leo naona simu yenye uwezo wa kasi ya 4G inayopigiwa kelele na makampuni ya mitandao nchini ikizalishwa nchini Algeria na kuanza kupokeewa kwa mikono miwili.
Bidhaa zilizoeleka...
Mapema mwaka tajwa hapo juu niliambulia kiasi hicho cha pesa kutoka kwa gwiji RA kwa ajili ya soda na biscuits.
Muda huu nafsi imenisuta pengine nilikula ya kagoda au ya Richmond.
Kwa mantiki hiyo nakuja kwenu wa Tanzania kuwaombeni msamaha na nipo tayari kuirejesha.
Ee mwenyezi Mungu nisamehe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.