Mizaha na mazoea ndicho kitakachoigharimu Tanzania dhidi ya Covid-19

goldcall

JF-Expert Member
Oct 20, 2017
394
535
Tunaona kabisa mizaha mizaha na siasa kwenye mambo serious kama corona virus, tunaona viongozi wa siasa wanapinga mikusanyiko angali wao wamekusanyika na wamekusanya watu, kwa mitazamo yetu watanzania vile tusivyo penda kujifunza kutoka italia na china, hili gonjwa kama litadhibiwa kisiasa basi ijulikane kabisa kuwa tutakwisha vibaya mno,

viongozi wanasiasa na viongozi wa dini, hutumia mic na instruments zingine pasipo kujiuliza mazingira ya huyu mdudu covid ni pamoja na vitu kama hivyo, tuwe makini sana na hawa hawa viongozi wetu, hasa wale wanajichanganya katika mikusanyiko kukemea mikusanyiko, they are suspects number one, corona haiogopi mtu,cheo,umri wala kabila, mizaha ni dalili tosha za kupata mdudu.

Pia hili suala la covid, iwe fundisho kwa viongozi wenye dhamana, kuwa maandalizi ya kiafya yaliyopo mazuri au mabovu ndiyo yatakayo kutibu hiki kipindi manake huwezi kusafiri nje ya nchi ukatibiwe kule, utatibiwa na mifumo iliyopo kwa sasa iwe mibovu, nafuhu au mizuri, tujifunze pia, secta nyeti kama afya haitakiwi kuendeshwa kisiasa.

Ushauri kwa serikali

Katika kipindi hiki cha janga hili la dunia coronavirus, tujitahidi sana kusikilizana ikiwemo kuwasikiliza wananchi, ushauri na michango positive ya kuikomboa nchi, huwezi kuwadhalau wananchi na ushauri wao kama hapo awali mlipo shauriwa kudhibiti Airports, borders Nk, lakini hamkutaka kusikia, sasa hivi mambo yamechanganya, mnarudi tena kufanyia kazi ushauri wa wananchi na kuufanyia kazi, hii vita ya corona ni janga la dunia pia ni janga la mtu mmoja mmoja, hivyo kulitokomeza hili janga, nikuanzisha hata online opinion poll.

Iif measures will not be taken, corona virus, itachelewa sana kuisha au isiishe kabisa na kuingia katika list ya magonjwa endelevu tutakayo pambana nayo kilasiku kama ukimwi,malaria nk.

Ushauri kwa raia

Tujifunze kusikia, tujifunze kuzijua hatari na madhara yake, atakaye umia ni sisi wote tujifunze hata katika Coronavirus Update (Live): 487,063 Cases and 22,025 Deaths from COVID-19 Virus Outbreak - Worldometer.

pia ikumbukwe tuna watoto, wazazi, ndugu jamaa na marafiki, mwisho wa kunukuu,

Asanteeni sana.
 
Hata ukipanic korona ikikuchagua inakufungulia mlango wa urafiki au uadui. Kwa uchumi wa nchi yetu ulitaka tufanyeje? Au tupeane presha? Korona imewaadhibu madaktari,wauguzi,mawaziri na wake zao watu wanaochunguzwa afya zao zaidi katika hii dunia. Lakini Kuna walala pia wapo walioambukizwa na kufa na wapo waliopona,Sasa wewe ulitakaje?
 
Adjustments.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hata ukipanic korona ikikuchagua inakufungulia mlango wa urafiki au uadui. Kwa uchumi wa nchi yetu ulitaka tufanyeje? Au tupeane presha? Korona imewaadhibu madaktari,wauguzi,mawaziri na wake zao watu wanaochunguzwa afya zao zaidi katika hii dunia. Lakini Kuna walala pia wapo walioambukizwa na kufa na wapo waliopona,Sasa wewe ulitakaje?
Si bora ungepiga kimya tu maana hauna point.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaona kabisa mizaha mizaha na siasa kwenye mambo serious kama corona virus, tunaona viongozi wa siasa wanapinga mikusanyiko angali wao wamekusanyika na wamekusanya watu, kwa mitazamo yetu watanzania vile tusivyo penda kujifunza kutoka italia na china, hili gonjwa kama litadhibiwa kisiasa basi ijulikane kabisa kuwa tutakwisha vibaya mno, viongozi wanasiasa na viongozi wa dini, hutumia mic na instruments zingine pasipo kujiuliza mazingira ya huyu mdudu covid ni pamoja na vitu kama hivyo, tuwe makini sana na hawa hawa viongozi wetu, hasa wale wanajichanganya katika mikusanyiko kukemea mikusanyiko, they are suspects number one, corona haiogopi mtu,cheo,umri wala kabila, mizaha ni dalili tosha za kupata mdudu.

Pia hili suala la covid, iwe fundisho kwa viongozi wenye dhamana, kuwa maandalizi ya kiafya yaliyopo mazuri au mabovu ndiyo yatakayo kutibu hiki kipindi manake huwezi kusafiri nje ya nchi ukatibiwe kule, utatibiwa na mifumo iliyopo kwa sasa iwe mibovu, nafuhu au mizuri, tujifunze pia, secta nyeti kama afya haitakiwi kuendeshwa kisiasa.

Ushauri kwa serikali

Katika kipindi hiki cha janga hili la dunia coronavirus, tujitahidi sana kusikilizana ikiwemo kuwasikiliza wananchi, ushauri na michango positive ya kuikomboa nchi, huwezi kuwadhalau wananchi na ushauri wao kama hapo awali mlipo shauriwa kudhibiti Airports, borders Nk, lakini hamkutaka kusikia, sasa hivi mambo yamechanganya, mnarudi tena kufanyia kazi ushauri wa wananchi na kuufanyia kazi, hii vita ya corona ni janga la dunia pia ni janga la mtu mmoja mmoja, hivyo kulitokomeza hili janga, nikuanzisha hata online opinion poll.

Iif measures will not be taken, corona virus, itachelewa sana kuisha au isiishe kabisa na kuingia katika list ya magonjwa endelevu tutakayo pambana nayo kilasiku kama ukimwi,malaria nk.

Ushauri kwa raia

Tujifunze kusikia, tujifunze kuzijua hatari na madhara yake, atakaye umia ni sisi wote tujifunze hata katika Coronavirus Update (Live): 487,063 Cases and 22,025 Deaths from COVID-19 Virus Outbreak - Worldometer
pia ikumbukwe tuna watoto, wazazi, ndugu jamaa na marafiki, mwisho wa kunukuu,

Asanteeni sana.
Ulitaka serikali ichukue hatua ipi ?
 
kuna watu wakiambiwa hii ni sumu, bado wanataka kuonja.
Watanzania wabishi.............
 
Back
Top Bottom