tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. Ole

    Gold trade body urged to suspend refinery over alleged abuses in Tanzania

    The North Mara mine in Tanzania. It has been alleged that police guarding the mine have beaten, shot and sometimes killed locals. Photograph: Forbidden Stories ''A corporate watchdog is calling for the London Bullion Market Association (LBMA) to suspend the membership of one of the world’s...
  2. T

    An analytical narrative of nation formation in modern Tanzania

    An Analytical Narrative of Nation Formation in Modern Tanzania Tanzania’s political stability is legendary within Africa. It has never suffered any civil wars, coup d’états or violent national elections, and has had regular presidential and parliamentary elections every five years since...
  3. Mwanamayu

    'Wanyonge' ni akina nani na wapo wangapi nchini Tanzania?

    Kwa muda sasa tumesikia kuwa Tanzania kuna 'wanyonge' na Rais amekuwa akiwapigania kwa kujiita ni 'Rais wa wanyonge.' Hivi 'wanyonge' wana sifa zipi? Na idadi yao ni kiasi gani? Kitu gani hasa kinawaweka kwenye 'unyonge' kama kweli wapo? Hivi kama kweli hawa 'wanyonge' wapo, wanakombolewa na...
  4. Meneja Wa Makampuni

    Barua ya wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

    Barua ya wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe Dkt. John Pombe Magufuli. Kwako Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Natumai unaendelea vizuri na shughuri zako za kila siku. Mimi ni kijana wako mtanzania halisi mpenda maendeleo na mchapa kazi wa kweli. Nakupongeza kwa...
  5. dosama

    Shilingi ya Tanzania yazidi kuporomoka dhidi ya US Dollar, Euro na Paundi

    Kwa rate ya leo ya kuuza na kununua fedha hizo za kigeni ni kama ifuatavyo 1. USD inauzwa kwa shilingi 2317 na kununuliwa kwa shilingi 2354 2. Euro inauzwa kwa shilingi 2580 na kununuliwa kwa shilingi 2700 3. Paundi unauzwa kwa shilingi 2854 na kununuliwa kwa shilingi 2974
  6. B

    Mgonjwa kwao, lawama Tanzania - Mabeberu hawa!

    Mabeberu kazi wanayo. Kila tukipiga chenga wao wanafuata nyayo. Inafikirisha kuwa hata huko Isingiro Uganda mgonjwa wao kwanza aliyepatikana jana, eti naye kapita 'kinyoka nyoka' mpakani akitokea Tanzania kinyume cha utaratibu: ---- The East African region Monday recorded a spike in...
  7. GENTAMYCINE

    Hivi Sheria kama hii haiwezi kufikiriwa kutungwa Nchini Tanzania kwani tumechoka kupatwa na 'Vinyaa' kila wakati?

    Napendekeza Kutungwe Sheria Kali sana nchini Tanzania ya ama Kuwalipisha Faini au kuwapa Adhabu ya Kusafisha Vyoo vya Jiji au Barabara Wanawake wote wanaogundulika Kutupa hovyo Taulo zao za Kike (Pedi/Sodo) Mitaani. Vile vile hata ikitokea Taulo hizo zimekutwa Nyumbani kwa Mtu au Mtaani basi...
  8. FrankLutazamba

    Ushauri: Serikali ya Tanzania ichimbe mafuta yake kabla teknolojia ya kutumia maji, solar na gesi kweye magari hazijafika

    Nina hofu kuwa mafuta yatashuka thamani siku si nyingi hivyo tungechangamka kuchimba mafuta yanayosemekana yamegunduliwa katika bahari ya Hindi. Mfano baadhi ya nchi jirani wameanza kutumia gesi katika magari yao hivyo ni hatari kwa solo la mafuta. Uganda wanaanza kuchimba siku si nyingi japo...
  9. Erythrocyte

    GE2020 Lissu atua Ujerumani katika maandalizi ya mwisho kutua Tanzania

    Akutana na kuteta na Christian Kattner ambaye ni Katibu Mkuu wa IDU
  10. Naantombe Mushi

    Kikwete alikuwa genius wa uchumi, Magufuli itabidi akajifunze kwake kama kweli ana nia ya kurudisha uchumi wa Tanzania kwenye reli

    Huu ni muendelezo wa nyuzi zangu za kiuchumi ambazo ni matokeo ya kutafiti taarifa mbalimbali za serikali kwenye masuala ya fedha na uchumi. Msukumo wa kuamua kufanya hizi tafiti, unatokana haswa na kuchukizwa na yale majigambo ya wanasiasa na watu wasioelewa mambo, ya eti uchumi kwenye awamu...
  11. Wacha1

    Airtel Tanzania slashes data prices by 85%

    ''Airtel Tanzania has announced an 85 percent drop in its mobile data price from TZS 40 per megabyte. MD George Mathen, said customers' daily data patterns have increased recently and it is introducing the new data rate in response to this demand.'' ..... ..... .... ..... Mambo ya kulialia oh...
  12. Allen Kilewella

    Unaionaje Tanzania baada ya Uchaguzi wa mwaka 2020?

    Hivi baada ya Uchaguzi wa mwaka huu unadhani Tanzania nchi tunayoishi na kuitakia mema itakuwaje? 1. Uhuru wa kuabudu utakuwaje? 2. Uhuru wa Mahakama utakuwaje 3. Uhuru wa kutoa mawazo utakuwaje 4. Uhuru wa vyama vingine vya siasa zaidi ya CCM kufanya siasa utakuwaje 5. Uhuru wa kupata...
  13. Wacha1

    Tanzania ‘to register fastest economic growth in East Africa

    Credit: Tanzania ‘to register fastest economic growth in East Africa ''Dar es Salaam. Tanzania’s economy is forecast to grow at 5.2 percent this year, while six Eastern African countries’ economies are projected to plunge into recession, blaming the trend on the Covid-19 pandemic, a new report...
  14. anonymousafrica

    Kukua na kusambaratishwa kwa Chama Cha Black panthers na FBI, Pia wafahamu baadhi yao waliokimbilia Tanzania

    ACHANA NA BLACK PANTHER WALE PAKA Au movie ya Wakanda Leo nakupa historia/ machache kuhusu chama cha Black Panthers.... walioishi kwa falsafa za Malcom X na kusambaratishwa kwa Hila za FBI Kama unaikumbuka historia ya tupac na Mama yake Afeni Shakur Afeni alikua mwanajumuia wa Black Panther...
  15. Ubumuntu

    Why is Tanzania still a borrowing country under IDA?

    Salaam, Recently, there has been a discussion re the World Bank's new country classifications by income level. The classification indicated that Tanzania's economy has changed from being low to lower middle income level. The change has sparked discussions, which have largely based on crediting...
  16. Last Seen

    Comments za mitandaoni: Comment gani ilikufurahisha zaidi?

    Habari wanna JF. Mtu anapopost video, picha au andiko lolote mitandaoni lazima apokee comments tofauti tofauti, Kuna zingine nzuri, zingine mbaya na zingine za kufurahisha. Ni comment gani ilikufurahisha zaidi?
  17. Geza Ulole

    On the eve of covid19 travel restrictions, 2 tour companies in Germany filed an injuction to lift unfounded travel warnings against Tanzania

    German Travel Warnings for Tanzania, Seychelles, Mauritius, and Namibia challenged Juergen T Steinmetz July 11, 2020 06:45 In Germany, two tour operators specialists in travel to Africa have filed a legal action at the Berlin Administrative Court for a temporary injunction to have the German...
  18. wanzagitalewa

    Maendeleo ya teknolojia ya kidijitali na umuhimu wake kwenye kukuza uchumi Tanzania

    Duniani kote suala la matumizi ya teknolojia ya kidijitali linakua kwa kasi kubwa sana na kwa kiasi fulani kunachagizwa na matumizi ya intaneti/data kupitia simu za mkononi. Kwa mujibu wa Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Biashara na Maendeleo, matumizi ya data duniani kote yanatarajiwa...
  19. J

    Politics is a game of dynamics, Urais, Ubunge, Udiwani turufu ni CCM na TLP Tu, Siasa za Itikadi Tanzania hazipo tena! kikubwa mkono uende kinywani tu

    Wanasiasa hasa Wa Upinzani naomba mpitie huu Uzi kwa makini sana, MADA :"Politics is a game of dynamics,Urais,Ubunge,Udiwani turufu ni CCM na TLP Tu,Siasa za Itikadi Tanzania hazipo tena! kikubwa mkono uende kinywani tu" Jana nimefuatalia kwa kina Mkutano Mkuu Maalum Wa CCM uliofabyika Jijini...
  20. Foreverfreed

    Usalama wa Tundu Lissu ataporejea Tanzania

    Habari za wakati huu wanajukwaa. Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni takriban zaidi ya mwaka moja tangu ndugu yetu mtanzania mwenzetu kusema anataka kurejea nyumbani. Lakini mhusika Mara nyingi kasema anahitaji ahakikishiwe ulinzi pindi atakapokanyaga ardhi yetu hi ambayo Kuna wahalifu...
Back
Top Bottom