tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. T

    JamiiForums Tanzania Since when Trump cares about Tanzania after banning us to get US visa?

    Tanzania is sovereign country, we are not a colony no more, we have our sovereignty. Otherwise remove all sanctions against Russia for your speculations of interference in your democracy. More you interfere more we like Magufuli, get that. Since when you even care about Africa never mind...
  2. JF Marketer

    JamiiForums Tanzania Qatar Airways Offers More Global Connectivity Than Any Other Airline

    Airline’s young fleet of sustainable aircraft has enabled it to continue flying throughout the pandemic and rapidly rebuild its global network to more than 650 weekly flights to over 85 destinations Qatar Airways’ passengers can enjoy more flexible travel options via the most connected and Best...
  3. RUSTEM PASHA

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ushauri: Mgombea Urais kupitia CCM, zungumzia Tanzania ya Viwanda ulivyoifanikisha ili upate kura za kutosha

    Pombe Magufuli nakushauri usisahau kuwaeleza wananchi kuwa Tanzania ya viwanda kama umeifanikisha, maana 2015 ulipigiwa kura na watu wengi kwa namna ulivyonadi sera zako, hasa iliyonivutia mimi mpaka nikakupa kura ni Tanzania kuigeuza nchi ya viwanda. Sasa hivi sisikii ukinadi umeifanikisha...
  4. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Hivi hii work placements system inaweza kufanya kazi kwetu Tanzania?

    Hello JF, Nadhani nishawahi kulileta before.. Ningependa kuona serikali yetu.. ina invest kwenye skills za vijana/graduates wetu... Kwa mfano Jeshi lingefutwa, badala yake vijana watafutiwe ajira zile za temporary... 3-6 Months! za masomo waliyosomea Hio hela inayotumika kuwa train vijana...
  5. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Waandishi wa Habari wa Tanzania jifunzeni Kuuliza 'Critical Questions' Wanasiasa wa Tanzania na 'Mjiamini' pia

    Laiti ningepata nafasi kwa Mtu ambaye namvizia sana Kumpata na Kufanya nae 'Mahojiano' kwakuwa naikubali mno 'IQ' yake ningeanza na haya.... 1. Ni Kitu gani cha Kimaendeleo unadhani Serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli haijafanya na Yeye akishinda atakifanya? 2. Ni kwanini anahusisha Tukio...
  6. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Tanzania ni nchi ya 88 kwa Uvumbuzi (Innovation) Duniani na ya pili kwa Afrika Mashariki

    Jarida la Global Innovation Index limeionyesha Tanzania kuwa nchi ya 88 katika ugunduzi kwa mwaka 2020. Jarida hilo linatolewa na World Intellectual Property Organization, WIPO. Tanzania imekuwa ni nchi ya pili kwa Afrika Mashariki, ya kwanza ikiwa ni Kenya ambayo imeshika nafasi ya 86. Rwanda...
  7. funaku

    JamiiForums Tanzania GE2020 Lissu with a failed mission to distract General Election in Tanzania

    Blessed is thyloard our CREATOR Tanzania has so long be in a glorified fight against barbarism and planned colonialism. We have eversince survived the actions of non mercy bandits of humanity our fathers and grandies bitten and strangled to death with the same blood pretending to love us now...
  8. Mwamba1961

    JamiiForums Tanzania Nafasi 33 za kazi, sifa lazima uwe na Driving License Class C or E

    POSTCIVIL ARTISAN II - 33 POST POST CATEGORY(S)HR & ADMINISTRATION EMPLOYERTANZANIA RAILWAYS CORPORATION (TRC) APPLICATION TIMELINE:2020-09-02 2020-09-16 JOB SUMMARYN/A DUTIES AND RESPONSIBILITIESi.Packing of the railway track as directed by the supervisor; ii.To clear grass and bushes...
  9. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Balozi kumi zaitakia kila la kheri Tanzania kuelekea Uchaguzi

    Wakuu wa Balozi za nchi ya Ubelgiji, Canada, Denmark, Finland, Ujerumani, Ireland, Netherlands, Norway, Sweden na Uswizi zilizoko kwa pamoja zimeitakia Tanzania uchaguzi mwema Katika tamko hilo la pamoja, wameonyesha kuwa wanatumaini Uchaguzi utauwa wa huru na wa haki utakaoruhusu kila mtu...
  10. Return Of Undertaker

    JamiiForums Tanzania Shirika la Haki za Binadamu laishutumu Tanzania 'kubana haki za kiraia'

    Shirika la Haki za Binadamu laishutumu Tanzania 'kubana haki za kiraia' ========= Shirika la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch (HRW) linasema mamlaka nchini Tanzania imeongeza hatua ya ukandamizaji dhidi ya vyama vya upinzani na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali kabla ya...
  11. joto la jiwe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Precision Air yafuta Safari zote za kwenda Kenya licha ya Kenya kuruhusu Safari zake

    MY TAKE: Lazima baba wa familia ya EA ajulikane na heshima iwepo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ____________ Shirika la Ndege la Precision Air limetangaza kusitisha kurejeshwa kwa safari zake za Nairobi nchini Kenya kutokana na uhitaji mdogo. Taarifa iliyotolewa na Shirika hilo imesema...
  12. Teargass

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania has been ranked the 24th poorest country in the world

    25 Poorest Countries in the World Samuel Stebbins and Grant Suneson 6 days ago Across the globe, more than 700 million people live less than $1.90 a day — the poverty threshold set by the World Bank. Such severe privation is disproportionately concentrated in certain parts of the world...
  13. IAfrika

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania African Economies With the Highest External Chinese Debt in 2017

  14. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Tanzania tunahitaji mabadiliko ya kila kitu lakini siyo amani yetu

    Tanzania inasubiri kwa hamu maamuzi sahihi ya watu wake, maamuzi ambayo yataukilia mustakabali mzima wa Taifa katika wakati uliopo na wakati ujao. Watoto wa Taifa hili kwa kujua au kutojua wanaangukia katika maamuzi ya Watanzania wenye sifa za kupiga kura. Kura yako moja ina thamani kubwa sana...
  15. politicians

    JamiiForums Tanzania Natafuta dereva wa magari ya mzigo anayekwenda Kenya Nairobi

    Habari wadau!, natafuta dereva wa magari ya mizigo anayekwenda kenya,ambaye anayeweza kunichukulia mzigo wangu kidogo kutoka nairobi kuleta Tz,anitext +255687234549,tutaelewana.
  16. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Mafuta ya Total Tanzania yampongeza Rais Magufuli na kuipongeza Tanzania, kujenga mazingira bora ya biashara ya Mafuta, Uwekezaji

    Wanabodi, Kampuni ya Mafuta ya Total, imempongeza Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, na serikali yake ya awamu ya tano, kwa kujenga mazingira wezeshi ya biashara, na uwekezaji, yanayovutia wawekezaji wa kimataifa kuleta mitaji ya uwekezaji nchini na kuwawezesha Watanzania kupatiwa fursa za...
  17. BAK

    JamiiForums Tanzania GE2020 Open letter to the National Electoral Commission of Tanzania

    Open Letter to the National Electoral Commission of Tanzania - Robert Amsterdam Today Robert Amsterdam has issued the following open letter to Winston Charles, the Director of the National Electoral Commission (NEC) of Tanzania, on behalf of his client the presidential candidate Tundu Lissu...
  18. Point of Sales

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ninawezaje kupokea pesa zaidi ya milioni 100 kutoka nje ya nchi kuja Tanzania

    Habari. Nahitaji msaada wa namna nitakavyoweza kupokea kiasi kikubwa cha pesa Tsh.100,000,000 kutoka nchi ya Afghanistan..... Njia nyingi za online transfer zinashindwa kutuma kiasi hicho cha pesa. Nahitaji mawazo yenu.
  19. B

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa elimu yetu Tanzania

    Habari za leo wanajamvi, pole na majukumu ya kila siku ya kulijenga Taifa letu. Nashauri wanafunzi wasome kuanzia darasa la 1 & 6, na wafundishe masomo matatu tu. Yaani Hisabati, Sayansi na Lugha. Na wahakikishe wanapowafundisha wanafunzi mfano somo la Hisabati, wajitahidi wawe wameandaa...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Mbatia wa Mama Tanzania yupo wapi?

    Mbatia alienda ikulu akatoka na ahadi ya wabunge 20 akapita mikoa miwili mitatu kuvuna Wanachama wa Chadema na ACT Wazalendo, mara paap Lissu karejea nchini kaaribu mpango mzima. Waliomtuma Mbatia wakajitafakari wakaona kazi si ndogo na wao tu inawashinda, wakapiga chini Mbatia bila hata pesa...
Back
Top Bottom