joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Kenya ni nchi ya vituko na vitimbwi, mtu wa hali ya chini hana wa kumtetea kabisa, nauli ya Ksh 100 kwa train za zamani wakati BRT inatoza chini ya Ksh 35 ni aibu na fedheha kwa Kenya
Mlifunguliwa internet ama bado munatumia VPN
Hahahaha, hao Wakenya wanaolalamika ni kabila gani?Kenya si nchi ya maskini,
Izo bei ndogo Ni zaTz,burundi,malawi etc 😂😁🤣
Kenya si nchi ya maskini. Hizo bei ndogo ni zaTz, Burundi, Malawi etc 😂😁🤣
Hahahaha, hao wakenya wanaolalamika ni kabila gani?
Only in peak time, that is understandable, these DMU are Government owned, bought by tax payers money to liberate normal mwananch.but most matatus in Kenya charge that in peak time, and you get stuck in traffic...
hahaha hawezi kukujibu ,sijui kwanini hawa jamaa hupenda kufuatilia kenya wakati nchi yetu inatushinda
Kenya ni nchi ya vituko na vitimbwi, mtu wa hali ya chini hana wa kumtetea kabisa, nauli ya Ksh 100 kwa train za zamani wakati BRT inatoza chini ya Ksh 35 ni aibu na fedheha kwa Kenya
Nyie mnayo DMUs?Subiri watalia kuchezwa pale watakapoona Tanzania ina-operate brand new EMUs kati ya Dar na Moro umbali wa 195 km kwa bei chini ya hiyo Kshs 100! Saa hii wana euphoria ya kupanda DMUs! hata hawaoni kama mtumba!
Kenya ni nchi ya vituko na vitimbwi, mtu wa hali ya chini hana wa kumtetea kabisa, nauli ya Ksh 100 kwa train za zamani wakati BRT inatoza chini ya Ksh 35 ni aibu na fedheha kwa Kenya
Our government is not a socialist government like yours. Serikali yetu haiko hapa kutupea vitu vya bure kama yenu. Kila kitu mnapewa bure ndio maana mpo lazy.Only in peak time, that is understandable, these DMU are Government owned, bought by tax payers money to liberate normal mwananch.
Hell no! DMUs for what? N second hand for what? we went for brand new EMUs full paid!Nyie mnayo DMUs?
Serikali yoyote yenye kujali wananchi wake na uchumi wowote wenye kuimarika lazima viweze kupunguza gharama za maisha kwa wananchi wake.Kwani ni lazima Kenya tutoze nauli sawa na yenu?
Jibu zuri sana hii, hawa jamaa mwisho watauliza "Kwanini ninyi hamnunui vyuma chakavu kama Susi? ", wao wanataka sisi tuige upuuzi wao.Hell no! DMUs for what? N second hand for what? we went for brand new EMUs full paid!
Hahahaha, ndio sababu wanawaibia hadi pesa za Covif-19.Our government is not a socialist government like yours. Serikali yetu haiko hapa kutupea vitu vya bure kama yenu. Kila kitu mnapewa bure ndio maana mpo lazy.
Hzo DMU sio zimekuumiza sanaKenya ni nchi ya vituko na vitimbwi, mtu wa hali ya chini hana wa kumtetea kabisa, nauli ya Ksh 100 kwa train za zamani wakati BRT inatoza chini ya Ksh 35 ni aibu na fedheha kwa Kenya
Hatuwezi shutushwa nchi maskini ikifanya hvo, watu wengi hawajiwezi..Subiri watalia kuchezwa pale watakapoona Tanzania ina-operate brand new EMUs kati ya Dar na Moro umbali wa 195 km kwa bei chini ya hiyo Kshs 100! Saa hii wana euphoria ya kupanda DMUs! hata hawaoni kama mtumba!