Tanzania haina Vita ya kiuchumi na nchi yoyote, ila ina Vita vya kiroho

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,864
155,822
Viongozi wa nchi, na viongozi wa CCM Mara nyingi wamesikika wakisema eti nchi yetu iko kwenye vita vya kiuchumi, ina pambana na mabeberu.
Huuu Ni utopolo daraja la Kwanza, unapambanaje na mbuzi? Kama mabeberu ni nchi hisani unapambanaje na anayekupa msosi?
Hebu fikiria uchumi wetu ulivyo, yaani choka mbaya, balance of trade hamna, tunanunua nje Kila kitu tunachokitumia, isipokuwa maji na chakula tu, halafu tunajinasibu eti tuna Vita.
Taifa hili linaongoza kwa kutokuwa na furaha. Usipokuwa na furaha ni kwamba una majonzi.
Ukikaa kwenye hali ya majonzi kwa muda mrefu, unaanza kuona kila mtu hakupendi, ndio tuonavyo, tunaona Rwanda hawatupendi, Kenya hawatupendi, Wazungu hawatupendi yaaani full wenge.
Hii sii Vita ya uchumi, Ni Vita ya kiroho.
Tunagombana na Yale tuyaonayo kwenye akili zetu.
Ndio maana mkuu kaminya Twitter, bila VPN hutoboi.
Ndio maana anasema anatamani malaika wazime mitandao.
Ndio maana anatamani nchi nzima tuwe CCM
Ndio maana anatamani yeye awe jaji, mwendesha mashitaka, Polisi, mchungaji, daktari, nesi, yaani kila kitu awe yeye. Kwasababu ndani yake hamna kutosheka. Hiyo Ni Vita ya kiroho.
Tanzania hatuna Corona, kaenda kuchukua mahela ya watu, kayatumia, kumbe wanamchora tu, Sasa wanamuuliza, hela zetu za Corona umefanyia Nini wakati kwenu hamna Corona? Hana majibu, hiyo sio Vita vya uchumi, Ni Vita vya kiroho, unasutwa na dhamira yako.
Watu wakipigwa risasi mchana kweupe, hujishughulishi kufanya uchunguzi, unaona is none of your business.
Ben Saanane kapotea, hujali, unaona poa tu
Azory kapotea, Wala huhangaiki
Maiti zinaokotwa kwenye mifuko mitoni na baharini, hujali.
Hii inaonyesha una roho gani, hiyo Ni Vita ya kiroho sio uchumi.
Unasema eti watu wanayatamani madini yetu. Mbona kipindi cha Nyerere hakukuwa na wachimbaji zaidi ya Williamson, hao mabeberu walipungukiwa Nini?
Dunia ikikosa tanzanite kwani itaathirika Nini?
Una Vita vya kiroho ndio maana kila siku unataka kuombewa.
Hamna kiongozi tangu Uhuru ameomba Mara nyingi zaidi aombewe isipokuwa wewe
 
Viongozi wa nchi, na viongozi wa CCM Mara nyingi wamesikika wakisema eti nchi yetu iko kwenye vita vya kiuchumi, ina pambana na mabeberu.
Huuu Ni utopolo daraja la Kwanza, unapambanaje na mbuzi? Kama mabeberu ni nchi hisani unapambanaje na anayekupa msosi?
Hebu fikiria uchumi wetu ulivyo, yaani choka mbaya, balance of trade hamna, tunanunua nje Kila kitu tunachokitumia, isipokuwa maji na chakula tu, halafu tunajinasibu eti tuna Vita.
Taifa hili linaongoza kwa kutokuwa na furaha. Usipokuwa na furaha ni kwamba una majonzi.
Ukikaa kwenye hali ya majonzi kwa muda mrefu, unaanza kuona kila mtu hakupendi, ndio tuonavyo, tunaona Rwanda hawatupendi, Kenya hawatupendi, Wazungu hawatupendi yaaani full wenge.
Hii sii Vita ya uchumi, Ni Vita ya kiroho.
Tunagombana na Yale tuyaonayo kwenye akili zetu.
Ndio maana mkuu kaminya Twitter, bila VPN hutoboi.
Ndio maana anasema anatamani malaika wazime mitandao.
Ndio maana anatamani nchi nzima tuwe CCM
Ndio maana anatamani yeye awe jaji, mwendesha mashitaka, Polisi, mchungaji, daktari, nesi, yaani kila kitu awe yeye. Kwasababu ndani yake hamna kutosheka. Hiyo Ni Vita ya kiroho.
Tanzania hatuna Corona, kaenda kuchukua mahela ya watu, kayatumia, kumbe wanamchora tu, Sasa wanamuuliza, hela zetu za Corona umefanyia Nini wakati kwenu hamna Corona? Hana majibu, hiyo sio Vita vya uchumi, Ni Vita vya kiroho, unasutwa na dhamira yako.
Watu wakipigwa risasi mchana kweupe, hujishughulishi kufanya uchunguzi, unaona is none of your business.
Ben Saanane kapotea, hujali, unaona poa tu
Azory kapotea, Wala huhangaiki
Maiti zinaokotwa kwenye mifuko mitoni na baharini, hujali.
Hii inaonyesha una roho gani, hiyo Ni Vita ya kiroho sio uchumi.
Unasema eti watu wanayatamani madini yetu. Mbona kipindi cha Nyerere hakukuwa na wachimbaji zaidi ya Williamson, hao mabeberu walipungukiwa Nini?
Dunia ikikosa tanzanite kwani itaathirika Nini?
Una Vita vya kiroho ndio maana kila siku unataka kuombewa.
Hamna kiongozi tangu Uhuru ameomba Mara nyingi zaidi aombewe isipokuwa wewe

Hii nayo ni ya Mwaka
 
Meko ni mwizi na fisadi wa kutisha.Utasikia akijinadi kuwa yeye ni kinara wa kupambana na ufisadi kumbe ni funika kombe tu ili mwanaharamu apite!
Anasema Wachagga wezi, kuna mwizi kama yeye?
Hamna utawala bora, hamna uwazi, 1.5 trillion iliyeyuka kimiujiza, na sasa hii hela ya msaada imepigwa.
MWANA ACHA WIZI
 
Bujibuji,heshima yako mkuu!!,Ukitulia kumbe huwa unaandika point zilizosheheni madini tu!.Safi sana tukiwa na Watanzania watano kila Kijiji wanaofikiri km wewe tutaweza kuikomboa TZ yetu,Kuliko ilivyo sasa ambapo Wanaosifu na kumwabudu binadamu mwenzao wamekuwa lukuki.
 
Anasema Wachagga wezi, kuna mwizi kama yeye?
Hamna utawala bora, hamna uwazi, 1.5 trillion iliyeyuka kimiujiza, na sasa hii hela ya msaada imepigwa.
MWANA ACHA WIZI
Meko Mwezi Mei: "Mungu ametuponya na Corona, Tanzania hakuna Corona angalia mataifa mengine yanavyohangaika, Lakini leo hii sisi HAKUNA mtu anavaa Mask hapa".

Meko September : Tumepokea Euro Mil. 27 kupambana na Corona.
 
Tunajua alipiga za rambirambi, tena kapiga za Covid 19 ???!!!
Meko Mwezi Mei 2020: "Mungu ametuponya na Corona, Tanzania hakuna Corona angalia mataifa mengine yanavyohangaika, Lakini leo hii sisi HAKUNA mtu anavaa Mask hapa".

Meko September 2020: Tumepokea Euro Mil. 27 kupambana na Corona.
 
Kuendelea kumlaani haisaidii.Tunapaswa kujua kuwa Mungu amekubali awe kiongozi wetu.Hatujui kama Muumba wetu anavyojua.Kwa hiyo tunapaswa kumbariki na kumuombea,hata kama tunaona kuna mambo haturidhiki nayo.
Kisasi ni juu ya Mungu kama kweli hayo yanayosemwa hajayafanyia kazi.Wakati mwingine ni vigumu kujua huenda yamefanyiwa kazi ikabaki kuwa siri.
 
Viongozi wa nchi, na viongozi wa CCM Mara nyingi wamesikika wakisema eti nchi yetu iko kwenye vita vya kiuchumi, ina pambana na mabeberu.
Huuu Ni utopolo daraja la Kwanza, unapambanaje na mbuzi? Kama mabeberu ni nchi hisani unapambanaje na anayekupa msosi?
Hebu fikiria uchumi wetu ulivyo, yaani choka mbaya, balance of trade hamna, tunanunua nje Kila kitu tunachokitumia, isipokuwa maji na chakula tu, halafu tunajinasibu eti tuna Vita.
Taifa hili linaongoza kwa kutokuwa na furaha. Usipokuwa na furaha ni kwamba una majonzi.
Ukikaa kwenye hali ya majonzi kwa muda mrefu, unaanza kuona kila mtu hakupendi, ndio tuonavyo, tunaona Rwanda hawatupendi, Kenya hawatupendi, Wazungu hawatupendi yaaani full wenge.
Hii sii Vita ya uchumi, Ni Vita ya kiroho.
Tunagombana na Yale tuyaonayo kwenye akili zetu.
Ndio maana mkuu kaminya Twitter, bila VPN hutoboi.
Ndio maana anasema anatamani malaika wazime mitandao.
Ndio maana anatamani nchi nzima tuwe CCM
Ndio maana anatamani yeye awe jaji, mwendesha mashitaka, Polisi, mchungaji, daktari, nesi, yaani kila kitu awe yeye. Kwasababu ndani yake hamna kutosheka. Hiyo Ni Vita ya kiroho.
Tanzania hatuna Corona, kaenda kuchukua mahela ya watu, kayatumia, kumbe wanamchora tu, Sasa wanamuuliza, hela zetu za Corona umefanyia Nini wakati kwenu hamna Corona? Hana majibu, hiyo sio Vita vya uchumi, Ni Vita vya kiroho, unasutwa na dhamira yako.
Watu wakipigwa risasi mchana kweupe, hujishughulishi kufanya uchunguzi, unaona is none of your business.
Ben Saanane kapotea, hujali, unaona poa tu
Azory kapotea, Wala huhangaiki
Maiti zinaokotwa kwenye mifuko mitoni na baharini, hujali.
Hii inaonyesha una roho gani, hiyo Ni Vita ya kiroho sio uchumi.
Unasema eti watu wanayatamani madini yetu. Mbona kipindi cha Nyerere hakukuwa na wachimbaji zaidi ya Williamson, hao mabeberu walipungukiwa Nini?
Dunia ikikosa tanzanite kwani itaathirika Nini?
Una Vita vya kiroho ndio maana kila siku unataka kuombewa.
Hamna kiongozi tangu Uhuru ameomba Mara nyingi zaidi aombewe isipokuwa wewe
Hao jamaa zako wanajua JPM ni kifaa halisi cha kazi na wala hatanii, hababaishi. Ndiyo maana walipoona buku lake kurasa 303, wakachanganyukiwa maana wanajua akifanikiwa itakuwa nongwa na noma sana kwao. Ndiyo maana wanajaribu kila kona kupiga spana zao, lakini nazo zinateleza tu. Go JPM Go!!!
 
Kuendelea kumlaani haisaidii.Tunapaswa kujua kuwa Mungu amekubali awe kiongozi wetu.Hatujui kama Muumba wetu anavyojua.Kwa hiyo tunapaswa kumbariki na kumuombea,hata kama tunaona kuna mambo haturidhiki nayo.
Kisasi ni juu ya Mungu kama kweli hayo yanayosemwa hajayafanyia kazi.Wakati mwingine ni vigumu kujua huenda yamefanyiwa kazi ikabaki kuwa siri.
Achana na huyo jamaa ana huzuni, huenda ni miongoni mwa waleee waathirika kwenye mojawapo ya makundi ya walarushwa, wapigadili, wazembe, watumishi hewa, mafisadi na makanjanja.
 
Kuendelea kumlaani haisaidii.Tunapaswa kujua kuwa Mungu amekubali awe kiongozi wetu.Hatujui kama Muumba wetu anavyojua.Kwa hiyo tunapaswa kumbariki na kumuombea,hata kama tunaona kuna mambo haturidhiki nayo.
Kisasi ni juu ya Mungu kama kweli hayo yanayosemwa hajayafanyia kazi.Wakati mwingine ni vigumu kujua huenda yamefanyiwa kazi ikabaki kuwa siri.
Hebu acheni kumhusisha Mungu na mambo ya ajabu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom