tanesco

TANESCO
Shirika la umeme Tanzania(TANESCO) ni shirika la umma nchini Tanzania lililoanzishwa November 26, 1931 na liliitwa 'Tanganyika Electric Supply Company Limited' kazi yake kubwa ikiwa ni kuzalisha na kusambaza umeme nchini Tanzania.
  1. Nyanswe Nsame

    TANESCO Mwanza, kuna mgao rasmi unaendelea?

    Meneja wa Tanesco Mkoa wa Mwanza, acha mambo yako, hii ni wiki ya pili sasa kila ilifika saa moja jioni umeme unakatika. Tatizo hili sasa limekuwa ni "sugu" kwa muda wa wiki mbili na pindi mnapokata umeme taarifa rasmi haitolewi. Idara ya Mawasiliano na uhusiano inafanya kazi gani? Kwanini...
  2. R

    Shirika la umeme Zanzibar lagoma kuilipa TANESCO

    Shirika la umeme la Zanzibar limekiri kudaiwa na shirika la umeme TANESCO deni la shilingi bilioni kumi lakini limesema halitalipa bali deni hilo litalipwa na Serikali ya muungano. Limesema Serikali ya muungano inadaiwa na Serikali ya Zanzibar kwa hiyo watakatana hukohuko. Kwanza haijulikani...
  3. Z

    TANESCO achana na Solar Energy, ni wizi na hasara kwa Taifa

    Wengi tukisikia solar energy tunajawa na hisia kwamba ni jambo la maana sana! Ni umeme mzuri kwa mwanakijiji anayetaka mwanga wa kufukuza wanyama watembeao gizani tu! Kwani nchi zetu hizi maskini hatuhitaji miradi mikubwa kiasi hicho kinacholengwa na Tanesco. Ni uharibifu wa pesa kwa kujidai...
  4. diana chumbikino

    TANESCO yakarabati vituo 9 kupoza umeme

    SHIRIKA la Umeme Tanzania(Tanesco) limepata Euro milioni 139 kwa ajili ya mradi wa ukarabati wa vituo tisa vya kupoza umeme sambamba na kujenga mfumo wa kisasa wa kudhibiti umeme, ambao utakuwa na uwezo wa kutambua tatizo la kukatika umeme lilipoanzia na kufanyiwa kazi mapema. Hayo...
  5. TANESCO

    Lipigie kura Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuweza kushinda kipengele cha ‘Best Government Page of the Year 2020’

    Lipigie kura Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuweza kushinda kipengele cha *Best Government page of the year* kwa mwaka 2020. Cha kufanya; 1. Fungua hiyo link utakutana na neno Vote chini kabisa ya ukurasa 2. Utakutana na Vipengele vitatu yani *Award Category*, *Sub Category * na...
  6. B

    Mkurugenzi Mtendaji TANESCO aelezea hali ya maji Mtera na Kidatu

    February 10, 2020 Bwawa la Mtera lenye uwezo wa kufua umeme megawatts 80 linazidi kujaa maji na hivyo TANESCO huenda wakalazimika kufungulia maji, hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco. Maji yakitoka hapo pia huenda kituo cha Kidatu na kufua umeme mwingine wa Megawatts 204. Hii...
  7. Sijijui

    Jengo la Tanesco Ubungo

    Wadau Hivi Magufuli huwa haoni aibu anapopita pale ubungo hasa akiangalia ile interchange ilivyo na lile jengo la Tanesco aliliolibomoa
  8. mshamba mchangamfu

    Meneja TANESCO Mlandizi unahujumu juhudi za Rais wetu mpendwa

    Ndugu ama kwa kujua au kwa kuto kujua wewe na wasaidizi wako mna hujumu juhudi za Mhe.rais wetu za kutaka Tanzania kuwa nchi ya viwanda na uchumi wa kati na hasa mnatuumiza sisi watanzania wakawaida tulioitikia kwa vitendo juhudi za rais wetu.Tanesco Mlandizi mna matatzo makuu matatu. 1.KUKATA...
  9. Z

    Nimeomba huduma Tanesco na hili ndio jibu nililopewa

    Kipindi hiki cha mvua nimewasiliana na Tanesco nikiomba msaada wa huduma. Kila wakati jibu ninalopewa ni kwamba mvua zimeharibu sehemu nyingi. Kuna wateja kibao wanahitaji huduma yetu, vumilia. Naamini bado hawajifahamu, bado hawajui wako katika biashara na raia. Majibu ya ofisini wakisubiri...
  10. funaku

    TANESCO yaokoa zaidi ya bilioni 23

    January 22, 2020 by Global Publishers Shilingi Bilioni 23.5 zinaokolewa kila mwaka baada ya Serikali kupitia Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) kuzima mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutumia mafuta mazito. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Jijini Dodoma kuhusu mafanikio ya Shirika hilo...
  11. Influenza

    TANESCO yatakiwa kutafuta vyanzo vipya vya nishati

    Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani ameiagiza Bodi na Menejimenti ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha kuwa wanafanya tafiti kubaini vyanzo vipya vya uzalishaji umeme ili kuongeza kiasi cha nishati hiyo nchini na kuweza kufikia lengo la kuwa na megawati 10,000 ifikapo mwaka...
  12. beth

    Waziri Kalemani aitaka TANESCO kubaini vyanzo vipya vya umeme

    Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani ameiagiza Bodi na Menejimenti ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha kuwa wanafanya tafiti kubaini vyanzo vipya vya uzalishaji umeme ili kuongeza kiasi cha nishati hiyo nchini na kuweza kufikia lengo la kuwa na megawati 10,000 ifikapo mwaka...
  13. beth

    Tanesco kununua magari 106 ya kuwafuata wateja

    Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) linapanga kununua magari 106 kwa ajili ya uboreshaji wa utoaji wa huduma kwa wateja ikiwamo kitengo cha dharura kwa ajili ya kuwahudumia wateja baada ya kupata kibali cha ununuzi. Aidha, shirika hilo limesema uboreshaji wa mfumo wa umeme katika kituo cha...
  14. M

    Tanesco Tegeta lazima kuna jipu. Mnakata umeme zaidi ya saa 20 mara kwa mara

    Jamani mpaka inaboa, umeme wanakata masaa 20 ukipiga nguzo imeanguka, haya mara kuna tatizo linashughulikiwa . Haiwezekani maeneo hayohayo yakapata matatizo ndani ya wiki moja. Vitu vyetu vinaharibika. Lazma kuna uzembe. Tunaomba meneja wa kituo cha TANESCO Tegeta ajitafakari. Miundombinu ya...
  15. P

    TANESCO mbona aibu

    Kwa muda wa siku kadhaa ifikapo majira ya jioni tunakosa umeme maeneo ya External hadi Ubungo Darajani. Sijaona tangazo au taarifa iliyotolewa ili sisi wadau tufahamu tatizo. Taa za barabarani pia haziwaki na kuzingatia Ubungo ni lango kuu la kuingia jijini na kunakuwa na msongamano wa watu ni...
  16. Sky Eclat

    Kungekuwa na makampuni mengine ya umeme Tanesco ingezidisha ufanisi

    Enzi za Tanesco kuwa monopoly msambazaji wa umeme zimepitwa na wakati. Huu ulikuwa mfumo wa Ujamaa, enzi za collectiveness. Hakukuwa na ushindani wa kibiashara. Makampuni mengine yakaribishwe na kupewa zabuni ya kusambaza umeme. Wananchi wapewe uhuru wa kuhama kwa supplier mwenye huduma...
  17. elivina shambuni

    Kalemani: Yeyote atakayebainika anatoza fedha kubwa kwenye uunganishaji umeme wananchi atafukuzwa kazi

    SERIKALI imewaonya watumishi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kuwa yeyote atakayebainika anatoza fedha kubwa kwenye uunganishaji umeme wananchi atafukuzwa kazi. Onyo hilo lilitolewa jana bungeni na Waziri wa Nishati, Dk Merdard Kalemani, wakati akijibu mwongozo wa Mbunge wa Ulanga...
  18. maroon7

    TANESCO mnakata umeme Mbezi mara 4 kila siku

    Nyie TANESCO haya mambo ndiyo maana mnatumbuliwa haiwezekani kwa mwezi mzima kila siku mnakata umeme mara nne na hata zaidi na tena hamna taarifa yoyote iliyotolewa kuashiria tatizo maeneo ya Mbezi makabe. Najua mnapita humu na hata Mawaziri husika wanapita humu. Kuweni waungwana kama kuna...
  19. M

    Hatimaye TANESCO wameweza

    Hadi kufikia oktoba 2019 TANESCO imeweza kuunganisha umeme vijiji 8,102 kutoka vijiji 2,018 mwaka 2015, hili ni ongezeko la vijiji 6,084 sawa na asilimia 301 ndani ya miaka minne pekee. Tunawapongeza TANESCO na Serikali kwa kuweza kufanikisha hili maana umeme ni chachu ya maendeleo. Tanzania...
  20. MIMI BABA YENU

    SADC yamuunga mkono Rais Dkt Magufuli ujenzi wa mradi mkubwa wa umeme Rufiji

    Ujenzi wa mradi wa umeme katika Mto Rufiji umetajwa kuwa wa mfano katika nchi za SADC na nchi wanachama wa Afrika Mashariki wa EAC, kutokana na namna Serikali ilivyoamua kuusimamia. Akizungumza katika kituo cha mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar leo na Wanahabari ...
Back
Top Bottom