Hadi kufikia oktoba 2019 TANESCO imeweza kuunganisha umeme vijiji 8,102 kutoka vijiji 2,018 mwaka 2015, hili ni ongezeko la vijiji 6,084 sawa na asilimia 301 ndani ya miaka minne pekee.
Tunawapongeza TANESCO na Serikali kwa kuweza kufanikisha hili maana umeme ni chachu ya maendeleo. Tanzania...