Rais Samia Suluhu Hassan, usisahau kufumua TANESCO

pombe kali

JF-Expert Member
Jun 28, 2014
221
431
Pole na pongezi kwako, naomba nikufikishie hili la TANESCO kuweka umeme kwenye nyumba imekuwa balaa, baada ya kufanya wiring ili kumpata surveyor inabidi usubiri hata miezi sita ila ukitoa chochote wanakuja kwa haraka, wakikuambia kwamba watakuletea umeme bila nguzo gharama yake ni laki tatu, ambapo watakuahidi kuwa watakuja baada ya wiki mbili hapa unaweza kusubiri miezi miwili au mitatu kama hujatoa chochote.

Cha kusikitisha zaidi ni pale eneo lako linapohitaji nguzo moja au zaidi, bei ya nguzo moja ni zaidi ya shilingi laki tano sawa na mshahara wa afisa wa serikali mwenye elimu ya shahada ya kwanza fikiria kama eneo lako linahitaji nguzo tatu mbaya zaidi watakwambia kuwa baada ya kulipa usubiri miezi miwili ila kiukweli hapa utasubiri mpaka miezi sita.

Kama haya yanayotokea ni uzembe, naomba waziri mwenye dhamana na mkurungenzi mtendaji wawajibishwe kwani wanahujumu serikali tunashindwa kufanya biashara ndogo ndogo ambazo zinahitaji umeme, hivyo kuikosesha serikali mapato.

Pia wahusika wawajibishwe kwa kutokuwa waadilifu; yaani kwa sasa mtu Akihitaji kuweka umeme ni mpaka amjue fulani hili shirika sijawahi kulielewa.
 
Pole na pongezi kwako, naomba nikufikishie hili la TANESCO kuweka umeme kwenye nyumba imekuwa balaa, baada ya kufanya wiring ili kumpata surveyor inabidi usubiri hata miezi sita ila ukitoa chochote wanakuja kwa haraka, wakikuambia kwamba watakuletea umeme bila nguzo gharama yake ni laki tatu, ambapo watakuahidi kuwa watakuja baada ya wiki mbili hapa unaweza kusubiri miezi miwili au mitatu kama hujatoa chochote.

Cha kusikitisha zaidi ni pale eneo lako linapohitaji nguzo moja au zaidi, bei ya nguzo moja ni zaidi ya shilingi laki tano sawa na mshahara wa afisa wa serikali mwenye elimu ya shahada ya kwanza fikiria kama eneo lako linahitaji nguzo tatu mbaya zaidi watakwambia kuwa baada ya kulipa usubiri miezi miwili ila kiukweli hapa utasubiri mpaka miezi sita.

Kama haya yanayotokea ni uzembe, naomba waziri mwenye dhamana na mkurungenzi mtendaji wawajibishwe kwani wanahujumu serikali tunashindwa kufanya biashara ndogo ndogo ambazo zinahitaji umeme, hivyo kuikosesha serikali mapato.

Pia wahusika wawajibishwe kwa kutokuwa waadilifu; yaani kwa sasa mtu Akihitaji kuweka umeme ni mpaka amjue fulani hili shirika sijawahi kulielewa.
Ninashauri bodi ya tanesco isambaratishwe, haipitishi miradi kwà wakati,
 
Haya ni majungu tu mkuu moja ya taasisi za Serikali ambazo zimejitahidi sana awamu hio ya tano iliyopita huwezi kuiacha tanesco, Angalia tanesco ya Mzee wa Msoga ambapo umeme kukatika ilikuwa jambo la kawaida na Tanesco ya Hayati JPM ambapo hata mgao hakuna kabisa, Waziri ameshawaambia nguzo ni bure ivo nakushauri usilipe bei hadi ya nguzo na Ukar usubiri Tanesco isogeze miundo mbinu kwa kupata fungu la serikali, Sasa akili ni zako chagua kukaa giza Mpaka Mradi usogee au Kulipia na izo additional cost za vitu kama nguzo upate umeme kwa wakati, Wanasiasa wameharibu sana Raia kwa Gear ya kuwaita wanyonge kataa kabisa ujinga wa vitu bure hata elimu ya bure imejaa ujinga na wananchi mnashangilia ile hali watoto wenu wanaumia
 
Natamani uongozi mzima wa NIDA usambaratishwe kwanza tuanze upya. kuna jamaa yangu alijiandikisha tangu 2019 mpaka sasa anaambiwa kitambulisho aendelee kusubiri
 
Pole na pongezi kwako, naomba nikufikishie hili la TANESCO kuweka umeme kwenye nyumba imekuwa balaa, baada ya kufanya wiring ili kumpata surveyor inabidi usubiri hata miezi sita ila ukitoa chochote wanakuja kwa haraka, wakikuambia kwamba watakuletea umeme bila nguzo gharama yake ni laki tatu, ambapo watakuahidi kuwa watakuja baada ya wiki mbili hapa unaweza kusubiri miezi miwili au mitatu kama hujatoa chochote.

Cha kusikitisha zaidi ni pale eneo lako linapohitaji nguzo moja au zaidi, bei ya nguzo moja ni zaidi ya shilingi laki tano sawa na mshahara wa afisa wa serikali mwenye elimu ya shahada ya kwanza fikiria kama eneo lako linahitaji nguzo tatu mbaya zaidi watakwambia kuwa baada ya kulipa usubiri miezi miwili ila kiukweli hapa utasubiri mpaka miezi sita.

Kama haya yanayotokea ni uzembe, naomba waziri mwenye dhamana na mkurungenzi mtendaji wawajibishwe kwani wanahujumu serikali tunashindwa kufanya biashara ndogo ndogo ambazo zinahitaji umeme, hivyo kuikosesha serikali mapato.

Pia wahusika wawajibishwe kwa kutokuwa waadilifu; yaani kwa sasa mtu Akihitaji kuweka umeme ni mpaka amjue fulani hili shirika sijawahi kulielewa.
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
TANESCO KWA KWELI KUNA TATIZO
INAHITAJI SAFU YENU IFUMULIWE KABISA
MFANO:pALE ISENI BONDENI KISESA MAGU KUNA JAMAA YANGU MMOJA ANALALAMIKA KWELI , MMEWEKA UMEME MITAA MINGINE KAANEO KAMOJA KENYE MAJENGO MAZURI MKARUKA LENGO NASIKIA WANANCHI WAPALE MTAKUWA MNAWATOZA NGUZO
Huyo jamaa alikuja Tanasco mkamwambia nguzo moja 320000 ,mkaenda eneo lake mkamwambia gharama ni 650000 na mtamuwekea umeme fasta
Kawekeni nguzo hilo eneo kama watu wavute umeme maisha yasonge acheni rushwa
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
Toa location na taarifa zako usaidiwe
Kazi kwako sasa
pombe kali

Ova
 
Haya ni majungu tu mkuu moja ya taasisi za Serikali ambazo zimejitahidi sana awamu hio ya tano iliyopita huwezi kuiacha tanesco, Angalia tanesco ya Mzee wa Msoga ambapo umeme kukatika ilikuwa jambo la kawaida na Tanesco ya Hayati JPM ambapo hata mgao hakuna kabisa, Waziri ameshawaambia nguzo ni bure ivo nakushauri usilipe bei hadi ya nguzo na Ukar usubiri Tanesco isogeze miundo mbinu kwa kupata fungu la serikali, Sasa akili ni zako chagua kukaa giza Mpaka Mradi usogee au Kulipia na izo additional cost za vitu kama nguzo upate umeme kwa wakati, Wanasiasa wameharibu sana Raia kwa Gear ya kuwaita wanyonge kataa kabisa ujinga wa vitu bure hata elimu ya bure imejaa ujinga na wananchi mnashangilia ile hali watoto wenu wanaumia
Tanesco wamejitahidi kuboresha huduma ingawa miaka 6 hawakuwa na nyongeza za mishahara
 
Back
Top Bottom