Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Karibia miezi 6 sasa Tanesco Arusha wamekuwa wakikata umeme kila siku. Imefikia mahali sasa suala la kukatika umeme limekuwa la kawaida, yan wanaturudisha nyuma kipindi kile cha Lowassa ambapo kila kona ilikuwa giza.
Mi ninachoomba kama kuna mgao tangazeni rasmi, kuliko kutukatia umeme kila siku. Magufuli alipoingia madarakani alijitapa kuwa mgao wa umeme sasa itakuwa historia, lakini kinachoendelea inaonyesha hamna kitu. Ni maneno ya wanasiasa tu, giza linatamalaki kila siku!!
Mi ninachoomba kama kuna mgao tangazeni rasmi, kuliko kutukatia umeme kila siku. Magufuli alipoingia madarakani alijitapa kuwa mgao wa umeme sasa itakuwa historia, lakini kinachoendelea inaonyesha hamna kitu. Ni maneno ya wanasiasa tu, giza linatamalaki kila siku!!