Mi naona hamna sababu ya kuunda app, wanachotakiwa kufanya ni kuwezesha ukinunua umeme iwe kwa simu, banki au wakala, umeme wako uingie moja kwa moja kwenye mita yako na siyo kwenda kubinya binya unaingiza namba za luku kwenye mitaUnunue na kuingiza kupitia simu, hutu tududu twao twa kuingizia umeme huwa tunanikera sana. Inawezekana?
Shida yao hawatakagi kuunda mifumo yao wanategemea sana third parties. Hii inapelekea zoezi la integration kuwa gumu. Huwezi kuwa na taasisi inayoendelea kama utakuwa wa aina hii:Mi naona hamna sababu ya kuunda app, wanachotakiwa kufanya ni kuwezesha ukinunua umeme iwe kwa simu, banki au wakala, umeme wako uingie moja kwa moja kwenye mita yako na siyo kwenda kubinya binya unaingiza namba za luku kwenye mita
Hii ingekuwa poa zaidi.Mi naona hamna sababu ya kuunda app, wanachotakiwa kufanya ni kuwezesha ukinunua umeme iwe kwa simu, banki au wakala, umeme wako uingie moja kwa moja kwenye mita yako na siyo kwenda kubinya binya unaingiza namba za luku kwenye mita
Tayari hizi meters zipo na tayari nchi jirani wameshaanza kuzifungaUnunue na kuingiza kupitia simu, hutu tududu twao twa kuingizia umeme huwa tunanikera sana. Inawezeka na?
Mi naona hamna sababu ya kuunda app, wanachotakiwa kufanya ni kuwezesha ukinunua umeme iwe kwa simu, banki au wakala, umeme wako uingie moja kwa moja kwenye mita yako na siyo kwenda kubinya binya unaingiza namba za luku kwenye mita
Sawa tu. Ilimradi ituondolee kero ya kuweka luku kwenye mitakazi sana, kwa hiyo meter zote ziwe na line ya simu
Laini ya simu ya nini wakati tayari kuna waya wa umeme? Wanaweza tumia same cables kupeleka signals pale mtu anapokuwa amelipia. Cha msingi ile meter iwe na backup power kama ni betri ambayo umeme ukiwepo inajichaji. Ukikatika inaweza kupokea signals from servers na ikaconnect ama kudisconnect umeme.kazi sana, kwa hiyo meter zote ziwe na line ya simu
UDSM wana project pale COICT inashughulika na hili. Members wapo humu, wajibu hii ngwalangwalaShida yao hawatakagi kuunda mifumo yao wanategemea sana third parties. Hii inapelekea zoezi la integration kuwa gumu. Huwezi kuwa na taasisi inayoendelea kama utakuwa wa aina hii:
1. Mfumo wa HR unanunua kwa ABC COMPANY
2. Mfumo wa uhasibu unanunua kwa JD COMPANY
3. Mfumo wa billing za wateja unanunua kwa HK ENTERPRISES
4. Mfumo wa kudhibiti power cuts unanunua kwa XYZ INC
5. ETC
Huu mfumo wa manunuzi kutumia luku nadhani wanatumia wa maxcom na ku intergrate huo na mfumo wa billing na power use control wanayoitumia nadhani ni zoezi pana sana linawashinda kwa sasa.
Ukija kuambiwa ufanye integration ya hiyo mifumo ili iweze kupokelezana inakuwa issue.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Laini ya simu ya nini wakati tayari kuna waya wa umeme? Wanaweza tumia same cables kupeleka signals pale mtu anapokuwa amelipia. Cha msingi ile meter iwe na backup power kama ni betri ambayo umeme ukiwepo inajichaji. Ukikatika inaweza kupokea signals from servers na ikaconnect ama kudisconnect umeme.
Saivi ilivyo ni kwamba meter ina module ya kucount down matumizi yakifika zero inakata umeme. Hii ni client side module ambayo hardware na software za kuregulate umeme znakuwa kwenye box moja ya meter. Wanaweza tumia same technology ikawekwa ya server side module ambapo server ndio ikawa inatunza data na kupeleka signals za kukata ama kurudisha umeme.
Sijui upande wa intergration na maxmalipo ndio labda unaweza kuwa hawajaweza tafuta namna ya kuuweka sawa.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Ofcourse kila kile ambacho watanzania hatukijui huwa tunasema ni kigumu sana. But wenzetu nje wanafanya sana tu. Both wired and wireless zinawezekana kabisa.Yani unataka waya wa power ubebe signal?? signal gani inayoweza safiri abt 2Kms??
Af iyo signal inaenda wapi?? maana source ya wire ni kwenye transformer ya LV. af signal ikifika pale nn kinafuata??
Simply unachosema ni kigumu sana. current kuna mita za EDMI ambazo zinatumia simcard ila sio LUKU ni postpaid Mita inarecord uses na kutuma taarifa kwenye kwenye serves so hakuna haja ya meter readers. So ni suala la kuweka relays ambazo zitakuwa zinapokea command kwa njia ya GSM/ GPRS kuwasha na kuzima
Japo sio njia poa italeta usumbufu. just imagine kuwa na servers za kuhandle two way communication kwa mita zoto TZ
Simply ni ngumu
Mita ikija kufeli?Mi naona hamna sababu ya kuunda app, wanachotakiwa kufanya ni kuwezesha ukinunua umeme iwe kwa simu, banki au wakala, umeme wako uingie moja kwa moja kwenye mita yako na siyo kwenda kubinya binya unaingiza namba za luku kwenye mita
Si utapiga customer care? Kwani dstv au azam au startimes ukilipa isipowaka si unapiga customer care.Mita ikija kufeli?
Meter zinaungua mkuuSi utapiga customer care? Kwani dstv au azam au startimes ukilipa isipowaka si unapiga customer care.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hii sasa haina uhusiano na njia unayotumia kuweka umeme. Umeme unaonunua ukiingiza manually ama automatically haina uhusiano na meter kuungua mana kuungua ni mechanical fault.Meter zinaungua mkuu
Vingamuzi vina line za simu?kazi sana, kwa hiyo meter zote ziwe na line ya simu