TANESCO Morogoro kwa kukatika huku umeme kila siku kwa masaa mengi mjitafakari. Nadhani Mh. Rais Magufuli hajagundua upuuzi huu ila soon atagundua na mtalia na kusaga meno pale mtakapotumbuliwa!
Kila siku umeme lazima ukatike na hakuna taarifa yoyote inayotolewa kwa umma. Wananchi wanateseka tu, biashara zinakufa!
Hata muda huu naandika msg hii hapa nilipo umeme hakuna zaidi ya four hours!! BADILIKENI. MENEJA WA TANESCO MKOA WA MOROGORO AMKA TATUA KADHIA HII. VERY SOON UTAKUMBUKA HUU UZI WANGU, IT WILL BE TOO LATE!
Kila siku umeme lazima ukatike na hakuna taarifa yoyote inayotolewa kwa umma. Wananchi wanateseka tu, biashara zinakufa!
Hata muda huu naandika msg hii hapa nilipo umeme hakuna zaidi ya four hours!! BADILIKENI. MENEJA WA TANESCO MKOA WA MOROGORO AMKA TATUA KADHIA HII. VERY SOON UTAKUMBUKA HUU UZI WANGU, IT WILL BE TOO LATE!