Mtandao - Jini linalosumbua ofisi za Serikali Tanzania, TANESCO hawakosi

Ta Muganyizi

R I P
Oct 19, 2010
5,361
2,734
Habari Wadau.

Imenibidi niseme tena maana najua imeshasemwa sehemu kibao. Kwa serikali yetu hii ilivyo kasi katika kutuletea maendeleo naona suala la mtandao wa internet limekuwa tatizo kubwa hata katika awamu hii.

Mfano unaenda TANESCO kujaza fomu ili uwekewe umeme lakini inamaliza hadi wiki 3 kwa kuambiwa kuwa mtandao shida control number hazitoki. Hii hali pia iko ofisi za NIDA, NSSF na ofisi nyingine nyingine tu.

Tunachotaka kujua ni kweli kwamba mtandao hamna au kinahitajika kitu cha kuchokonoa mtandao? Maana wengine wanaingia wanatoka na huduma wanayoihitaji wanakwambia walibahatisha tandao:rolleyes::rolleyes::rolleyes:!!!!!!

Kupitia TBC 1 serikali yetu imekuwa ikelezea kwa jinsi sasa serikali ilivyoboresha mitandao ya serikali kupitia MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (eGA) ambapo moja ya maelezo ya mamlaka hii ni:-

Shughuli Muhimu​

Huduma Mtandao​


e-GA inakusudia kutekeleza afua mbalimbali ili kusaidia taasisi za umma kutoa huduma mtandao kwa ufanisi. Utekelezaji huo utafanyika kwa kufanya yafuatayo:
  • Uongezaji na uboreshaji wa njia za utoaji wa huduma za serikali mtandao
  • Utoaji wa huduma za ushauri na msaada wa kiufundi
  • Uboreshaji wa uwezo wa rasilimaliwatu katika taasisi,
  • Uwezeshaji wa upatikanaji wa miundombinu na mifumo salama na ya kuaminika ya Serikali mtandao
  • Uimarishaji na uratibu wa jitihada za usalama wa kimtandao katika taasisi za umma.
Sasa tatizo hili lilikuwepo kabla ya mamlaka hii na mpaka baada ya Mamlaka kuwepo (eGA | Mwanzo) bado hali ya mtandao ni shida. Sasa watueleze ni kweli kazi yao imekuwa ngumu au wananchi tunatakiwa kutoa kitu cha kuchokonoa mtanda? Jamaa yangu anafuatilia Control Number TANESCO nadhani huko ni shida maana wiki ya tatu sasa Control number hazitoki.

Wadau wanaomsaidia Mh. Raisi nendeni kimya kimya muwapige tukio wahusika wawaoneshe mtandao unakwama wapi. Ninafahamu:D waathirika hapa ni wengi. Ngoja tuone.
 
Tatizo ni aina ya watu wanaosimamia miundombinu ya TEHAMA kutokuwa na ufahamu wa mabadiliko ya teknolojia. Kwa mfano kwenye issue ya database kuna search query ambazo zinasababisha matatizo ya server kuzidiwa mfano kuna baadhi ya huduma kama vile za usajili wa line za simu zilihitaji kuchukua tu jina labda na umri tu wa mteja kutoka NIDA lakini cha ajabu zinafetch taarifa zote za mteja mfano majina ya baba, babu nk ambayo hata hayana uhusiano na usajili wa line za simu.

Kiufupi search query za hawa vilaza wanaosimamia masuala ya TEHAMA huwa ni SELECT * FROM ___ badala ya SELECT first_name,age FROM na ndizo zinazofanya servers kuzidiwa na kazi

Pia matumizi ya programming language kama PHP & ASPIRE NET badala ya node.js yanasababisha hili tatizo la mtandao kwa huduma za mashirika ya serikali

Sijui wanasoma nini hawa vilaza kiasi cha kushindwa kuelew vitu vidogo vidogo tu amabavyo mtu hata asiye na background ya masuala ya TECH anaweza jifunza ndani ya Massa machache tu YouTube.
 
Juzi nimeenda kulipia bima ya afya NHIF Kinondoni nikaambiwa hakuna mtandao niache namba ya simu nitajulishwa, amini mpaka sasa sijatafutwa.
 
Habari Wadau.

Imenibidi niseme tena maana najua imeshasemwa sehemu kibao. Kwa serikali yetu hii ilivyo kasi katika kutuletea maendeleo naona suala la mtandao wa internet limekuwa tatizo kubwa hata katika awamu hii.

Mfano unaenda TANESCO kujaza fomu ili uwekewe umeme lakini inamaliza hadi wiki 3 kwa kuambiwa kuwa mtandao shida control number hazitoki. Hii hali pia iko ofisi za NIDA, NSSF na ofisi nyingine nyingine tu.

Tunachotaka kujua ni kweli kwamba mtandao hamna au kinahitajika kitu cha kuchokonoa mtandao? Maana wengine wanaingia wanatoka na huduma wanayoihitaji wanakwambia walibahatisha tandao:rolleyes::rolleyes::rolleyes:!!!!!!

Kupitia TBC 1 serikali yetu imekuwa ikelezea kwa jinsi sasa serikali ilivyoboresha mitandao ya serikali kupitia MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (eGA) ambapo moja ya maelezo ya mamlaka hii ni:-

Shughuli Muhimu​

Huduma Mtandao​


e-GA inakusudia kutekeleza afua mbalimbali ili kusaidia taasisi za umma kutoa huduma mtandao kwa ufanisi. Utekelezaji huo utafanyika kwa kufanya yafuatayo:
  • Uongezaji na uboreshaji wa njia za utoaji wa huduma za serikali mtandao
  • Utoaji wa huduma za ushauri na msaada wa kiufundi
  • Uboreshaji wa uwezo wa rasilimaliwatu katika taasisi,
  • Uwezeshaji wa upatikanaji wa miundombinu na mifumo salama na ya kuaminika ya Serikali mtandao
  • Uimarishaji na uratibu wa jitihada za usalama wa kimtandao katika taasisi za umma.
Sasa tatizo hili lilikuwepo kabla ya mamlaka hii na mpaka baada ya Mamlaka kuwepo (eGA | Mwanzo) bado hali ya mtandao ni shida. Sasa watueleze ni kweli kazi yao imekuwa ngumu au wananchi tunatakiwa kutoa kitu cha kuchokonoa mtanda? Jamaa yangu anafuatilia Control Number TANESCO nadhani huko ni shida maana wiki ya tatu sasa Control number hazitoki.

Wadau wanaomsaidia Mh. Raisi nendeni kimya kimya muwapige tukio wahusika wawaoneshe mtandao unakwama wapi. Ninafahamu:D waathirika hapa ni wengi. Ngoja tuone.
Uongozi mbovu sana huu.
 
Habari Wadau.

Imenibidi niseme tena maana najua imeshasemwa sehemu kibao. Kwa serikali yetu hii ilivyo kasi katika kutuletea maendeleo naona suala la mtandao wa internet limekuwa tatizo kubwa hata katika awamu hii.

Mfano unaenda TANESCO kujaza fomu ili uwekewe umeme lakini inamaliza hadi wiki 3 kwa kuambiwa kuwa mtandao shida control number hazitoki. Hii hali pia iko ofisi za NIDA, NSSF na ofisi nyingine nyingine tu.

Tunachotaka kujua ni kweli kwamba mtandao hamna au kinahitajika kitu cha kuchokonoa mtandao? Maana wengine wanaingia wanatoka na huduma wanayoihitaji wanakwambia walibahatisha tandao:rolleyes::rolleyes::rolleyes:!!!!!!

Kupitia TBC 1 serikali yetu imekuwa ikelezea kwa jinsi sasa serikali ilivyoboresha mitandao ya serikali kupitia MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO (eGA) ambapo moja ya maelezo ya mamlaka hii ni:-

Shughuli Muhimu​

Huduma Mtandao​


e-GA inakusudia kutekeleza afua mbalimbali ili kusaidia taasisi za umma kutoa huduma mtandao kwa ufanisi. Utekelezaji huo utafanyika kwa kufanya yafuatayo:
  • Uongezaji na uboreshaji wa njia za utoaji wa huduma za serikali mtandao
  • Utoaji wa huduma za ushauri na msaada wa kiufundi
  • Uboreshaji wa uwezo wa rasilimaliwatu katika taasisi,
  • Uwezeshaji wa upatikanaji wa miundombinu na mifumo salama na ya kuaminika ya Serikali mtandao
  • Uimarishaji na uratibu wa jitihada za usalama wa kimtandao katika taasisi za umma.
Sasa tatizo hili lilikuwepo kabla ya mamlaka hii na mpaka baada ya Mamlaka kuwepo (eGA | Mwanzo) bado hali ya mtandao ni shida. Sasa watueleze ni kweli kazi yao imekuwa ngumu au wananchi tunatakiwa kutoa kitu cha kuchokonoa mtanda? Jamaa yangu anafuatilia Control Number TANESCO nadhani huko ni shida maana wiki ya tatu sasa Control number hazitoki.

Wadau wanaomsaidia Mh. Raisi nendeni kimya kimya muwapige tukio wahusika wawaoneshe mtandao unakwama wapi. Ninafahamu:D waathirika hapa ni wengi. Ngoja tuone.
TANESCO hakuna changamoto ya mtandao kama umeambiwa mahali tujulishe tufatilie mafa moja

HUDUMA KWA WATEJA

MAKAO MAKUU
 
JAMANI HIVI SHIDA GAN TANESCO SINZA TOKA ASBH MNAITWA MNAKUJA MNADANGANYA WA TU HIVI NOT GOOD KABISA WAHUSIKA TUASAIDIEN HILI TANESCO
0745246391
 
Back
Top Bottom