special

Special forces or special operations forces (SOF) are military units trained to conduct special operations. NATO has defined special operations as "military activities conducted by specially designated, organized, selected, trained and equipped forces using unconventional techniques and modes of employment".Special forces emerged in the early 20th century, with a significant growth in the field during World War II, when "every major army involved in the fighting" created formations devoted to special operations behind enemy lines. Depending on the country, special forces may perform functions including airborne operations, counter-insurgency, counter-terrorism, foreign internal defense, covert ops, direct action, hostage rescue, high-value targets/manhunt, intelligence operations, mobility operations, and unconventional warfare.In Russian-speaking countries, special forces of any country are typically called spetsnaz, an acronym for "special purpose". In the United States, the term special forces often refers specifically to the U.S. Army Special Forces, while the term special operations forces is used more broadly for these types of units. Members of special forces units are often called "operators", a term originating with Delta Force.

View More On Wikipedia.org
  1. Pharm D

    JamiiForums Tanzania BIASHARA YA COASTER ZA KUKODI SPECIAL HIRE

    Wakuu habari ya Jumapili; Nina mategemeo ya kupata kiasi fulani hivi cha pesa kinachoweza kununua basi dogo kama coaster/civilian/Rosa, naomba ushauri kwa wenye uzoefu wa hii biashara kuanzia soko, usimamizi, gharama za uendeshaji n.k nione ni jinsi gani ntaweza kujipanga na changamoto...
  2. The Humble Dreamer

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Uchaguzi TFF 2025

    Salaam Members: June mwaka huu TFF walitoa tangazo la kuwepo kwa uchaguzi kwa nafasi ya Urais na nafasi za Wajumbe 6 wa kamati ya utendaji. Hapa utazipata updates za hatua zote za awali hadi uchaguzi mkuu utakaofanyika Tanga tarehe 16/08/2025. Pia kama una updates zozote unaweza share nasi...
  3. Teslarati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania House Parties Special Thread

    Wakuu mimi mambo ya NRNE au sijui vita vya iran na israel hayanihusu. Kuna muda huwa nadhan mimi chimbuko langu ni walatini sababu likija swala la starehe ninastareheka haswa, dont get it wrong kwenye kazi nafanya kazi haswa. I'm just someone who once am set up to do something I do it to the...
  4. Truth Bot AI

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Uzi Maalumu kwa Ajili ya Kujifunza Jinsi Ya Kuandika Prompt mbalimbali kuziweka kwenye Akili Mnemba

    Kabla ya Yote Thread Hii inahusu Prompt zote, Maandishi Ramani,vitabu,tafsiri , barua,uandishi, Utengenezaji wa Kila Kitu haijajikita Kwenye picha Peke yake.., Kwahiyo nawaomba Mod Wasiunganishe na Uzi wowote.. Nimeona Wengi tukisumbuka Kutengeneza Prompt mbalimbali Kwa Ajili ya Matumizi ya...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Kila mtu ana malaika wake special wa kutunza kumbukumbu za Kila ukifanyacho duniani MAISHA yako yote

    Salaam, Shalom! Usilolijua ni kuwa, Kila mtu anaye malaika special toka kwa Mungu tangu kuzaliwa aliyeweka kuchukua kumbukumbu zote za mtu Akali akiishi na kuziandika kwenye KITABU maalum. Killa ukifanyacho kinaandikwa, matendo yote, mazuri kwa mabaya ynaandikwa, ndio maana Mungu huwa anapata...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Japan uses cars special thread

    Habari Pasipob kupoteza muda naomba niende kwenye mada Moja kwa Moja Nimeandaa Uzi huu Kwa lengo la kuposti magari used Toka Japan na Bei zake yakiwa bila Kodi lkn pia yakiwa yamejumuishwa Kodi na ni Kodi zipi na mtu anapaswa kulipa Kwa awamu ngapi na kutakuwa na full details za kila GARI...
  7. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Kenya memez special tread

  8. JMF

    JamiiForums Tanzania Mazda CX 5 special thread

    Hii hapa iko na mtiririko mzuri na uandishi uliokaa sawa Kama kawaida, nimeamua kufungua uzi huu maalum kwa ajili ya Mazda CX5 kama nilivyofanya kwa Subaru Forester na magari mengine. Lengo ni tukutane hapa tukishirikiana uzoefu, ushauri, changamoto na mbinu mbalimbali za kuitunza na...
  9. M

    JamiiForums Tanzania TOYOTA HARRIER ALL MODELS FROM JAPAN SPECIAL THREAD

    Habari Nimeandaa Uzi huu Kwa lengo la kutangaza magari ya Toyota harrier models zote huku nikijunuisha na gharama zote kama vile Kodi za tra nk Hii itamrahisishia mtu anayetaka kununua gari aina ya Toyota harrier aweze kuzijua gari hizi Vizur lkn pia ajue ni kiasi Gani kinahitajika ili aweze...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Be forward special thread karibu uagize magari Toka nje ya nchi

    Habari Baada ya kuiona changamoto ambayo watu WENGI huipata wakiwa na uhitaji wa kuagiza magari nje ya nchi mbali mbali kama vile Japan China na marekani hususani kuhusu Bei za magari Kodi zake za tra na gharama zingine, nimeamua kuandaa Uzi huu makusud ili kuweza kusaidia wale wote WENYE...
  11. Greatest Of All Time

    JamiiForums Tanzania 2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

    Habari wakuu… Michuano ya Kombe la Vilabu la Dunia imewadia, ambapo vilabu 32 kutoka mabara tofauti vitapambana kumsaka bingwa kuanzia Juni 14 mpaka Julai 13 nchini Marekani. Hii ni format mpya ambapo itaanza kutumika mwaka huu na michuano hii itakuwa inafanyika kila baada ya miaka minne...
  12. Travis Kitengo

    JamiiForums Tanzania DR. DOROTHY GWAJIMA.IRON LADY!KWANGU MIMI NDIE WAZIRI MCHAPA KAZI KULIKO MAWAZIRI WOTE SERIKALINI.

    Dr.Dorothy Gwajima.Huyu mama licha ya uchapakazi wake kuwa mzuri ni mtu mwenye roho poa sana.Anaitendea haki kabisa nafasi ya uwaziri. Mama ikikupendeza Mpe Dr.Dorothy Gwajima nafasi nyeti zaidi kwa manufaa ya walio wengi.Binafsi niliwahi wasiliana nae kwa zaidi ya issue tatu zinazohusu ukatili...
  13. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania BABY NAMES NA MAANA YAKE: Tafuta jina la mwanao au share jina lolote zuri

    BIBLICAL: Aaron - Exalted, strong; brother of Moses in the Bible. Bethany - House of figs; village where Jesus raised Lazarus. Caleb - Faithful, bold; a spy sent by Moses to Canaan. Chloe - Blooming, fertility; mentioned in the New Testament. Ruth - Companion, friend; a loyal woman in the...
  14. Viol

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies. Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza kupata hapa majina ya series mpya. Kwa upande wangu hizi ni baadhi ya series nilizongalia na...
  15. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Aisee yani siku hizi kuivuka 65 ni kama special favour flani hivi.

    Utasikia kaugua ghafla, mara alipata mshituko akiwa kazini, mara kaanguka akiwa bafuni, mara alichelewa kumeza dawa zake za kisukari, etc ukiuliza umri unakuta wengi ni between 55-65. MORE LIFE.
  16. Teslarati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Stress kali special thread

    Wasalaam wana jamvi. Nimeona nianzishe uzi huu kwa ajili ya wote tunaopitia STRESS KALI aidha kwenye mahusiano, familia, biashara, afya, na kadhalika Watu wengi wakiwa na stress huenda bar na kutafuta barmaid wanaanza kulewa na zikipanda wanaanza kuropoka stress zao ambazo pengine ilibidi ziwe...
  17. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Eliud Mvela: Kuna timu inatembea na marefa wao special

    "Viongozi wa TFF na Bodi ya Ligi au Viongozi wanaosimamia mpira wakianza kuwa biased (kuwa na upendeleo) hili jambo linaendaga taratibu taratibu mwishoni linaanza kujitokeza, unaanza kujulikana una upendeleo" "Mimi nimekuwa nikiangalia sana baadhi ya mechi zinazochezwa, unaona kabisa marefa ni...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Sunnah za Muhammad(s.a.w)

    Assalam alaykum enyi watumwa wa Allah. Assalam alaykum enyi wakereketwa wa mtume Muhammad (s.a.w). ALLAHUMA SWALII A'LAA MUHAMMAD YARABBI SWALII A'LAYHI WASALIM Hakikaka mtume ndo mbora wa viumbe. Hakika mbora wa viumbe ndiye mbora wa elimu. Hakika mbora elimu ndiye mbora wa matendo. Hakuna...
  19. Mi mi

    JamiiForums Tanzania KOMPA,KIZOMBA,ZOUK SONGS SPECIAL THREAD

    Kompa X Kizomba X Zouk special thread Ankò- Dena Babe ft.D-Perfect
  20. Binti wa zamani

    JamiiForums Tanzania SPECIAL THREAD kuhusu Wanawake: Njoo uulize chochote kuhusu wanawake na sisi wadada na wamama wa JF tutakujibu

    Niulize mimi na wanawake wa jamvini chochote kuhusu masuala ya wanawake, afya zao, mienendo n.k na tutakujibu kwa uwazi bila kupindisha pindisha maneno. Feel free kuaddress swali lako directly kwa mwanamke wa JF kwa kumtag
Back
Top Bottom