simu

  1. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, tatizo ni USB Cable au ni Simu?

    Wakuu natumia simu aina ya Huawei Y9 Prime Nimejaribu kuhamisha files Kutoka kwenye PC kwenda kwenye simu Lakini imeshindikana. Sasa sijajua tatizo litakuwa ni kwenye simu au USB cable, maana mpaka Sasa nimeshajaribu zaidi ya USB Cable tano Lakini sijafanikiwa.
  2. Maleven

    JamiiForums Tanzania Kitu gani cha ajabu umewahi kukiona uliposhika simu ya mtu?

    Kuna mzee wa heshima sana aliniomba nimsetie simu yake mambo fulani. Kwa bahati mbaya inahusisha gallery, nilichokuta ni video za porn sijaamini kabisa na wala sijamuonesha dalili yoyote kua nimeona hadi leo. Wa pili ni dada mmoja alipoteza simu yake hivyo akanipa email yake ni login ili nilog...
  3. C

    JamiiForums Tanzania Hivi hawa wafanyakazi wa makampuni ya simu wanatuchukuliaje wateja wao?

    Kuna kampuni moja hivi ambayo si elewi elewi maana ishabadilishwa majina kibao na ujanja ujanja kibao ndani yake. Ipo pale yale mabasi yenye njia yake yanapo geukia. Sasa bana, juzi kati nilinunua bando la buku mbili shida yangu ilikuwa kupata MB's; cha ajabu sijui ndio kawaida yao basi bando...
  4. C.K

    JamiiForums Tanzania Kununua simu (IPhone) toka XCITE, Mombasa

    Wadau, kuna hawa jamaa wanajiita XCITE wanadai wako Mombasa Kenya, wanauza Iphone kwa bei rahisi sana. Sasa ishu ni kwamba unalipia nusu kwa mpesa, paypal etc then unamalizia pale utakapoletewa mzigo. Naomba kuuliza kama kuna mtu ameshawahi nunua kwao na mzigo ukafika kweli wasijekuwa...
  5. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuhamisha files Kutoka kwenye simu kwenda kwenye PC

    Wakuu Nawezaje kuhamisha file Kutoka kwenye pc kwenda kwenye simu. Kila Nikijaribu inaniletea ujumbe huo hapo kwenye picha
  6. J

    JamiiForums Tanzania Wapi nitanunua simu kwa bei ya jumla

    Habari zenu wadau wa jukwaa la biashara. Mdau mwenzenu nimewaza sana biashara ya kufanya baada ya kudunduliza kwa mda mrefu sana Tsh 10 millions na nikakopa 10 million jumla nna 20 million, nimeona nifanye biashara ya kuuza simu. Mpango wangu ni huu. Soko/Frame: Arusha mjini. Brand: Samsung...
  7. TECNO Tanzania

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tecno spark 5, simu yenye kamera 5 kuzinduliwa

    Kampuni ya simu za mkononi ya TECNO, inatarajia kuzindua simu yake mpya aina ya TECNO SPARK 5 yenye kamera 5 Ijumaa hii kwa njia ya mtandao, ikiwa ni mara ya pili kuzindua kwa njia hiyo ya mtandao ambayo kwa mara ya kwanza ilitanguliwa na TECNO CAMON 15. Akizungumza kwa njia ya simu leo jijini...
  8. wanzagitalewa

    JamiiForums Tanzania Huduma ya pesa kwa njia ya simu inavyoweza kutusaidia kupunguza maambuki ya Corona

    Homa ya corona imetikisa kila kona ya dunia hivi sasa. Tanzania nako si kisiwa kwani napo visa vya maambukizi vilianza kupatikana kuanzia mwezi Machi. Katika nyakati za changamoto hii ni lazima kuhakikisha sote tunashirikiana ili kuzuia kuenea kwa maambukizi ya kirusi cha homa hii. Tumeona...
  9. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simu ambazo ni refurbished

    Wakuu wa mambo ya technology Hebu naomba mnisaidie kutofautisha kati ya simu ambazo ni refurbished na zile ambazo sio refurbished? ===== The term ‘refurbished phone’ generally refers to a pre-owned handset that has been sent back due to a fault and has been repaired for re-sale. Not all...
  10. Mukulu wa Bakulu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa nini watumiaji wengi wa Tecno na Infinix wanapenda kujaza screen protectors kwenye simu zao?

    Hua sielewi, unakuta watu wengi wenye simu aina ya tecno au infinix wamejaza simu zao screen protectors, case cover simu inakua nzito balaa. Simu zenyewe ni nzito halafu zinajazwa screen protectors na case covers za kutosha. Hivi kama tecno unaweka screen protector, Samsung S20 Ultra si...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Waziri Kinyasu: Watalii wanatupigia simu wamechoka kufungiwa ndani huko Ulaya wanataka kuja Tanzania kupumzika

    Naibu waziri wa Maliasili na utalii mh Costantine Kinyasu amesema amekuwa akipokea simu kutoka kwa watalii na wadau wa Utalii kutoka Ulaya wakilalamika kuchoshwa na kufungiwa ndani hivyo wanataka kuja Tanzania kupumzika. Waziri anasema ameshakutana na wadau wa Utalii hapa nchini kuzungumzia...
  12. Zuia Sayayi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania FBI yafanikiwa kufungua (Unlock) na kutoa taarifa za kwenye simu iliyokuwa ikitumiwa na gaidi Syed Farook

    Baada ya miezi ya kujaribu kufungua (bila kufuta taarifa) simu mbili aina ya iPhone [ iPhone 5 na iPhone 7 ] zilizokua zikitumiwa na gaidi aitwaye Syed Farook (21), Hatimaye FBI yafanikiwa kuingia kwenye iPhone iliyokuwa ikitumiwa na Syed Farook aliyehusika na tukio la kuwamiminia risasi na...
  13. Miki123

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huawe walipokataa dili la kuunda simu za pixel walikuwa sahihi?

    Google wamiliki wa android wana simu ambazo ni nadra kuzikuta huku kwetu zinaitwa pixel. Pixel zinadizainiwa na kufanyiwa promotion na google wenyewe lakini wanaozalisha simu za pixel ni HTC kampuni ya taiwan. Kabla ya htc kupata tenda google walijaribu kufanya dili na huawei. Huawei...
  14. The MVP Tricks

    JamiiForums Tanzania Bahasha za kuwekea dawa, picha, passport, urembo, simu na matumizi ya ofisini kwako

    Habari ya muda huu mpenzi msomaji wa makala hii. Mi naitwa DEOGRACIUS JOSHUA, Mkurugenzi na mmoja wa wamiliki wa kiwanda kidogo Cha vifungashio au mifuko mbadala kiitwacho DEO VIFUNGASHIO kukiwa chini ya DEO & FRANK Company Mkoani Dodoma, dodoma mjini. Tunapenda kuwataarifu enyi wamiliki wa...
  15. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania Raila Odinga, aliyekataa kupokea simu si rafiki yako Magufuli bali ni Rais Magufuli

    RAILA KAMSHAURI MAGUFULI YUPI? Raila Odinga anadai amempigia Rais wetu Simu kumshauri kuhusu Corona. Anavyodai sijui hajampata kwenye Simu..... Kitu ambacho Raila anatakiwa kukifahamu ni kwamba Kuna Magufuli wawili, Mmoja ni Rafiki yake ambaye wanaweza kujadiliana naye chochote kwa wakati...
  16. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utofauti wa iphone na simu za Android

    Wakuu hivi utofauti wa simu ya I Phone za simu za android kama Samsung,Oppo ni upi? Je, i Phone yenye Storage ya 16GB inaweza ikawa tofauti na Samsung yenye storage ya 16 GB Hapa nazungumzia utofauti kwenye jinsi inavyofanya kazi na uwezo wa kuhifadhi mafaili Achana na suala la chaji na...
  17. ronnycharlz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Internet yenye thamani nzuri kwa matumizi makubwa ya internet (100GB+ kwa mwezi)

    Kwa mtu mwenye matumizi makubwa ya data - tuseme 100GB kwa mwezi - Ni huduma gani ya internet nzuri? sio lazima iwe mtandao wa simu, matumizi ni kwenye PC. Ni kwa ajili ya matumizi binafsi.
  18. JipuKubwa

    JamiiForums Tanzania Raila Odinga anaamini Rais Magufuli hashauriwi vizuri

    Wanajukwaa, yule rafiki mkubwa wa Magu katika ukanda huu wa Afrika mashariki bwana Raila Odinga amekiri kwamba huenda rais Magufuli hapewi ushauri mzuri na amewaasa viongozi wengine wampe ushauri kwani ni msikivu. Hayo yamejiri wakati akihojiwa na kituo cha habari, japo haikuwekwa wazi ni...
  19. G Sam

    JamiiForums Tanzania Waziri wetu wa Afya ametengwa? Kitengo cha kupambana na COVID 19 kimehamishiwa ofisini kwa Waziri Kabudi?

    Kabla Rais hajamuondoa marehemu Dkt. Augustine Mahiga kwenye wizara ya mambo ya nje alianza sana kumtumia tumia Prof. Kabudi hadi akamuwakilisha kuongea na diaspora wa USA. Baadaye tuliona yaliyotokea. Leo nimemshangaa sana Waziri wa Mambo ya Nje kubeba majukumu yote ya Wizara ya Afya hadi...
  20. Dam55

    JamiiForums Tanzania Waziri Kamwelwe: Laini za simu zimeongezeka kutoka mil 39 mwaka 2015 hadi mil 43 mwaka 2020

    Waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano Eng Kamwelwe, ameliambia bunge kuwa matumizi ya simu za mikononi yameongezeka kwa kiasi kikubwa kutoka ml 39 mwaka 2015 hadi ml 43 mwaka 2020. Matumizi ya internet yameongezeka kutoka ml 9 mwaka 2015 hadi ml 25 mwaka 2020 Hilo pia limeenda sambamba na...
Back
Top Bottom