ommytk
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 482
- 1,053
Wadau habari za majukumu
Kuna jambo linanitatiza sana katika kipindi hiki cha karibuni baina yangu na mke wangu. Yaani kuna msg zangu anazijuaa, sasa sijui anapata wapi, mfano jana kuna mdada kwenye group la shule kanitumia msg anaomba msaada nimemtumia. Narudi home umeme hakuna, nikanunua LUKU kidogo akaniambia hela za kuhonga kutumia wanawake unazo LUKU hauna wewe bana wewe endelea TU 40 yako inakuja.
Basi hilo ni moja tu ya tukio lakini hapo maneno mengi ndani
Kuna jambo linanitatiza sana katika kipindi hiki cha karibuni baina yangu na mke wangu. Yaani kuna msg zangu anazijuaa, sasa sijui anapata wapi, mfano jana kuna mdada kwenye group la shule kanitumia msg anaomba msaada nimemtumia. Narudi home umeme hakuna, nikanunua LUKU kidogo akaniambia hela za kuhonga kutumia wanawake unazo LUKU hauna wewe bana wewe endelea TU 40 yako inakuja.
Basi hilo ni moja tu ya tukio lakini hapo maneno mengi ndani