simu

  1. Mshua's

    Nahitaji kununua simu yenye sifa hizi, je ni simu ipi itanifaa?

    Habari wakuu! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji kununua simu ila sijajua ni brand gani kati ya Samsung, Nokia au Infinix Nahitaji simu yenye sifa hizi: - Processor - snapdragon 630 - Ram 4, CPU 32 GB - Kioo supergorrila 3 - Battery 4000 mAh - Camera 16 mp - Na vitu vingine kama...
  2. Threesixteen Himself

    Msaada: Naomba kujua jinsi ya kutuma meseji toka kwenye email kwenda Kwenye namba ya simu ya kawaida

    Habari, Kama Kichwa cha habari kinavyosea, naomba msaada kwenye mambo yafuatayo; 1. Namna ya kutuma meseji kutoka kwenye email ikaingia/ikaenda kwenye namba ya simu ya kawaida. Mfano kutoka gmail halafu ikaenda kwa mtumiaji wa simu ya kawaida mfano wa tigo, vodacom halotel etc. 2. Nina...
  3. J

    Watu 900,000 wameshafungiwa line zao za simu, ni wale wenye vitambulisho lakini hawakuvitumia kusajili line zao

    Serikali imesema zaidi ya watu 900,000 ( laki tisa) wameshafungiwa line zao za simu baada ya kushindwa kujisajili kwa alama za vidole. Serikali imesema zoezi la ufungaji simu limegawanywa katika makundi matatu; Kundi la kwanza ambao tayari wameshafungiwa ni wale wenye Vitambulisho vya taifa...
  4. technically

    Nakusudia kuishtaki Serikali (TCRA) kuzima Simcard za wateja wa mitandao

    Kwanza ni kinyume cha Katiba ya uhuru wa kupata mawasiliano, pili ni uhujumu uchumi kwa serikali yenyewe na tatu kuzuia wananchi kupata habari kupitia mitandao ya kijamii. Kesi inafunguliwa jumatatu kanda ya Dar es Salaam. Mimi sio wakili ila nimewasiliana na mawakili wangu 3 na tunakusudia...
  5. Influenza

    Baada ya Januari 20 kupita, TCRA yasema itakuwa inazima laini za simu zisizosajiliwa kwa alama za vidole kwa awamu

    Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), James Kilaba amesema uzimaji wa laini za simu ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole unafanyika kwa awamu kuanzia jana Jumatatu Januari 20, 2020 ili kuondoa usumbufu. Amesema hadi jana saa nne usiku walikuwa wamezima laini 975,041...
  6. OLS

    Tanzania imeshika namba moja kwenye sera mbovu za usajili wa laini za simu

    Kwa mujibu wa comparitech Tanzania ndio nchi inayoongoza kwa sera mbovu za usajili ambazo zinafanya mtumiaji wa simu akose faragha ya simu yake, kwa kukosa sharia zinazohusu faragha ya mtu kutumia simu, Usajili wa kutumia alama za vidole unaofanywa pia unaongeza hatari kwa kuwa taarifa za mteja...
  7. scatter

    Kuelekea siku ishirini kabla ya laini kufungiwa changamoto hizi kama zipo laini hazitafungiwa

    Laini kufungiwa kwa kigezo cha kutosajiliwa kwa njia ya vidole ni suala linalo trend kwa sasa kuna changamoto zipo katika suala hili kwangu kuna maswali yanayotaka majibu kwa uelewa wangu 1. Kitambulisho cha nida kinaruhusu kusajili laini ngapi ?? 2. Mtu mwenye ulemavu wa...
  8. Babu Kijiwe

    Fursa: Vibanda vya simu vitalipa sana kuanzia kesho

    Walio sajili line fikirieni kufungua mradi wa vibanda vya simu, mtapiga hela sana hasa mkifanya maombi ili NIDA wakwame kutoa namba za vitambulisho. Watu milioni 41 watazimiwa simu sasa ukipata wateja 100 watakaokupa 500 kila mmojanili watume sms au kuongea kwa dakika 1 basi utakuwa na 50,000/=...
  9. anonymousafrica

    Ujumbe kwa NIDA na Mitandao ya Simu, Kilio cha wananchi

    Tumepiga marufuku mifuko ya rambo kwa yowe na maneno matam na sasa tunapiga marufuku utumiaji wa laini za simu kwa watu wengi kimya kimya na kwa utaalam mbovu, utadhani na hili ni new world oder (Maneno ya walevi tuyapuuze jamani, akili zao zinakimbia wakilewa zinarudi wakiwa wazima). Turudi...
  10. R

    Bwana Yakub Bashir, mchakato wa kuyashitaki makampuni ya simu uliishia wapi?

    Tulikupongeza sana kwa move ya kutetea watu wasiibiwe na mitandao ya simu maana ni wezi wakubwa kupitiliza. Ukasema una maongezi nao. Ukaleta mrejesho wa kwanza kuwa wamekuita mnaongea lkn bado kesi inaendelea kufunguliwa. Kama watakubaliana na maombi yako, ni kiasi cha kufuta kesi. Sasa umekuwa...
  11. Mr worldwide

    Nahitaji Simu haraka kwa bei 100,000

    Habari wakuu, Nahitaji simu original kabisa haraka sana iwezekanavyo, budget iliyopo ni pesa ya Kitanzania shilingi laki moja (100,000) Napatikana Dar es salaam Aina ya simu inayohitajika ni miongoni mwa zifuatazo: • Samsung Galaxy S4 •Samsung Grand Prime pro •Tecno Camon CX Air •Samsung Grand...
  12. kagombe

    TCRA wakishazima line za simu waje mitaani sasa

    TCRA wakishazima line za simu waje mitaani sasa kuna kaujanja kanafanywa na hawa vijana wanasajili line mtaani. Tena ni hatari wanayofanya hawa vijana wasio waaminifu sijui ni tamaa ya pesa au njaa yao. Hapa tuwe makini tunaokwenda kusajili hapa kuna mchezo wanafanya usipokuwa makini unaweza...
  13. Wimbo

    Umuhimu ni kitambulisho cha uraia na siyo laini za simu

    Mh. Rais wetu John Pombe Magufuli, nijuavyo Mimi kama nitakosea unisamehe bure, tatizo tulilonalo la usajiri line za simu si muhimu sana kama kulinda usalama wa vitambulisho vyetu, kauli za zima moto za Waziri wa Mambo ya ndani zina athari. Wapo wengi hasa maeneo ya Magharibi wengine wapo hired...
  14. F

    Laini za simu kufungwa, akaunti za pesa kubaki

    Tunajua laini za simu szisizosajiriwa ikifika 31Desemba Kisha 20Januari 2020, zitafungwa. Tunajua serikali ilipitisha na kuridhia laini za simu kuwa akaunti za pesa pia Tunajua simu ikifungwa akaunti ya pesa haiwezi kutumika, maana unaanza kuwa na laini ndio upate akaunti ya pesa na sio...
  15. BASIASI

    Yanayoendelea hapa Kawe Ofisi za NIDA, Mh. Rais tupe tu mpaka March tupambanie kitambulisho

    Nimewahi kulalamika kuna watu wanatakiwa wajiondoe wenyewe maofisini kama wameshindwakwenda na kasi ya Mh. Rais. Hapa Kawe ofisi za NIDA kumekuwa na udhalimu, rushwa kila aina; watu wanawahi, wengine wanakuja wanapelekwa mbele na walinzi wanaondoka munabaki. Hilo siyo shida; utaratibu wa...
  16. R

    NIDA vs Immigration vs Makampuni ya Simu: Watalii nao kikaangoni

    Watalii wallopo ndani ya nchi ambao walichukua line za simu nao hali mbaya. Mfumo wa Immigration hausomeki kule NIDA na makampuni ya simu nao wanasema hawaoni kitu. Sisi ambao tuko kwenye sekta ya utalii tunashindwa kuelewa tatizo liko wapi. Watalii walipo ndani ya nchi wakienda kusajili line...
  17. TECNO Tanzania

    Kampuni ya Simu ya TECNO Yaimarisha Ushirikiano wake na Google Kwenye Mkutano wa Maonesho ya Teknolojia 2020

    Toleo jipya la simu CAMON 12 Pro ya hivi karibuni imewekewa kitufe cha Msaidizi wa Google (Google assistant) ambacho kinaruhusu watumiaji kufanya mambo mengi zaidi kwenye mfumo wa Google. Kampuni kinara ya Kimataifa ya simu za rununu ya TECNO yenye simujanja yake ya Camon 12 Pro ya hivi...
  18. wanzagitalewa

    Huduma za fedha kwa njia ya simu zinavyosaidia kukuza uchumi nchini

    Katika siku za hivi karibuni huduma ya kutuma fedha, kupokea na kulipa kupitia simu za mkononi imekuwa jambo kubwa nchini na kwa kiasi kikubwa kichocheo cha maendeleo yetu. Tafiti nyingi zinaonyesha kuwa faida zinazohusiana na huduma za kifedha kwa njia ya simu za mkononi zinachangia sana kwenye...
  19. wanzagitalewa

    Sekta ya mawasiliano ya simu inavyokua kwa kasi nchini Tanzania

    Mwaka mpya ni wakati wa kutafakari yaliyopita, tulipokosea, tulipofanikiwa na namna gani tufanye vizuri zaidi. Tumeingia pia muongo mpya (2020 hadi 2030) kwa hiyo pia ni miaka kumi kutafakari nini tumefanya miaka 10 iliyopita na nini tufanye miaka 10 ijayo. Bila shaka muongo uliopita (2010 hadi...
  20. Elon Mzebuluni

    INAUZWA TABLET inauzwa

    Jipatie tablet ya vodafone vfd 1100 iko katika hali nzuri mno,haina shida yeyote ni nzima kabisa kama unavyoiona kwenye picha, inakwenda kwa bei ya 100,000 mazungumzo yapo. Napatikana Mbeya nicheki kwa 0767142928 karibu tufanye biashara.
Back
Top Bottom