Habarini za muda huu, naomba kujuzwa ni duka gani Dodoma, morogoro au iringa na weza kupata simu za samsang s10+,S20 na S20+. Kwa moja ya mikoa twajwa ,shukran kwa details n PM.
Mabadiliko ya kidijitali yamekuwa moja ya chachu kubwa ya kusukuma mbele gurudumu la maendeleo nchini.
Juma lililopita, Umoja wa Forodha Ulimwenguni (WCO) uliweka bayana kwamba Tanzania inaweza kunufaika kwa kiasi kikubwa kwa kuwekeza katika teknolojia.
Akizungumza jijini Dar Es Salaam, Katibu...
Amani iwe Kwenu
Baada ya Usajili wa Line za Simu Kwa Alama za Vidole na Kitambulisho Cha Taifa,Nipende kushauri Mitandao Ya Simu, hasa Airtel ambayo Naitumia Sana, iweke namna ya Mtumiaji kujua namba ya Rafiki yake au Mtumiaji mwingine anayetaka kuwasiliana naye.
Zamani TTCL walikuwa na...
Siku hizi watu wako makini katika kutoa namba za simu. Ukitoa namba yenye makosa unaweza kupishana na lorry la mshahara.
Enzi zile mtu akikuomba namba kama hutaki juzoeana nae unatunga namba kichwani. Mambo yamebadilika unaweza kukosa Tigo pesa, sikuhizi unahakikisha amekupigia kabla hamjaachana.
Wanajamvi,
Nipo hapa kutaka kujua nakosea wapi.
Mpaka sasa ndani ya miezi sita nimeibiwa /poteza simu tatu- smart phones. Simu ya kwanza nikairipoti polisi, Central Police, Dodoma kwa taratibu za kawaida za kipolisi pale Cyber Crime Unit lakini nikawa sina IMEI number hivyo nikaambiwa ndiyo...
Nahitahi hii simu Nokia 1280 kwa wakazi wa Dar mnilekeze nitaipata wapi ikiwa mpya na original natarajia kuingia huko kesho kama unayo mpya na box lake njoo hapa
Wasalaam wana JF.
Leo nimekwapuliwa simu na bodaboda maeneo ya urafiki karibu na stendi ya Kilimanjaro Express.
Issue ilikuwa hivi. Nilikwenda kupokea mgeni wangu hapo stendi mida ya saa 3 usiku huu. Katika kuwasiliana na mgeni wangu kumbe bodaboda kanilia mingo. Nimeshtukia simu imekwapuliwa...
Tanzania imepata mabadiliko makubwa ya teknolojia katika kipindi cha miaka 10 iliyopita. Leo hii, Tanzania ina watu zaidi ya milioni 11 wanaotumia mtandao wa intaneti kupitia simu zao za mkononi. Maendeleo haya ni fursa ya kubadili maisha na kukuza maendeleo ya mtu mmoja mmoja na nchi kwa...
Samahani wajameni naombeni ushauri kidogo. Nina Tzs 600k nahitaji kununua simu ila katika kupita pita nimeona matangazo ya Oppo A9 2020 yamenivutia kidogo.
Ushauri wenu kwangu hii simu au kampuni ya Oppo n nzuri au niachane nayo? Ina megapixel 48.
Twende moja kwa moja kwa mada.
Umemuomba mtu pesa ili ununue dawa kwa ajili ya mgonjwa uliyemuacha hospitali ukiwa njiani unasikia mlio wa meseji, unasogea pembeni kwa tashwishwi kuwa jamaa yako kakusapoti.
Au unadhania ni taarifa kutoka hospitali ulipomuacha mgonjwa kuwepo kwa mabadiriko mara...
Habari wakuu!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji kununua simu ila sijajua ni brand gani kati ya Samsung, Nokia au Infinix
Nahitaji simu yenye sifa hizi:
- Processor - snapdragon 630
- Ram 4, CPU 32 GB
- Kioo supergorrila 3
- Battery 4000 mAh
- Camera 16 mp
- Na vitu vingine kama...
Habari,
Kama Kichwa cha habari kinavyosea, naomba msaada kwenye mambo yafuatayo;
1. Namna ya kutuma meseji kutoka kwenye email ikaingia/ikaenda kwenye namba ya simu ya kawaida. Mfano kutoka gmail halafu ikaenda kwa mtumiaji wa simu ya kawaida mfano wa tigo, vodacom halotel etc.
2. Nina...
Serikali imesema zaidi ya watu 900,000 ( laki tisa) wameshafungiwa line zao za simu baada ya kushindwa kujisajili kwa alama za vidole.
Serikali imesema zoezi la ufungaji simu limegawanywa katika makundi matatu;
Kundi la kwanza ambao tayari wameshafungiwa ni wale wenye Vitambulisho vya taifa...
Kwanza ni kinyume cha Katiba ya uhuru wa kupata mawasiliano, pili ni uhujumu uchumi kwa serikali yenyewe na tatu kuzuia wananchi kupata habari kupitia mitandao ya kijamii. Kesi inafunguliwa jumatatu kanda ya Dar es Salaam.
Mimi sio wakili ila nimewasiliana na mawakili wangu 3 na tunakusudia...
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), James Kilaba amesema uzimaji wa laini za simu ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole unafanyika kwa awamu kuanzia jana Jumatatu Januari 20, 2020 ili kuondoa usumbufu.
Amesema hadi jana saa nne usiku walikuwa wamezima laini 975,041...
Kwa mujibu wa comparitech Tanzania ndio nchi inayoongoza kwa sera mbovu za usajili ambazo zinafanya mtumiaji wa simu akose faragha ya simu yake, kwa kukosa sharia zinazohusu faragha ya mtu kutumia simu,
Usajili wa kutumia alama za vidole unaofanywa pia unaongeza hatari kwa kuwa taarifa za mteja...
Laini kufungiwa kwa kigezo cha kutosajiliwa kwa njia ya vidole ni suala linalo trend kwa sasa kuna changamoto zipo katika suala hili kwangu kuna maswali yanayotaka majibu kwa uelewa wangu
1. Kitambulisho cha nida kinaruhusu kusajili laini ngapi ??
2. Mtu mwenye ulemavu wa...
Walio sajili line fikirieni kufungua mradi wa vibanda vya simu, mtapiga hela sana hasa mkifanya maombi ili NIDA wakwame kutoa namba za vitambulisho. Watu milioni 41 watazimiwa simu sasa ukipata wateja 100 watakaokupa 500 kila mmojanili watume sms au kuongea kwa dakika 1 basi utakuwa na 50,000/=...
Tumepiga marufuku mifuko ya rambo kwa yowe na maneno matam na sasa tunapiga marufuku utumiaji wa laini za simu kwa watu wengi kimya kimya na kwa utaalam mbovu, utadhani na hili ni new world oder (Maneno ya walevi tuyapuuze jamani, akili zao zinakimbia wakilewa zinarudi wakiwa wazima).
Turudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.