Kwanini simu nyingi hazitouch ukiiweka juu ya meza?

Macnikia

Member
Oct 19, 2017
25
9
Simu nyingi ukiiweka juu ya kitu chochote inakataa kutouch mpaka uibebe naomba kujuzwa kitalaam inakuwa kwa sababu gani?
 
Hakuna sababu ya kitaalamu. Simply inatouch ila sipokua unashindwa kuitouch kwa ustadi tofauti na ukiwa umeishika.

Hakuna uchawi hapo

Au mnasemaje mods
 
Simu nyingi ukiiweka juu ya kitu chochote inakataa kutouch mpaka uibebe naomba kujuzwa kitalaam inakuwa kwa sababu gani
Zipo zinazokubali kutouch hata kama ipo juu ya meza yaani hata kama hujaibeba kiganjani.

Ila naona kwa sasa simu nyingi wanatumia huo mfumo wa kuto kutachi ikiwa haipo kiganjani ili kuzuia simu isijitouch yenyewe ovyo inapokuwa katika mazingira yasiyoeleweka kama vile simu ikiwa mfukoni.

Capacitive touch screens zinatumia capacitance ili kuweza ku sense touch input. Capacitance hiyo inaweza kusababishwa na vitu mbalimbali kama vile simu ikiguswa kwenye screen na waya wake wa charger wakati wa kuchaji, au simu ikiguswa na waya wowote unaobeba alternating signal kama vile waya unaobeba umeme wa AC.

Sasa kuzuia hili tatizo simu zinahitaji kusense signal yake yenyewe, yaani unapoishika inatengeneza circuit ambayo circuit hiyo inakamilika pale unapotouch screen, na kufanya simu kutambua original touch action only.


Wengine wajazie...

From JF App
 
Zipo zinazokubali kutouch hata kama ipo juu ya meza yaani hata kama hujaibeba kiganjani.

Ila naona kwa sasa simu nyingi wanatumia huo mfumo wa kuto kutachi ikiwa haipo kiganjani ili kuzuia simu isijitouch yenyewe ovyo inapokuwa katika mazingira yasiyoeleweka kama vile simu ikiwa mfukoni.

Capacitive touch screens zinatumia capacitance ili kuweza ku sense touch input. Capacitance hiyo inaweza kusababishwa na vitu mbalimbali kama vile simu ikiguswa kwenye screen na waya wake wa charger wakati wa kuchaji, au simu ikiguswa na waya wowote unaobeba alternating signal kama vile waya unaobeba umeme wa AC.

Sasa kuzuia hili tatizo simu zinahitaji kusense signal yake yenyewe, yaani unapoishika inatengeneza circuit ambayo circuit hiyo inakamilika pale unapotouch screen, na kufanya simu kutambua original touch action only.


Wengine wajazie...

From JF App
Asante mkuu
 
Simu nyingi ukiiweka juu ya kitu chochote inakataa kutouch mpaka uibebe naomba kujuzwa kitalaam inakuwa kwa sababu gani?
Labda baadhi ya simu kwangu sijaona hilo touch sensitive iko vyema.
 
Naona ungesemea simu yako mie hata iwe juu ya meza natouch very simple tena bila hata yakuigusa .
Sema nyie mnamiliki makopo ya smartphone ndo maana kutouch ni shida.
Pole sana na sijawahi fanya survey but nimejaribu na mambo yako njema....
Oppo A3s

Best regards,
Ashomile...
Jamii forum member.
 
Kama ulikuwa umeishika ukaiweka mezani itumie kwa dakika chache ndio itaonesha utofauti. Hata hizi ambazo zinapunguza sensitivity sio kitendo cha ghafla. Nimetest hata nokia 2.1 , ila samsung sijaona tofauti labda nichunguze zaidi.

From JF App
 
Mi nilimiliki smartpone ya kichina mwaka 2009 yenye kistiki chake. Unaambiwa ilikuwa inakubali kutouch kwa stick na ukucha tuu!
 
watumiaji wa tecno hawajui hizi mambo,wanaona umeandika nini sijui wanabisha
 
Mi nilimiliki smartpone ya kichina mwaka 2009 yenye kistiki chake. Unaambiwa ilikuwa inakubali kutouch kwa stick na ukucha tuu!
Sasa hiyo ilikuwa ni technology ya Resistive touch screen iliyokuwa ina sense pressure. Sasa hivi ni mambo ya capacitive touch screen.

From JF App
 
Issue huwa ni grounding na capacitance.
Ukiiweka kwenye meza, au chombo chochote hivi kinachoweza kupitisha stima (k.m., chuma, glass...), utapata kuwa umeme wa static unaleta shida na capacitive touch ya skrini.
Kama sijaieleza vizuri, tafuta "effects of static on capacitive touch".
 
Back
Top Bottom