Habari zenu wadau wa jukwaa la biashara.
Mdau mwenzenu nimewaza sana biashara ya kufanya baada ya kudunduliza kwa mda mrefu sana Tsh 10 millions na nikakopa 10 million jumla nna 20 million, nimeona nifanye biashara ya kuuza simu.
Mpango wangu ni huu.
Soko/Frame: Arusha mjini.
Brand: Samsung ambazo bei zake ni ndogo na za kati.
Kwa sasa nimeshughulikia maswala ya frame na leseni ya biashara tayari. Ila sasa ninapokwama ni kupata muuzaji wa simu wa bei ya jumla, ambae ataniuzia bei ambayo namimi nikiuza nipate faida.
Au kama hakuna wauzaji wa bei za jumla Tanzania basi naomba kama kuna mtu atanielekeza namna ya kununua china ili nijipange tena kwa muda mwingine nisafiri.
Natanguliza shukrani
Mdau mwenzenu nimewaza sana biashara ya kufanya baada ya kudunduliza kwa mda mrefu sana Tsh 10 millions na nikakopa 10 million jumla nna 20 million, nimeona nifanye biashara ya kuuza simu.
Mpango wangu ni huu.
Soko/Frame: Arusha mjini.
Brand: Samsung ambazo bei zake ni ndogo na za kati.
Kwa sasa nimeshughulikia maswala ya frame na leseni ya biashara tayari. Ila sasa ninapokwama ni kupata muuzaji wa simu wa bei ya jumla, ambae ataniuzia bei ambayo namimi nikiuza nipate faida.
Au kama hakuna wauzaji wa bei za jumla Tanzania basi naomba kama kuna mtu atanielekeza namna ya kununua china ili nijipange tena kwa muda mwingine nisafiri.
Natanguliza shukrani