Kuhamisha files Kutoka kwenye simu kwenda kwenye PC

commm

JF-Expert Member
Sep 6, 2019
1,674
1,905
IMG_20200524_130238.jpg
Wakuu Nawezaje kuhamisha file Kutoka kwenye pc kwenda kwenye simu.

Kila Nikijaribu inaniletea ujumbe huo hapo kwenye picha
 
Au kama una xender kwenye simu yako unaweza uka transfer kwa wireless
 
Hebu nieleweshe maana sijawahi ku transfer kwa kutumia xender
Cha kwanza Pc yako iwe na wifi

Fungua hiyo apk ya xender kwenye simu yako, halafu utaona juu kuna option imeandikwa PC, click hapo halafu itaomba permission ya kufungua hotspot, ruhusu hapo kisha hotspot itakua on then check nenda kwenye pc yako fungua browser yeyote (kama una chrome itakua vizuri zaidi)

Ukishafungua hiyo browser nenda kwenye wifi kairuhusu pc ipate connection ya hotspot ambayo uliishea mwanzo kupitia xender kwenye simu yako

Kwenye simu yako hapo kwenye app ya xender ambayo umei-run kuna link itaonekana hua inasomekaga hivi mara nyingi kama hivi (https:15.555.nk)

Copy hiyo link kwenye xender ya simu yako inayo display hapo kisha paste kwenye browser ya pc then bofya enter hapo pc ita load kwa sekunde kisha itatuma request kwenye simu yako ya kuomba permision ambapo uki accept tu tayali storage ya simu yako ita display kwenye hiyo browser ya pc na utaweza kuamisha chochote utackacho
 
Cha kwanza Pc yako iwe na wifi

Fungua hiyo apk ya xender kwenye simu yako, halafu utaona juu kuna option imeandikwa PC, click hapo halafu itaomba permission ya kufungua hotspot, ruhusu hapo kisha hotspot itakua on then check nenda kwenye pc yako fungua browser yeyote (kama una chrome itakua vizuri zaidi)

Ukishafungua hiyo browser nenda kwenye wifi kairuhusu pc ipate connection ya hotspot ambayo uliishea mwanzo kupitia xender kwenye simu yako

Kwenye simu yako hapo kwenye app ya xender ambayo umei-run kuna link itaonekana hua inasomekaga hivi mara nyingi kama hivi (https:15.555.nk)

Copy hiyo link kwenye xender ya simu yako inayo display hapo kisha paste kwenye browser ya pc then bofya enter hapo pc ita load kwa sekunde kisha itatuma request kwenye simu yako ya kuomba permision ambapo uki accept tu tayali storage ya simu yako ita display kwenye hiyo browser ya pc na utaweza kuamisha chochote utackacho
Hii njia mkuu si mpaka uwe na bundle la internet kwenye simu au?
 
Back
Top Bottom