simba

  1. Shark

    JamiiForums Tanzania Simba wana jambo lao saa 11 jioni hii, kaeni mkao wa kula

    Sijajua kuna nini hasa, ila tusubiri tu mpaka saa kumi na moja jioni. Wale wa Mtaa wa Pili kama unajijua una Presha za hapa na pale basi agiza kabisa vidonge ukae na maji tayari tayari. Pia angalieni salio la bando lisije kua linaisha kabla ya muda huo mkakosa vitu. Yangu Ni hayo tu. UPDATES,
  2. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Ole wenu Simba, asema ole wenu. Kama mmemteka huyu mchezaji tutalaumiana

    Nasema hivi, haya maneno kuwa mmemteka Larry Bwalya kama ni kweli ntawafanyia jambo baya sana Simba. Baya sana. Kweli nawaambia ntawafanyia jambo ambalo babu yangu aliwafanyia waliomuibia ng'ombe wake mwwka 1984.. Muombee ziwe tetesi tu hivyo hivyo.tutaonana wabaya. Nyie si mna wachezaji...
  3. Kurzweil

    JamiiForums Tanzania Simba SC hii Logo mmebuni au mmekwapua sehemu?

    Habari wanaJF, Klabu ya Simba inajinasibu kwa kuzindua Logo au Nembo yao Mpya lakini kama ni ukifuatilia wamecopy na kupaste kutoka kwa wengine. Je hii haiwezi kuwaletea shida kwa janja janja hii?
  4. demigod

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Jezi za Simba SC mara zote ni kichekesho?

    Hivi kwanini hawa jamaa hawajawahi kuwa na uzi mzuri hata kumshinda Azam FC? Kwanini wasifanye mpango wa kujifunza kwa wataalamu wa KIT kutoka Dar es Salaam Young Africans SC? Maana walitengeneza hulka kubwa sana kuhakikisha watu wawe makini na uzi ujao, uzi ulivyotangazwa tu kila mtu akaishiwa...
  5. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Msimu 2020- 2021 Simba tunamchapa kila mechi tutakayokutana naye. Tunamchapa vibaya kwa unyama wa hali ya juu

    Tukio la Simba kumchukua Morrison kimafia ni tukio ambalo litanichukua miaka mingi kufutika. Nimeumia kuliko ambavyo ningeumia kama ngeibiwa ng'ombe zangu. Sasa Yanga tunaanza maandalizi ya kumfunga Simba mechi zote ambazo atatia mguu kupambana nasi msimu huu. Hilo ndilo lengo letu kubwa...
  6. Kurzweil

    JamiiForums Tanzania Morrison huru kujiunga na Simba SC, kamati yasema mkataba wake na Yanga una mapungufu

    Baada ya vikao nenda rudi kwa siku takribani 3 hatimaye TFF wamejitokeza na kusema kuwa wamefikia uamuzi baada ya vikao vizito Mchezaji raia wa Ghana, Bernard Morrison amepewa uhuru wa kujiunga na Simba Sc baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) kusema kuwa Mkataba wake na Yanga Sc...
  7. kavulata

    JamiiForums Tanzania Senzo kuhamia Yanga ni hatari kuliko Morrison kuhamia Simba

    Kwa vyovyote vile Morrison ni mchezaji tu wa timu asiye na nidhamu na kazi yake, lakini Senzo ni taasisi. Senzo ana Mambo yote ya club ya Simba mabaya na mazuri kifuani mwake, ambayo sasa ni rasmi yanaweza kufika mikoni mwa mwajiri wake mpya. Wasiwasi yangu ni Yale mabaya (Kama yapo)...
  8. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa B. Morrison utakavyoisambaratisha Simba Sc na wachezaji wake

    Kwa msiojua tu kijana amesajili miezi else kama ataendelea ama lah Kwa msiojua tu kijana atakuwa akilipwa dola 9500 na sio 10" 000 wanavyosema Akiongezewa na gari na sehwmu ya kuishi sijajua swala la mabibi kama nalo liko mkatabani pengine amepewa na bibi Kinachohuzunisha hivisasa n kwamba...
  9. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Napendekeza Makonda apewe sasa Ukatibu mkuu wa Simba sc

    Nafasi ya 'katibu mkuu' yaani Afisa mtendaji mkuu (CEO) wa Simba kwa sasa iko wazi mara baada ya aliyekuwepo awali kujiuzuru ghafla. Huu ndio wakati muafaka wa Simba sc kumpa hiyo nafasi Paul Makonda ambaye kwa sasa hana kazi rasmi mara baada ya kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa mkoa wa Dar...
  10. demigod

    JamiiForums Tanzania Sakata la Bernard Morrison, Mtendaji Mkuu Senzo Batha abwaga manyanga Simba SC.

    Nakumbuka nilisema juzi humu kuwa kuna pahala Simba SC wanakosea. Huwezi kuifanya klabu iendeshwe kwa weledi na wakati huo huo unaiendesha kwa Uhuni wa kizamani. Nilikuwepo na Social Media Content Manager pande fulani usiku wa Jana. Jamaa akanimwagia mchele chini ya kwamba sakata la BM kusaini...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Simba haijamsajili Morisson, ukweli ni huu

    Tangu jana baada ya kuwekwa picha kwenye akaunti rasmi za klabu ya Simba zikionesha picha ya Mchezaji Benard Morrison akiwa amevaa jezi zinazovaliwa na Timu hiyo, kumezuka Sintofahamu kwa wapenzi wa Mpira Tanzania. Picha moja inaonesha kama anaandika (saini?) Na nyingine kama mtu anayeweka dole...
  12. F

    JamiiForums Tanzania Simba timu mnayo, ajirini mtaalam ama wafundisheni saikolojia wachezaji wenu mtatwaa CAF Champions League

    Habari wadau, Mimi mwanayanga. Ila namkubali mo kwa uwekezaji wa Simba. Natazama sana mashindano ya CAF Champions League kila msimu. Mimi ni die hard African football fan boy. Natazama CAF Champions League kuliko UEFA. Mashindano ya CAF ni magumu sana na yana tofaut sana na UEFA, maana ni...
  13. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Bingwa wa Nchi hii Simba Sc ina jambo lake leo mchana wa saa 8

  14. mugah di matheo

    JamiiForums Tanzania Kumekucha simba leo 8/8 saa 8

    Saa 8;00 mchana club ya simba inaanza utambulisho wa wachezaji wao wapya watakao tumika msimu ujao Unadhani watanza na nani? Je ni jack shonga au makusu?
  15. Greatest Of All Time

    JamiiForums Tanzania Fainali ya Simba Vs Namungo Fc

    Leo ndio leo, Fainali ya Azam Sports Federation kati ya Simba Vs Namungo, mechi itakayopigwa uwanja wa Nelson Mandela pale Sumbawanga, Rukwa. Kama kawaida yetu, tupia utabiri wako nani anashinda kwa magoli mangapi? Ikiwezekana taja na wachezaji watakaoingia nyavuni! Mimi naanza, Simba 3-1...
  16. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kama Rais Kagame ni Shabiki wa Arsenal FC unadhani Rais Magufuli nje ya kuwa Mwana Simba SC huko Ulaya atakuwa ni Shabiki wa Timu gani?

    Bravo,Congrats ARSENAL for a well deserved and needed win -FA CUP. We,FANS and supporters kept Faith in you...going forward let's aim at much bigger things. WE CAN... !!! paulkagame
  17. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Polisi waonya mikusanyiko ya kumpokea Lissu, na maandamano ya wanafunzi

    Jeshi la polisi limesema limeona baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakihamasisha kukusanyika ili kumpokea mmoja wa kiongozi wanayetarajia kurejea nchini Julai 27, 2020. Polisi wamesema hawana taarifa rasmi ya mikusanyiko hiyo inayohamasishwa mitandaoni. Wamesema ni haki yao kukusanyika lakini...
  18. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Live Updates: Simba Sc Vs Alliance,Kukabidhi kombe la VPL kwa mashabiki

    Kikosi cha kutia adabu wanafunzi kama tulivyowatia adabu wakongwe Deportive La Utopolo Reds in Town tukikinukisha na kombe letu
  19. muhani

    JamiiForums Tanzania Luis Miquissone ni amekuwa wa Moto Simba

    KIUNGO wa Simba, Luis Miquissone, raia wa Msumbuji, ameonekana kuwa moto wa kuotea mbali, labda kuliko staa mwingine kwenye timu hiyo kwa sasa. Huyu ndiye alikuwa staa kwenye mchezo wa nusu fainali wa Kombe la FA kati ya Yanga na Simba ambao Simba walishinda kwa mabao 4-1.Kiungo huyo ambaye...
  20. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kwa Uweledi huu, Upendo huu mkubwa na Malezi haya mema unategemea kweli Wachezaji wa Simba SC ' wasipafomu ' Uwanjani na Kubeba Mataji yote?

    WACHEZAJI NA BENCHI LA UFUNDI LEO KILA MMOJA AMEPOKEA KIASI CHA TSH 10M ZA BONUS BAADA YA KUTINGA FAINALI YA KOMBE LA FA KIASI HIKO CHA 10M KILA MMOJA NI SAWA NA 380M KWA KIKOSI CHOTE CHA WACHEZAJI 29 BILA KUJALI ULICHEZA AU ULIKUA JUKWAANI. simbadaily.com Asante sana ' Big Boss ' Mo Dewji na...
Back
Top Bottom