johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,971
Nawashauri tu wale Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA kwamba badala ya kulialia kupitia media ni vema wakajifunza " subra" kwa mh Sophia Simba Mbunge wa Viti Maalum CCM.
Subira ni jambo jema kuliko kupagawa na kukurupuka.
Mama Sophia Simba alivuliwa uanachama na kupoteza Ubunge " halali" lakini kwa sababu ya ukomavu wake kisiasa na kukipenda chama chake hakulalamika popote.
Kwa sasa Simba ni Mbunge wa Viti Maalum kupitia CCM ile ile.
Halima na wenzie waangalie walipojikwaa na siyo walipoangukia.
Sabato njema.
Maendeleo hayana vyama!
Subira ni jambo jema kuliko kupagawa na kukurupuka.
Mama Sophia Simba alivuliwa uanachama na kupoteza Ubunge " halali" lakini kwa sababu ya ukomavu wake kisiasa na kukipenda chama chake hakulalamika popote.
Kwa sasa Simba ni Mbunge wa Viti Maalum kupitia CCM ile ile.
Halima na wenzie waangalie walipojikwaa na siyo walipoangukia.
Sabato njema.
Maendeleo hayana vyama!