Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,560
TAARIFA YA MCHAKATO WA SIMBA KWENDA KWENYEMABADILIKO.
- Tume ya Ushindani (FCC) haihusiki na ucheleweshwaji wa mchakato wa Mabadiliko ndani ya Klabu ya Simba SC kama ilivyoelezwa na viongozi wa Klabu hiyo Siku chache zilizopita.
-Tume ya ushindani Tanzania (FCC) imeuuliza Uongozi wa klabu ya Simba,kulikuwa na uharaka gani wa kuteua Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wakati mchakato wa Mabadiliko haujakamilika..!??
- Katika Taarifa ya Tume (Maelezo Zaidi pichani) imeutaarifu umma kuwa ucheleweshwaji wa mchakato (transformation) wa kubadili mfumo wa uendeshaji wa Klabu ya Simba unatokana na mwitikio hafifu wa kampuni ya Simba Sports Club Company Limited wa kuwasilisha taarifa kamilifu na kwa wakati mbele ya Tume katika kufanikisha uchunguzi Kama ulivyoainishwa Katika Taarifa hiyo.
Updates Tar 20-11-2020
Simba yaijibu Tume ya taifa ya ushindani
- Tume ya Ushindani (FCC) haihusiki na ucheleweshwaji wa mchakato wa Mabadiliko ndani ya Klabu ya Simba SC kama ilivyoelezwa na viongozi wa Klabu hiyo Siku chache zilizopita.
-Tume ya ushindani Tanzania (FCC) imeuuliza Uongozi wa klabu ya Simba,kulikuwa na uharaka gani wa kuteua Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wakati mchakato wa Mabadiliko haujakamilika..!??
- Katika Taarifa ya Tume (Maelezo Zaidi pichani) imeutaarifu umma kuwa ucheleweshwaji wa mchakato (transformation) wa kubadili mfumo wa uendeshaji wa Klabu ya Simba unatokana na mwitikio hafifu wa kampuni ya Simba Sports Club Company Limited wa kuwasilisha taarifa kamilifu na kwa wakati mbele ya Tume katika kufanikisha uchunguzi Kama ulivyoainishwa Katika Taarifa hiyo.
Updates Tar 20-11-2020
Simba yaijibu Tume ya taifa ya ushindani