Itakuwa ni jambo la faraja sana kwake maarifa yake ni muhimu kwa bench la ufundi, Manula ni kipa mzuri hatuhitaji kuendelea kuthibitisha hili lakini anahitaji mwalimu atakae kuwa mfano halisi kwake.
Kaseja Juma kwa sasa hiv hachezi mpira kuwavutia watu tena anacheza mpira kuwafundisha watu mpira unavyotakiwa uwe.
Vilevile kwa sasa anacheza kwa sababu awamu hii bila kufanya kazi huli kwakuwa hauwezi ishi kwa kutegemea jina tu, kwa hapo kila mtu atakuwa na faida kwa mwezake Simba itapata mwalimu bora wa makipa pia vilevile timu ya taifa na Kaseja atapata kuendelea kutunza Familia yake
Hata Ndairagije anamuita huyu jamaa sio kwa sababu ya kudaka tu lakini pia kuwapa madini Manuna na Metacha. Simba kama hamkung'amua hili habari ndio hiyo.
Kaseja Juma kwa sasa hiv hachezi mpira kuwavutia watu tena anacheza mpira kuwafundisha watu mpira unavyotakiwa uwe.
Vilevile kwa sasa anacheza kwa sababu awamu hii bila kufanya kazi huli kwakuwa hauwezi ishi kwa kutegemea jina tu, kwa hapo kila mtu atakuwa na faida kwa mwezake Simba itapata mwalimu bora wa makipa pia vilevile timu ya taifa na Kaseja atapata kuendelea kutunza Familia yake
Hata Ndairagije anamuita huyu jamaa sio kwa sababu ya kudaka tu lakini pia kuwapa madini Manuna na Metacha. Simba kama hamkung'amua hili habari ndio hiyo.