GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,569
- 108,911
CEO wa Simba SC Barbara (Babra) Gonzalez katika Kurasa zake za Mitandao amesema kuwa wamejitahidi vya kutosha tena kwa Kuhangaika huku na kule ile Mechi ya Simba SC na Plateau United unaochezwa leo Jumapili tarehe 29 Desemba 2020 uonyeshwe Mubashara na Azam TV lakini imeshindikana kwa Umafia na Figisu zinazofanywa na Wenyeji hao. Pia amewaomba Radhi wana Simba pamoja na Wanamichezo wote.
Sasa Mimi kama GENTAMYCINE wala sina Shaka na hili kwani kwa Mipira yetu ya Afrika nililitegemea lakini nina Ombi tu Kwenu Viongozi wa Simba SC na hata wana Simba wote popote pale mlipo kwakuwa Mechi yetu na marudiano nao ni Wiki (Weekend) ijayo naomba niteuliwe Mkuu wa Kamati ya UMAFIA,UKATILI NA ROHO MBAYA Maalum kwa Kuwanyoosha na Kuwalipizia Kisasi hawa Wanaijeria (Plateau United ) na nina uhakika wa 100% kwa nilichopanga Kuwafanyia wakienda Kwao watatukumbuka Milele.
Kama Mimi na Team yangu tuliweza Kumfanyia Umafia ( Unyangindo ) Mpuuzi Mmoja aliyekuwa ameshajiaminisha kuwa Dar es Salaam na Tanzania yote hii ni yake hadi kujiita Makamu wa Rais Kivuli na Kukosa Kura huko Baharini Dar es Salaam pamoja na kwamba alihonga sana, alitishia Watu na ana Network Kubwa hadi System ndiyo nitawashindwa hawa Matapeli FC Plateau United?
Na ole wake nione Mtu wa kutoka Serikali ( Wizarani ) au ndani ya Simba SC anasema tusiwalipizie Kisasi nitakufa na Wewe. Nimekereka nao sana.
Sasa Mimi kama GENTAMYCINE wala sina Shaka na hili kwani kwa Mipira yetu ya Afrika nililitegemea lakini nina Ombi tu Kwenu Viongozi wa Simba SC na hata wana Simba wote popote pale mlipo kwakuwa Mechi yetu na marudiano nao ni Wiki (Weekend) ijayo naomba niteuliwe Mkuu wa Kamati ya UMAFIA,UKATILI NA ROHO MBAYA Maalum kwa Kuwanyoosha na Kuwalipizia Kisasi hawa Wanaijeria (Plateau United ) na nina uhakika wa 100% kwa nilichopanga Kuwafanyia wakienda Kwao watatukumbuka Milele.
Kama Mimi na Team yangu tuliweza Kumfanyia Umafia ( Unyangindo ) Mpuuzi Mmoja aliyekuwa ameshajiaminisha kuwa Dar es Salaam na Tanzania yote hii ni yake hadi kujiita Makamu wa Rais Kivuli na Kukosa Kura huko Baharini Dar es Salaam pamoja na kwamba alihonga sana, alitishia Watu na ana Network Kubwa hadi System ndiyo nitawashindwa hawa Matapeli FC Plateau United?
Na ole wake nione Mtu wa kutoka Serikali ( Wizarani ) au ndani ya Simba SC anasema tusiwalipizie Kisasi nitakufa na Wewe. Nimekereka nao sana.