shule

  1. Tuhuma za Kutoa Rushwa kwa Wakuu wa shule Wawili wa Halmashauri ya Tabora Wilaya ya Uyui!

    Habari za kuaminika kutoka Uyui zinasema Mahead master wawili wametoa Laki tano tano kwa Afisa elimu taaluma (jina nalihifadhi) ili wabaki kuwa wakuu wa shule sekondari Kinyume na kiwango cha elimu yao ambayo ni diploma!!!Wakuu hao kwa wakati tofauti wametoa rushwa hiyo ili kubaki madarakani...
  2. RC Morogoro awasweka rumande Wakuu wa Shule baada ya shule wanazozisimamia kufanya vibaya mtihani wa Taifa

    Mkuu wa mkoa Morogoro amewaweka rumande Wakuu wa Shule ambao shule zao zimeshindwa kufanya vizuri katika mtihani wa taifa kidato cha pili na cha nne mkoani humo pamoja na kuwavua madaraka ya ukuu wa shule Hatua hiyo imefikiwa hapo jana siku ya Alhamisi tarehe 16/01 2020 kwa kile kilichodaiwa...
  3. Dar es Salaam makanisa yako mengi kuliko Shule za Msingi na Sekondari. Hii maana yake nini?

    Ni wiki sasa kila siku ninakuwa na safari ya nenda rudi Temeke to Mvuti kwenda kuangalia maendeleo ya kibanda changu kinachojengwa huko. Barabara kuu imejaa vibao vya makanisa kuliko vibao vya shule na vyuo. Je, sasa Tanzania tunahitaji huduma za kiroho zaidi kuliko huduma za elimu na afya?
  4. Shule za English medium kufanya vizuri somo la kiswahili kwenye mitihani ya darasa la saba kuliko shule za swahili medium nini maana yake?

    Ukiangalia matokeo ya darasa la saba 2019 kwa mfano shule za english medium ndizo zimeongoza kwa ufaulu kwenye somo la kiswahili kuliko shule zinazotumia lugha ya kiswahili kwenye masomo yote Hii inamaananisha nini? ==== Pia raia wa China Congcong Wang aliongoza somo la Kiswahili ambalo...
  5. Serikali iwapeleke A Level shule za vipaji maalumu wanafunzi waliopata division one kali kutoka shule za kata kwanza baadae za private

    Namaanisha mwanafunzi mwenye division one kutoka shule ya kata ni hazina ya taifa kama ataendelezwa kikamilifu. Hii ni kwa sababu anaweza kutumia mazingira magumu kama changamoto na changamoto hiyo anaitatua kikamilifu na kwa usahihi sana hivyo IQ yake ni kubwa mno tofauti na wa mazingira...
  6. M

    Kama taratibu zinaruhusu, shule hizi zihakikiwe

    Kuna baadhi ya wanafunzi nawafahamu wametoka miongoni mwa shule hizi zinazoongoza kitaifa/form 4, wanapokuwa A level au hata chuo ukweli ni tofauti kabisa na ufaulu wao wa O level. Hebu Wizara husika chukueni jukumu la kuwaita hao wanafunzi wa St. Francis wote na kisha just tafuteni utaratibu...
  7. Wazazi wamuua mwalimu kutokana na shule yake kutoa matokeo mabaya

    Washukiwa wawili wamekamatwa baada ya kukashifiwa kwa kumuua mwalimu wa shule ya msingi kaunti ya Kitui Wawili hao wanazuiliwa huku uchunguzi ukifanywa dhidi yao Wambua Mwangangi na Chris Kyalo Muli wanasemekana kumuua mwalimu huyo baada ya shule yake kutoa matokeo mabaya katika mtihani wa...
  8. Ninachukia hiki katika shule binafsi

    Great Thinkers, Nakumbuka enzi zetu heshima ilikuwa kusoma shule za serikali. Pamoja na uwepo wa shule za binafsi, wazazi wenye uwezo walihangaika kuhonga watoto wao wasome shule za serikali. Kwenye shule hizi za serikali, tulilima bustani za mchicha, tulijifunza ufugaji, tulifanya kazi za...
  9. S

    Shule nzuri kwa watoto kuanzia miaka mitatu

    Kuna post nyingi kuhusu kutafuta shule ninaamini ni jambo muhimu kwa kila mzazi. Ningependa uzi huu ndio uwe kimbilio la wengi kama unafahamu shule yoyote nzuri mkoa wowote mwaga sera zake hapa ada zake, mgawanyiko wa ulipaji. Mimi ningependa kufahamu shule nzuri kwa watoto kuanzia miaka...
  10. Elimu bure, watoto wa wanyonge wakataliwa kuandikishwa shule huko Makambako.

    Kengele imepigwa, muhula umeanza vituko vya zima moto kwenye elimu za watoto wa wanaoitwa masikini navyo vimeanza. ni viroja alimuradi kura zipatikane hata kwa kukwiba hapo 2020. kuna ambao wamechaguliwa kujiunga na masomo ya sekondary lakini hawajulikani walipo, sijui taarifa za...
  11. Hali ya vyoo katika shule za Kibasila wilayani Temeke

    Kamati ya shule ya msingi ya Kibasila wilayani Temeke, imelalamikia wanafunzi zaidi ya 1,900 wa shule za msingi na sekondari mpya kutumia matundu sita ya vyoo yenye hali mbaya
  12. I

    Urgent: Natafuta shule yenye kufundisha vizuri CBG Form 5

    Heri ya mwaka mpya kwa wote! Msaada mwenye kujua shule ya private, iwe ya kulala huko, mchepuo CBG kidato cha tano. Nina ndugu anahitaji kuhamia katika shule yenye vigezo tajwa hapo juu. Mwenye uelewa tujuzane, jina la shule, gharama zake ikiwezekana na mawasiliano yake. Mwanafunzi ni jinsia...
  13. Shule za Msingi na Sekondari za binafsi kuwa na akaunti mbili za kulipia ada na michango mingine TRA iziangalie kwa jicho la tatu kodi zetu

    Katika kipindi hiki cha watu na taasisi mbalimbali kutakiwa kulipa kodi kwa maendeleo ya nchi ukwepaji wa kulipa kodi bado upo na ni muhimu kuangaliwa kwa makini Mfano shule ya msingi au sekondari kuwa na akaunti mbili tofauti inawezekana kabisa wakati wa auditing akaunti moja ikawa inakaguliwa...
  14. M

    Mfanyakazi wa marketing anahitajika katika shule ya udereva

    Sifa 1.Uwezo wa kujieleza na kumshawishi mtu 2. Mbunifu katika kuteka soko na mwenye uwezo wakutumia mitandao pia katika kufikia watu wengi zaidi kwa mda mfupi 3. Mwenye uwezo wakufanya kazi yenye matokeo kwa uaminifu mkubwa na bila usimamizi 4. Elimu kuanzia kidato cha nne nakuendelea 5. Wadada...
  15. NATAFUTA KAZI YA KUFUNDISHA BIOS NA CHEMISTRY SHULE ZA BINAFSI ZINAZOLIPA VIZURI

    Wanabodi mimi ni mwalim wa masomo ya Biology na Chemistry!nimeajiriwa na serekali takribani miaka saba imepita!!Nataka nifundishe shule za private zenye mshahara mnono!!!Nina shahada ya sayansi katika elimu kutoka UDSM-DUCE!
  16. Shule binafsi zinafanya vizuri sana, Serikali inakosea wapi?

    Kama ni walimu wote wamesoma chuo kimoja na wale wa private lakini matokeo tofauti. Tatizo liko wapi? Nashangaa sana jambo hili watoto wanafeli hakuna mfano. Mwalimu anafundisha Primary lakini mtoto wake yupo shule private, Mwalimu mwingine anafundisha Secondary lakini mtoto wake anasoma Feza...
  17. Viongozi wa vyama vya siasa, Serikali na Bunge acheni unafiki shule zote za Serikali ziwe English medium watoto wenu mbona wanasoma English Medium?

    Kuna maana gani viongozi wa Serikali, bunge na vyama vya siasa kusomesha watoto wao English medium schools halafu wanaacha watoto wa wengine wasome Swahili medium? Huu ni unafiki mkubwa. Badilisheni shule zote za Serikali ziwe English medium. Wanafiki wakubwa nyie msio na haya Hizi ndizo...
  18. Hivi bado hatuoni haja ya kuwafundisha Watoto wetu elimu ya uzazi/viungo vyao vya uzazi tangu utotoni?

    Ni muda mrefu sasa nimekuwa najiuliza hili swali, haswa ninapokuwa na kijana Wangu mdogo wa kiume mwenye umri wa miaka kumi. Kuna wakati tupo sebuleni tunasikiliza Redio au TV, na habari inayosikika ni kuhusu Mtoto aliyelawitiwa, Binti aliyepewa mimba, Mwanamke aliyebakwa n.k. Hapa huwa...
  19. N

    Dodoma: Mmiliki wa Shule na Mkurugenzi Islamic Foundation akutwa ameuawa kinyama ofisini kwake

    Ndugu Rashid Dalai, mmiliki wa shule ya kiislamu ya Zam zam iliyopo Dodoma na pia Mkurugenzi wa taasisi ya Islamic Foundation amekutwa amekufa ndani ya ofisi yake iliyopo ktk jengo moja na ofisi za Magazeti ya Serikali (Habari leo na Daily News) hapa Dodoma mjini maeneo ya Nyerere Square (karibu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…