Great Thinkers,
Nakumbuka enzi zetu heshima ilikuwa kusoma shule za serikali.
Pamoja na uwepo wa shule za binafsi, wazazi wenye uwezo walihangaika kuhonga watoto wao wasome shule za serikali.
Kwenye shule hizi za serikali, tulilima bustani za mchicha, tulijifunza ufugaji, tulifanya kazi za...