Hali ya vyoo katika shule za Kibasila wilayani Temeke

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
Kamati ya shule ya msingi ya Kibasila wilayani Temeke, imelalamikia wanafunzi zaidi ya 1,900 wa shule za msingi na sekondari mpya kutumia matundu sita ya vyoo yenye hali mbaya
1578392332531.jpeg
 
Sky Eclat ww kama ww umefanya jitihada gani ili kupunguza kadhia hii kwa watoto wetu mashuleni? Au unasubir serikali itenge bajeti ya kujenga vyoo kwa maelfu ya shule...? Mbona mambo mengine ni wazazi tu wa shule husika kujiorganise kama wakiamua...
Majadiliano tungeyafanya wapi wakati vyama vya upinzani vilizuiwa kufanya mikutano ya siasa. Tulitegemea kuchangia hoja zetu na viongozi wetu amabo wengine walitumia muda wao mwingi magerezani
 
sky huo ni uchonganishi tu hivi unachoandika ili wananchi waone wanaonewa na serikali au vipi basi shauri kifanyike nini kutoa hali hiyo au unataka kutuambia huyo chizi wenu lissu ndiyo anaweza kuja kujenga vyo vya shule zote na kumaliza matatizo ya nchi nzima maana liktoka hili mtasema na hili mpaka muda unaisha acheni ujinga
 
Majadiliano tungeyafanya wapi wakati vyama vya upinzani vilizuiwa kufanya mikutano ya siasa. Tulitegemea kuchangia hoja zetu na viongozi wetu amabo wengine walitumia muda wao mwingi magerezani
Dada yangu..Leo unatoa sababu kuzuiwa kufanya mikutano ya siasa ni kweli sikatai mmenyimwa haki poleni sana.
Lakini vyoo vya aina hiyo vipo miaka na miaka havijajengwa juzi, mlikuwa wapi kipindi mnao uhuru wa mikutano? Mi naona ni sababu tu iliyokosa uzito..ujenzi wa vyoo sio lazima uongelewe mikutanoni kila mtu anao uhuru wa kuchangia maendeleo.
Na je elimu bure ndio iliyosababisha vyoo visijengwe? What happened to those days when elimu was not free?
Jikusanyeni wazazi ambao watoto wanasoma hapo ile pesa mliyokuwa mnalipa ada itumieni kujenga vyoo.
 
Ila swala la shule kutokua na vyoo vizuri sio lazima serikali ilaumiwe namlaumu mkuu wa shule na kamati ya shule wanashindwaje kuitisha kikao wazazi na Jamii inayozunguka shule wakajenga choo huku kijijini kwetu tumejenga mpaka vyumba vya madarasa kwa mtindo huu
 
Wazazi wanaosomesha watoto kwnye hiyo shule ndio wahusika wa kupokea lawama no.1

Vikao vya wazazi mashuleni huwa wana discuss nini? au ndio kuwaza tu hela za watoto kupkiwa shule?

Wazazi wengi hawataki kujitambua na kuchukua nafasi zao kuboresha elimu za watoto zao

wamekaa kusubiri kila kitu serikali ifanye,pumbav.
 
Back
Top Bottom