shule

  1. Kinoamiguu

    Wazazi wasioweza kulipa ada ya shule za msingi na sekondari Tanzania, wanapata wapi uwezo wa kulipa mamilioni ya ada za vyuo vikuu?

    Wanajamvi habari za mapumziko. Nikiri kwamba mimi nilisoma Mlimani, naumia sana nikisikia serikali hii inayonunua mindege inashindwa kuwakopesha wanafunzi kwa wakati. Nikiri kwamba nilikuwepo na niligoma na kuandamana haswa pale mwaka 2004, serikali ya srlikali ya CCM chini ya Mzee Mkapa...
  2. Mwahija abour

    Shule au chuo kipi ni sahihi kwa matokeo haya

    Habar zenu ndugu zangu. Me naishi na binti yangu, amemaliza kidato cha NNE mwaka 2017. matokeo yake akawa na C1 na D2, ambay ni kiswahili C na eng/islamic, akawa na D mengine yote aliferi, akarudia mwaka jana masom yot kasoro islamic na kiswahili na akapata C ya eng, na mengne akafel tena...
  3. W

    Msaada: Naomba kujua shule ya secondary nzuri kwa o-level (boarding)

    Habarini wanajanvi, Mwanangu amechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza katika shule ya secondary Morogoro. Natamani nimuhamishe kumpeleka shule ya secondary ya boarding ya serikali yenye ufaulu mzuri ambayo wanaweza kumconsider kulingana na ufaulu wake wa Std 7. Kuhusu Ufaulu wake ni kama...
  4. Influenza

    Mkuu wa Mkoa aamuru Mkandarasi Manispaa ya Bukoba na Mkuu wa Shule wakamatwe na kuwekwa ndani

    Mkuu wa mkoa Kagera Brigedia Marco Elisha Gaguti amemuagiza Kamanda wa polisi mkoani humo Revocatus Malimi kuwakamata na kuwaweka ndani mara moja Mkandarasi wa Manispaa ya Bukoba, Mkandarasi wa Kampuni ya Mzinga Holding Company ambaye pia ni msimamizi wa ukarabati wa Shule ya Sekondari...
  5. Analogia Malenga

    Simba mlinda nyumba karibu na shule akamatwa Nigeria

    Hebu tafakari hili, unatembea mjini halafu upite karibu na nyumba inayolindwa na simba wala sio mbwa. Hiyo ndio hali waliokumbana nayo wakazi mjini Lagos, Nigeria baada ya mmiliki wa nyumba moja kuamua kutumia simba kama mlinzi. Simba huyo wa miaka miwili aliripotiwa kuonekana katika nyumba...
  6. K

    Je, ni halali kwa Mkuu wa shule kumtoa mwanafunzi nje ya chumba cha mtihani na kumcharaza viboko kisa kusinzia?

    Wadau wa elimu naomba msaada. Ni sahihi Mkuu wa shule kumtoa mwanafunzi nje ya chumba cha mtihani na kumcharaza viboko kisa kusinzia? Mwanangu kaja na kunisimulia.
  7. matunduizi

    Wengi wanaodhani wana elimu kisa walienda shule watakuja kuchelewa wakigundua hawajawahi kuwa na elimu kwa Mujibu wa mdau Einstain

    Elimu ni nini? ''Elimu ni Kile Kinachobaki baada ya kuwa umesahau vyote ulivyojifunza darasani''. Albert Einstein Kama una degree na unalima matikiti mwaka wa saba sasa, unapaswa kunyang'anywa cheti upewe cheti cha matikiti angalau. Sasa jifikirie, anza kufikiri unakumbuka nini katika yale...
  8. AI dennis

    Ukiota uko shule ya msingi

    Watu wengi wamekua wakiota wako shule za msingi walizosomaga na wako hawajui maana yake Tafsiri yake ni kwamba ukiota uko shule ya msingi maana yake kuna HBO unataka kufanya halina msingi mzuri Mfano kuna MTU anataka kuoa ghafla usiku anaota yuko shule ya msingi, anajaribu kuambiwa msingi wako...
  9. chabuso

    Umefika wakati Watanzania turudishwe shule kusoma kutofautisha baina ya herufi "R" na "L"

    Utamwamini vipi mtu akupakie rangi nyumbani kwako wakati hawezi tofautisha baina ya herufi L na R Kwa AJIRI = kwa AJILI
  10. CONTROLA

    Mjue school mate wako comment shule uliyosoma Primary na Secondary

    Primary : Nguzo Primary (Morogoro) secondary : St Francis de Sales (Morogoro) , Bishop Durning (Arusha) Nasubiri nimuone School mate mwenzangu
Back
Top Bottom