polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,359
- 5,808
Mkuu wa mkoa Morogoro amewaweka rumande Wakuu wa Shule ambao shule zao zimeshindwa kufanya vizuri katika mtihani wa taifa kidato cha pili na cha nne mkoani humo pamoja na kuwavua madaraka ya ukuu wa shule
Hatua hiyo imefikiwa hapo jana siku ya Alhamisi tarehe 16/01 2020 kwa kile kilichodaiwa kuwa ni matokeo mabaya ya shule hizo pamoja na makosa mengine.
Hatua hiyo imefikiwa hapo jana siku ya Alhamisi tarehe 16/01 2020 kwa kile kilichodaiwa kuwa ni matokeo mabaya ya shule hizo pamoja na makosa mengine.