NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,526
- 17,433
Habari za kuaminika kutoka Uyui zinasema Mahead master wawili wametoa Laki tano tano kwa Afisa elimu taaluma (jina nalihifadhi) ili wabaki kuwa wakuu wa shule sekondari Kinyume na kiwango cha elimu yao ambayo ni diploma!!!Wakuu hao kwa wakati tofauti wametoa rushwa hiyo ili kubaki madarakani!!
WAKATI wakuu hao wakiachwa kuna Wengine ambao walikuwa na diploma kama wao walishaondolewa na kupewa wenye SHAHADA YA ELIMU!!!Natoa wito kwa TAKUKURU KUWEKA KAMBI OFISI ZA HALMASHAURI HAPO ISIKIZYA KUWAHOJI MAAFISA ELIMU SEKONDARI KUHUSU TUHUMA ZA RUSHWA NA KUWACHUKULIA HATUA WAKUU HAO WA SHULE!!!
Mnyetishaji anasema wakuu hao wana cheo hicho kutokana kutoa Rushwa na Kujipendekeza kwa Afisa Elimu Taaluma na Afisa Elimu Sekondari!!!!!!
WAKATI wakuu hao wakiachwa kuna Wengine ambao walikuwa na diploma kama wao walishaondolewa na kupewa wenye SHAHADA YA ELIMU!!!Natoa wito kwa TAKUKURU KUWEKA KAMBI OFISI ZA HALMASHAURI HAPO ISIKIZYA KUWAHOJI MAAFISA ELIMU SEKONDARI KUHUSU TUHUMA ZA RUSHWA NA KUWACHUKULIA HATUA WAKUU HAO WA SHULE!!!
Mnyetishaji anasema wakuu hao wana cheo hicho kutokana kutoa Rushwa na Kujipendekeza kwa Afisa Elimu Taaluma na Afisa Elimu Sekondari!!!!!!