Kuna baadhi ya wanafunzi nawafahamu wametoka miongoni mwa shule hizi zinazoongoza kitaifa/form 4, wanapokuwa A level au hata chuo ukweli ni tofauti kabisa na ufaulu wao wa O level.
Hebu Wizara husika chukueni jukumu la kuwaita hao wanafunzi wa St. Francis wote na kisha just tafuteni utaratibu wa kuwapima uelewa wao usikute kuna mchezo mchafu, inatia shaka sana darasa zima kufaulu kwa pointi 7, hebu fuatilieni.
Hebu Wizara husika chukueni jukumu la kuwaita hao wanafunzi wa St. Francis wote na kisha just tafuteni utaratibu wa kuwapima uelewa wao usikute kuna mchezo mchafu, inatia shaka sana darasa zima kufaulu kwa pointi 7, hebu fuatilieni.