serikali

  1. B

    Barabara ya kutokea Rusumo haipitiki kwa siku mbili sasa

    Niandikapo uzi huu ni kuwa hatimaye miraculously nimebahatika kutoka Nyabugombe katika barabara Rusumo kuelekea Rusahunga njia kuu iendayo Dar baada ya kuwepo hapo kwa siku karibia 2. Kwa hakika hii haina tofauti na escape from Sobibo. Wengine wengi watoto na kina mama bado wapo pale. Si chini...
  2. Its Pancho

    Kwa hili Serikali lazima iwajibike

    Kwa hili serikali lazima iwajibike. Pia lazima tuandamane tupate serikali nyingine! Haiwezekani Aston Villa Wazungu wanamnyima pasi champions boy Samatta halafu serikali inaangalia tu. Haiwezekani lazima wawajibike
  3. J

    Zitto Kabwe: Uzalendo bora ni ule wa kuikosoa Serikali kwa manufaa ya Taifa

    Akihojiwa na Zuhura Yunus wa BBC nchini Uingereza Mbunge wa Kigoma Mh Zitto Kabwe amesema uzalendo sio kuitetea serikali bali kulipenda na kulitetea taifa. Amesisitiza kuwa uzalendo bora ni ule wa kuikosoa serikali kwa manufaa ya taifa na kwamba yeye hajaomba Tanzania ifutiwe mkopo bali mkopo...
  4. Kinyungu

    Serikali ipi imehamia Dodoma?

    Kila siku mambo muhimu ya kiserikali yanafanyika Dar es Salaam, lakini tumeambiwa na kutangaziwa kuwa serikali na bwana mkubwa Rais wamehamia rasmi Dodoma. Mawaziri wanaapishiwa Dar Mabalozi wanaapishiwa Dar Mabalozi wa kigeni wanawasilisha hati zao za viapo Dar Rais muda wote yupo Dar...
  5. M

    Ushauri: Serikali ya awamu ya 5 ijifunze kutumia lugha ya kidiplomasia!! Ubabe haujengi, unabomoa

    Kwa muda sasa tangu serikali ya awamu ya Tano ilipoingia madarakani, kumekuwa matumizi ya lugha ambayo inaakisi uelewa mdogo wa diplomasia ya kimataifa na diplomasia ya kiuchumi ukilingamisha na utawala wa Mzee Jakaya. Viongozi mbalimbali wa chama na serikali wamekuwa wakitumia maneno yasiyofaa...
  6. S

    Kwa jinsi uongo unavyoonekana kuwa sehemu ya Uongozi wa nchi kwa sasa, basi napendekeza Serikali iwe na Waziri wa Propaganda

    Imefikia mahali ambapo Mtanzania yeyote mwenye akili ataona kwamba serikali ya awamu ya tano imekithiri kwa kutumia uongo katika mambo ya kila siku yanayohusu uongozi wa nchi. Wananchi wanadanganywa hadi watu weye akili zao wanashikwa na hasira kama sio kichefuchefu! Mimi naona ni vema basi...
  7. MsemajiUkweli

    Je, Serikali ikinyimwa mkopo wa elimu na Benki ya Dunia kutatokea nini?

    Mimi ninashindwa kuelewa hizi kelele kuhusu uwezekano wa serikali kupatiwa mkopo wa elimu au la na Benki ya Dunia. Kinachonishangaza zaidi ni kuona jinsi ambavyo baadhi ya viongozi waandamizi wa serikali/CCM wanalumbana na wanaharakati na baadhi ya viongozi wa upinzani hasa Zitto Kabwe kuhusu...
  8. technically

    Napinga Serikali kutoa elimu ya msingi na Sekondari bure

    Elimu imekuwa ya mateso kwa wanafunzi, walimu na serikali kwa ujumla. wazazi wamekuwa walevi wamedumaa hawafikirii tena kupambana hata kupata ile elfu 20 tatu vitu vya bure havina uchungu hata kidogo wazazi sasa wamewatelekeza watoto na kuacha majukumu yao nashauri serikali warudishe karo...
  9. J

    Prof Kabudi: Rais Magufuli na serikali yake hawawabagui wanafunzi wa kike, wote wanapata haki sawa wapinzani wasipotoshe

    Zitto kaumbuliwa mchana kweupe kwa uzushi wake juu ya wanafunzi wajawazito kubaguliwa. Prof Kabudi ataenda UN kuieleza dunia ukweli kutokana na uzushi huu wa Zitto. Maendeleo hayana vyama!
  10. Nigrastratatract nerve

    Ningelikuwa Waziri wa Elimu wa Serikali ya awamu ya tano ningelifanya haya

    Ningelifuta vyuo vikuu vyote visivyokuwa na sifa ya kuitwa vyuo vikuu. Ningelitengeneza vyuo vingi vya ufundi yaani VETA huku nikitoa kipaumbele cha hali ya juu kwenye ubunifu wa mitambo ya kutengeneza na kuchakata mazao ya kilimo. Ningelifuta kidato cha sita badala yake mwanafunzi angemaliza...
  11. Mystery

    Kama Serikali imepeleka miswada kadhaa kwa hati ya dharula, kwanini isipeleke wa kuundwa kwa Tume huru ya uchaguzi wenye maslahi mapana kwa Taifa?

    Tunafahamu kuwa serikali yetu imekuwa "bingwa" wa kupeleka miswada kadhaa Bungeni kwa hati za dharula, swali kubwa ninalojiuliza hivi sasa ni kuwa kutokana na kilio cha mamilioni ya watanzania wanaotaka Tume huru ya uchaguzi, ni kwanini serikali hii inapata "kigugumizi" cha kupeleka muswada huo...
  12. Mystery

    Ni kwanini Rais Magufuli awaogope wapinzani aliowashinda kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa kwa asilimia 99.9?

    Nimeshangazwa sana na kauli aliyoitoa Rais Magufuli wakati ajihutubia makada wenzie wa CCM kuwa wasibweteke kuwa watashinda kirahisi uchaguzi mkuu ujao, ambao unategemewa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu na akawaeleza makada hao kuwa wapinzani wana mbinu nyingi za wazi na za kificho, kwa hiyo...
  13. sabuwanka

    Heko Rais Magufuli kuhamishia Serikali Makao Makuu Dodoma

    Kwa takribani wiki nzima nilikuwa makao makuu Dodoma kwa shughuli binafsi , nimebahatika kutembelea mji wa Serikali, Nzuguni, Ihumwa , Stendi Mpya, Udom, Mipango, Mbwanga nk. Nimegundua kasi ya ujenzi wa miundo mbinu ni kubwa kuliko awali na kuna ongezeko kubwa la watu ambao wanajenga nyumba...
  14. YEHODAYA

    Jinsi ya Serikali kuondoa lawama na kutuhumiana kuwa wawekezaji toka nje wanatuibia

    Mara nyingi kumekuwa na msemo kuwa wawekezaji wa nje wezi wanatuibia waafrika .Hatufaidiki na uwepo wao au tunafaidika kidogo wao ndio wanapata Sana kwenye mikataba ya madini,mafuta ,gesi nk Tatizo kwenye hili ufumbuzi tunao sisi wenyewe waafrika.Nitatoa mfano makampuni yanayochimba...
  15. J

    Serikali ya awamu ya 5 ni ya Uwazi na Ukweli kupita ile ya Awamu ya 3

    Rais Magufuli amekuwa ni mkweli na muwazi sana katika uongozi wake na kwa hakika zama hizi ndio za uwazi na ukweli sio zile za awamu ya 3. Waziri akizembea au kufisadi anatumbuliwa mchana kweupe na Wananchi tunaelezwa kinaga ubaga sababu za utumbuzi huo, hakuna kuoneana. Hongera Rais Dr...
  16. Kididimo

    Kuna hatari naanza kuiona: Kuwa na viongozi waandamizi waliotumbuliwa wengi huku mitaani. Serikali iwe macho nao!

    Tumbua, teua,tumbua ni dhana njema ya kupanga safu bora ya viongozi. Hawa wanaotumbuliwa wengi wao hawakupenda itokee na wanatoka kwa shingo upande. Kuna RC mmoja wa mkoa mmoja alimlilia mtumbuaji, tena alikuwa Dr. kuwa mimi sijui kazi nyingine ya kufanya, ungenihurumia! Kilio hakikusikika...
  17. Analogia Malenga

    Syria: Waasi wauwa wanajeshi 40 wa serikali jimboni Idlib

    Wizara ya ulinzi ya Urusi imesema waasi nchini Syria wamewauwa wanajeshi 40 wa serikali na kuwajeruhi wengine zaidi ya 80, katika mashambulizi waliyoyafanya katika jimbo la Idlib. Shirika la habari la Urusi, Interfax limenukuu tangazo la wizara hiyo, lililosema kuwa waasi walizikamata kambi...
  18. Kurzweil

    Tanzania yatajwa kuwa miongoni mwa nchi 7 zinazotarajiwa kuwekewa vikwazo vya kuingia Marekani

    Serikali ya Marekani chini ya Rais Mtata, Donald Trump imetangaza kuwa iko mbioni kuziongeza nchi nyingine 7 kwenye orodha ya nchi ambazo Wananchi wake watawekewa vikwazo vya kuingia nchini humo (Marekani) Tanzania imetajwa pamoja na nchi za Belarus, Eritrea, Kyrgyzstan, Myanmar, Nigeria na...
  19. S

    Tetesi: Tanzania inalipwa mabilioni ya fedha toka nje ambazo zimefanywa siri na serikali hazina rekodi, tumenunulia ndege, na kujenga SGR na Stiegler nk

    Tetesi zlizopo ni kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikilipwa mabilioni ya fedha na kampuni za nje lakini fedha hizi zimefanywa siri bila kuingizwa katika kasri za serikali, na hivyo kuwa nje ya wigo wa ukaguzi wa serikali kutia na CAG. Hili ndilo simulizi lililopo. Nitawawapa dondoo za...
  20. Mpigamaji

    Majina ya Taasisi na Mamlaka za Serikali kwanini yapo kwa lugha ya Kiingereza?

    Kuna kitu nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu, ni kwanini Majina ya Taasisi na Mamlaka nyingi za Serikali zina majina ya Kiingereza?. Yani officially zinatambulika kwa majina hayo, nimeona majina ya kiswahili yanakuwa yanatumika kama kufafanua tu au kuweka itambulike kirahisi, na nadhani...
Back
Top Bottom