1. Serikali ya John Joseph Pombe Magufuli - Ni rais wa nchi hana pesa za mfukoni za kuendesha Nchi si mali yake binafsi...
2. Serikali ya Chama Cha Mapinduzi - Ni Serikali ya Chama Kilichopewa Dhamana ya kutawala kwa wakati huu
3. Serikali ya Wananchi wa Tanzania - Wanalipa Kodi na kuhakikisha Serikali yao inawaletea maendeleo kupitia michago yao mbali mbali
Ipi Serikali Sahihi kati ya hizo
2. Serikali ya Chama Cha Mapinduzi - Ni Serikali ya Chama Kilichopewa Dhamana ya kutawala kwa wakati huu
3. Serikali ya Wananchi wa Tanzania - Wanalipa Kodi na kuhakikisha Serikali yao inawaletea maendeleo kupitia michago yao mbali mbali
Ipi Serikali Sahihi kati ya hizo