johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,914
- 141,863
Maandalizi yote ya kuirejea itikadi ya Ujamaa na Kujitegemea kivitendo kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu Nyerere yamekamilika.
Kwa sasa tuna ATCL ni yetu 100&, tunamiliki TTCL 100%, Tanesco 100%, Mamlaka za maji 100%, TRC 100%.
Tunakwenda kuwa na benki yetu ya biashara kubwa mbadala wa NBC, TPDC inakwenda kufungua vituo vya mafuta kila wilaya, SUMA JKT imeanzisha viwanda vya kutosha vya bidhaa mbalimbali na ndio mkandarasi mkuu wa ujenzi.
Haya ni kwa uchache.
Ni wazi Rais Magufuli amefanya kazi kubwa na ya kizalendo kutufikisha hapa tulipo na niwazi serikali ijayo itakuwa ya vitendo zaidi na zaidi ili haya yaliyoanzishwa yakawe msaada mkuu kwa wananchi wa kawaida.
Je, CCM imeshaandaa vijana wazalendo wa kutekeleza sera zake kupitia itikadi ya Ujamaa na Kujitegemea?
Ijumaa Kareem.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa sasa tuna ATCL ni yetu 100&, tunamiliki TTCL 100%, Tanesco 100%, Mamlaka za maji 100%, TRC 100%.
Tunakwenda kuwa na benki yetu ya biashara kubwa mbadala wa NBC, TPDC inakwenda kufungua vituo vya mafuta kila wilaya, SUMA JKT imeanzisha viwanda vya kutosha vya bidhaa mbalimbali na ndio mkandarasi mkuu wa ujenzi.
Haya ni kwa uchache.
Ni wazi Rais Magufuli amefanya kazi kubwa na ya kizalendo kutufikisha hapa tulipo na niwazi serikali ijayo itakuwa ya vitendo zaidi na zaidi ili haya yaliyoanzishwa yakawe msaada mkuu kwa wananchi wa kawaida.
Je, CCM imeshaandaa vijana wazalendo wa kutekeleza sera zake kupitia itikadi ya Ujamaa na Kujitegemea?
Ijumaa Kareem.
Maendeleo hayana vyama!