Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Naliomba jeshi letu JWTZ liiombe Serikali yetu isitumie sare zake kwa namna yoyote ile kwenye post za kiraia.
Wala nafasi kubwa za kiraia za kuchaguliwa zisivae sare za jeshi letu kamwe.
Sababu.
Tunaànza kuona jeshi linatumika kisiasa kabisa wazi wazi Sasa wananchi wasije kutafsiri under performance ya mwanajeshi mmoja katika capacity ya kiraia haitakuwa sawa.
Jeshi letu ni Safi lisianze kuchukiwa na raia Wala kuwagawa raia !
Raia mwema .
Superbug.
Wala nafasi kubwa za kiraia za kuchaguliwa zisivae sare za jeshi letu kamwe.
Sababu.
Tunaànza kuona jeshi linatumika kisiasa kabisa wazi wazi Sasa wananchi wasije kutafsiri under performance ya mwanajeshi mmoja katika capacity ya kiraia haitakuwa sawa.
Jeshi letu ni Safi lisianze kuchukiwa na raia Wala kuwagawa raia !
Raia mwema .
Superbug.