Budget ya Serikali iliyopitishwa na Wabunge kwa asilimia 98 imeacha Sekta ya Utalii hoi. Janga la Corona limeharibu sekta ya utalii zaidi kuliko sekta zingine. Sasa sijui waziri ndio hajaongea na wadau na kuwasilisha maoni au sijui tatizo ni nini?
Jambo la muhimu inatakiwa ni kufufua utalii kwa matangazo na bei kupunguza, kusaidia kampuni za wazawa na changa.
Serikali inatakiwa kutazama utalii kama Lango kuu la kukuza uchumi na kuongeza ajira kwa wingi.
Jambo la muhimu inatakiwa ni kufufua utalii kwa matangazo na bei kupunguza, kusaidia kampuni za wazawa na changa.
Serikali inatakiwa kutazama utalii kama Lango kuu la kukuza uchumi na kuongeza ajira kwa wingi.